-
Jeshi la Yemen latekeleza oparesheni ya kujihami ndani ya ardhi ya Saudia
Jun 23, 2020 06:16Msemaji wa Majeshi ya Yemen amesema majeshi ya nchi hiyo yametekeleza oparesheni maalumu ndani kabisa ya ardhi ya Saudi Arabia.
-
Deni la Saudia laongezeka kwa asilimia 375 wakati wa Bin Salman
Jun 22, 2020 03:00Data za Benki ya Dunia zinaonesha kuwa deni la nje la Saudi Arabia limepanda vibaya mno tangu Mohammad bin Salman alipopewa cheo cha kurithi kiti cha ufalme wa nchi hiyo.
-
Umoja wa Mataifa; mateka wa siasa za pesa na mabavu za Saudi Arabia na Marekani
Jun 19, 2020 03:40Mtazamo wa kindumakuwili wa Umoja wa Mataifa Kuhusu vita vya Yemen na suala la kushambuliwa shirika la mafuta la Aramco la Saudi Arabia, unaonyesha kuwa taasisi hiyo ya kimataifa ambayo imepewa jukumu la kulinda amani na usalama duniani imesahau jukumu lake hilo.
-
Ripoti ya UN: Wayemeni zaidi ya milioni 20 wanakabiliwa na hatari ya kupatwa na corona
Jun 05, 2020 03:22Shirika la Programu na Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) limetangaza kuwa, zaidi ya Wayemeni milioni 20 wanasumbuliwa na njaa ya muda mrefu na wamo katika hatari ya kupatwa na virusi vya corona.
-
Hali ya kiafya ya kiongozi wa HAMAS anayeshikiliwa katika jela ya Saudia yazidi kuzorota
May 29, 2020 06:07Hali ya kiafya ya Muhammad Khidhri, mwakilishi wa harakati ya muqawama wa Kiislamu wa Palestina HAMAS ambaye alitiwa mbaroni miezi kadhaa iliyopita nchini Saudia, imezidi kuwa mbaya.
-
Wakati Saudia na Imarati zinapoitumia vibaya Sudan na baadaye kuiacha "solemba"
May 26, 2020 02:19Kwa muda sasa Sudan imebadilisha misimamo yake ya kisiasa kama njia ya kuvutia misaada ya kifedha kutoka kwa nchi kama Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na Saudi Arabia lakini nchi hizo hazioneshi utashi wowote wa kuitatulia Khartoum matatizo yake zaidi ya kuitumia tu kufanikishia malengo yao binafsi.
-
Kufichuliwa kashfa ya Saudia ya kutuma maelfu ya magaidi nchini Iraq
May 25, 2020 00:02Kusambazwa faili la sauti katika mitandao ya kijamii kumepelekea kufichuliwa kashfa ya Saudi Arabia kutuma maelfu ya magaidi wa nchi hiyo kwenda Iraq katika miaka ya hivi karibuni.
-
Saudia yakumbwa na mgogoro mkubwa wa kiuchumi, mishahara yapunguzwa
May 06, 2020 06:57Janga la COVID-19 limeshadidisha mgogoro wa kiuchumi Saudia Arabia na sasa mishahara ya wafanyakazi katika sekta binfasi nchini humo imepunguzwa kwa asilimia 40.
-
Answarullah: Njia ya kuuokoa uchumi wa Saudia, ni kuhitimisha muungano vamizi dhidi ya Yemen
May 04, 2020 03:45Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi nchini Yemen amesisitiza kwamba, njia bora ya kuuokoa uchumi wa Saudia ni kwa nchi hiyo kuhitimisha muungano vamizi dhidi ya Yemen.
-
Waandishi wasio na mipaka wazitaka Misri na Saudia kuwaachia huru waandishi habari
Apr 25, 2020 02:53Jumuiya ya Waandishi Habari Wasio na Mipaka imezitaka nchi za Saudi Arabia na Misri kuwaachia huru waandishi habari wanaoshikiliwa katika jela za nchi hizo ikitahadharisha kwamba, maisha ya wafungwa hao yamo hatarini kutokana na maambukizi ya virusi vya corona.