Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Wayemeni watolewa mwito wa kuendelea kukabiliana na

    Wayemeni watolewa mwito wa kuendelea kukabiliana na "Ukoloni wa Saudia na Imarati"

    Aug 25, 2019 07:57

    Kiongozi wa serikali ya uokovu wa kitaifa ya Yemen Abdulaziz bin Habtoor ametoa mwito wa kukabiliana na kile alichokiita Ukoloni wa Saudi Arabia na Imarati.

  • HRW yakosoa ukandamizaji wa Saudia dhidi ya wahajiri wa Kiethiopia

    HRW yakosoa ukandamizaji wa Saudia dhidi ya wahajiri wa Kiethiopia

    Aug 16, 2019 23:12

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeeleza wasiwasi wake kuhusu haki ya wahajiri wa Kiethiopia nchini Saudi Arabia na kukosoa ukiukwaji wa haki zao unaofanywa na maafisa wa nchi hiyo.

  • Mwana wa Sheikh Salman al-Ouda: Baba yangu amehukumiwa kifo kwa sababu ya kutaka marekebisho Saudia

    Mwana wa Sheikh Salman al-Ouda: Baba yangu amehukumiwa kifo kwa sababu ya kutaka marekebisho Saudia

    Aug 14, 2019 07:47

    Mtototo wa kiume wa mwanazuoni na msomi maarufu wa Saudi Arabia, Sheikh Salman al-Ouda anayeshikiliwa katika korokoro ya nchi hiyo amesema kuwa, baba yake anakabiliwa na kifo baada ya kutoa wito wa kufanyika mageuzi nchini Saudi Arabia.

  • Jeshi la Saudia lashambulia ngome ya wanamgambo wa UAE mjini Aden

    Jeshi la Saudia lashambulia ngome ya wanamgambo wa UAE mjini Aden

    Aug 11, 2019 02:20

    Jeshi la Saudia ambalo linaongoza uvamizi dhidi ya Yemen limeshambulia ngome ya wanamgambo wanaopata himaya ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) mjini Aden na kuitaja ngome hiyo kuwa 'tishio'. Hii ni katika hali ambayo UAE ni mshirika mkuu wa Saudia katika vita dhidi ya Yemen.

  • Waziri wa Saudia wa Masuala ya Kiislamu aomba radhi kwa kumkumbatia na kumbusu mwanamke hadharani

    Waziri wa Saudia wa Masuala ya Kiislamu aomba radhi kwa kumkumbatia na kumbusu mwanamke hadharani

    Aug 09, 2019 20:49

    Waziri wa Masuala wa Kiislamu wa Saudi Arabia ameomba radhi baada ya kukosolewa kwa kumkumbatia kwa njia ya kumfariji na kumbusu kichwani hujaji mwanamke ambaye mume wake aliuliwa katika shambulio la kigaidi dhidi ya msikiti mmoja nchini New Zealand.

  • Jumuiya za kiraia Canada zaitaka serikali ya Ottawa iache kuiuzia silaha Saudi Arabia

    Jumuiya za kiraia Canada zaitaka serikali ya Ottawa iache kuiuzia silaha Saudi Arabia

    Aug 08, 2019 03:26

    Jumuiya 12 za kiraia nchini Canada zinamshinikiza Waziri Mkuu wa nchi hiyo Justin Trudeau ili asimamishe kuuuzia silaha utawala wa Saudi Arabia unaofanya jinai kila leo dhidi ya wananchi wa Yemen.

  • Saudi Arabia yatakiwa ikomeshe uadui wake dhidi ya taifa la Yemen

    Saudi Arabia yatakiwa ikomeshe uadui wake dhidi ya taifa la Yemen

    Aug 04, 2019 03:35

    Yahya Ali al-Qahoum, afisa Mwandamizi wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameitaka Saudi Arabia ikomeshe uadui wake dhidi ya wananchi wasio na hatia wa Yemen.

  • Ripoti: Imarati imeondoa askari wake Yemen kwa sababu Saudia haitashinda vita

    Ripoti: Imarati imeondoa askari wake Yemen kwa sababu Saudia haitashinda vita

    Aug 03, 2019 22:35

    Ripoti iliyofichuliwa hivi karibuni imebaini kuwa Imarati ambayo ni mshirika muhimu katika muungano wa vita vya Saudi Arabia nchini Yemen imeamua kuondoa majeshi yake nchini humo kwa sababu ni muhali kuweza kushinda vita hivyo.

  • Facebook yafunga akaunti na kurasa bandia zinazoihusu Riyadh

    Facebook yafunga akaunti na kurasa bandia zinazoihusu Riyadh

    Aug 02, 2019 20:56

    Mtandao wa kijamii wa Facebook umefunga hesabu bandia zaidi ya 350 zenye mfungamano na Saudi Arabia ambazo baadhi zina wafuasi zaidi ya milioni moja na laki nne.

  • Kuendelea uingiliaji wa kigeni nchini Sudan

    Kuendelea uingiliaji wa kigeni nchini Sudan

    Jul 30, 2019 23:09

    Huku mgogoro wa kisiasa ukiendelea nchini Sudan, uingiliaji wa nchi za kigeni katika masuala ya ndani ya nchi hiyo umeongezeka kwa kadiri kwamba baadhi ya nchi za eneo zikiongozwa na Saudi Arabia zinafuatilia kwa nguvu zao zote suala la kuwa na ushawishi mkubwa katika nchi hiyo ya Kiafrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS