Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Ripoti: Mamia ya Wanawafalme Saudia wanaugua corona

    Ripoti: Mamia ya Wanawafalme Saudia wanaugua corona

    Apr 18, 2020 07:09

    Kuna idadi kubwa ya wanawafalme katika Ufalme wa Saudi Arabia ambao wanaugua ugonjwa wa corona au COVID-19, na idadi yao kamili ni kubwa kuliko ile inayotangazwa na vyombo husika.

  • Maseneta wa Marekani watishia 'kuichukulia hatua' Saudia

    Maseneta wa Marekani watishia 'kuichukulia hatua' Saudia

    Apr 11, 2020 09:19

    Maseneta wa Marekani wametishia kuangalia upya uhusiano wao na Saudi Arabia kutokana na hatua ya Riyadh ya kuendelea kuvutana na Russia juu ya bei ya mafuta ghafi ambayo imeiathiri pia Marekani.

  • Saudia inawatuma Yemen watu walioathirika na virusi vya Corona

    Saudia inawatuma Yemen watu walioathirika na virusi vya Corona

    Apr 10, 2020 23:55

    Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Uratibu wa Masuala ya Haki za Binaadamu nchini Yemen amesisitiza kuwa, Saudi Arabia imekuwa ikituma waathirika wa virusi vya Corona Yemen na kwamba vyombo vya usalama vya nchi hiyo vinafanya juhudi kubwa kuweza kuwatambua watu hao.

  • Muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudia waendelea kukiuka usitishaji vita nchini Yemen

    Muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudia waendelea kukiuka usitishaji vita nchini Yemen

    Apr 10, 2020 07:29

    Huku Martin Griffiths, Mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen na Nayef Falah al Hajraf, Katibu Mkuu wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi wakipongeza uamuzi wa kusitisha vita na mapigano nchini Yemen, muungano vamizi unaoongozwa na Saudia katika vita huko Yemen umeendelea kukiuka usitishaji vita huo.

  • Human Rights Watch yakosoa kamatakamata ya wanaharakati nchini Saudia

    Human Rights Watch yakosoa kamatakamata ya wanaharakati nchini Saudia

    Mar 18, 2020 03:57

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetoa taarifa likikosoa hatua ya serikali ya Saudi Arabia ya kuwatia nguvuni maafisa wa serikali, wanaharakati na wakosoaji wa utawala wa nchi hiyo.

  • Hamas yalaani kuendelea kushikiliwa Wapalestina nchini Saudi Arabia

    Hamas yalaani kuendelea kushikiliwa Wapalestina nchini Saudi Arabia

    Mar 09, 2020 04:26

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amelaani kutiwa mbaroni viongozi wa Wapalestina na kupandishwa kizimbani huko Saudi Arabia.

  • Shirika la ESOHR laionya Saudia isitekeleze hukumu ya kifo dhidi ya vijana watano

    Shirika la ESOHR laionya Saudia isitekeleze hukumu ya kifo dhidi ya vijana watano

    Mar 03, 2020 08:31

    Shirika moja la haki za binaadamu la barani Ulaya limetoa taarifa na kufichua kwamba Saudia inakusudia kutekeleza adhabu ya kifo dhidi ya vijana watano ambao iliwakamata wakiwa bado na umri mdogo.

  • Senegal na Saudia zaripoti kesi za kwanza za Corona, waliofariki Marekani wafika 6

    Senegal na Saudia zaripoti kesi za kwanza za Corona, waliofariki Marekani wafika 6

    Mar 03, 2020 04:00

    Saudi Arabia, Jordan na Tunisia ni nchi za hivi punde katika ulimwengu wa Kiarabu kuripoti kesi za kwanza za virusi vya Corona ambavyo vimeshaua watu zaidi ya elfu tatu kote duniani, hususan nchini China.

  • Kuhani mmoja Myahudi-Mzayuni akutana na mfalme wa Saudi Arabia

    Kuhani mmoja Myahudi-Mzayuni akutana na mfalme wa Saudi Arabia

    Feb 22, 2020 03:56

    Wizara ya Mambo ya Nje ya utawala wa Kizayuni wa Israel imetangaza kuwa, kuhani mmoja Mzayuni ameonana na mfalme wa Saudi Arabia mjini Riyadh.

  • Ujerumani yaitaka Saudi Arabia ichunge haki za binadamu

    Ujerumani yaitaka Saudi Arabia ichunge haki za binadamu

    Feb 22, 2020 03:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amewataka viongozi wa Saudi Arabia wafanyie marekebisho sheria zao na wachunge haki za binadamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS