-
Jumuiya za kiraia Canada zaitaka serikali ya Ottawa iache kuiuzia silaha Saudi Arabia
Aug 08, 2019 03:26Jumuiya 12 za kiraia nchini Canada zinamshinikiza Waziri Mkuu wa nchi hiyo Justin Trudeau ili asimamishe kuuuzia silaha utawala wa Saudi Arabia unaofanya jinai kila leo dhidi ya wananchi wa Yemen.
-
Saudi Arabia yatakiwa ikomeshe uadui wake dhidi ya taifa la Yemen
Aug 04, 2019 03:35Yahya Ali al-Qahoum, afisa Mwandamizi wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameitaka Saudi Arabia ikomeshe uadui wake dhidi ya wananchi wasio na hatia wa Yemen.
-
Ripoti: Imarati imeondoa askari wake Yemen kwa sababu Saudia haitashinda vita
Aug 03, 2019 22:35Ripoti iliyofichuliwa hivi karibuni imebaini kuwa Imarati ambayo ni mshirika muhimu katika muungano wa vita vya Saudi Arabia nchini Yemen imeamua kuondoa majeshi yake nchini humo kwa sababu ni muhali kuweza kushinda vita hivyo.
-
Facebook yafunga akaunti na kurasa bandia zinazoihusu Riyadh
Aug 02, 2019 20:56Mtandao wa kijamii wa Facebook umefunga hesabu bandia zaidi ya 350 zenye mfungamano na Saudi Arabia ambazo baadhi zina wafuasi zaidi ya milioni moja na laki nne.
-
Kuendelea uingiliaji wa kigeni nchini Sudan
Jul 30, 2019 23:09Huku mgogoro wa kisiasa ukiendelea nchini Sudan, uingiliaji wa nchi za kigeni katika masuala ya ndani ya nchi hiyo umeongezeka kwa kadiri kwamba baadhi ya nchi za eneo zikiongozwa na Saudi Arabia zinafuatilia kwa nguvu zao zote suala la kuwa na ushawishi mkubwa katika nchi hiyo ya Kiafrika.
-
Mpangaji wa mashambulizi ya Septemba 11: Nitatoa ushahidi dhidi ya Wasaudi
Jul 30, 2019 06:45Mpangaji wa mashambulizi ya Septemba 11 nchini Marekani amesema kuwa yupo tayari kutoa ushahidi dhidi ya viongozi wa Saudia iwapo serikali ya Marekani haitamhukumu adhabu ya kifo.
-
Mahakama ya Saudia yamhukumu kifo mfungwa wa kisiasa wa Qatif
Jul 29, 2019 22:28Mahakama ya utawala wa Saudi Arabia imemhukumu kifo mfungwa wa kisiasa mkazi wa jimbo la Waislamu wa madhehebu ya Shia la al Sharqiyyah katika mji wa Qatif.
-
Sisitizo la Pompeo kuhusu nafasi ya Saudia katika kukabiliana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Jul 27, 2019 06:22Katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump, Marekani imezingatia sana eneo la Ghuba ya Uajemi na nchi za kusini mwa eneo hili hususan Saudi Arabia, ambapo imetiliana nayo saini mikataba ya mauzo ya silaha ambayo ilikuwa haijawahi kushuhudiwa huko nyuma.
-
Wanamuqawama wa Yemen wavurumisha makombora 4 ya Zilzal-1 kwenye ngome za askari wa Saudia
Jul 26, 2019 23:42Jeshi na kamati za wananchi nchini Yemen limevurumisha makombora manne aina ya Zilzal-1 kwenye ngome za vibaraka wa muungano vamizi wa Saudia katika mikoa ya Aseer na Najran kusini mwa Saudia.
-
Mshauri wa Amiri Jeshi Mkuu wa Iran atoa onyo kwa Marekani na Uingereza
Jul 24, 2019 13:25Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya ulinzi ametoa onyo kwa Uingereza kuhusiana na nia yake ya kujiingiza kwenye eneo la Lango Bahari la Hormuz na kwa Marekani kuhusu nia yake ya kutaka kuanzisha vita vya kijeshi na akaeleza kwamba: Kauli iliyotolewa na Saudi Arabia na Imarati kuhusu kuhitimishwa vita vya Yemen inadhihirisha kushindwa kwao katika vita hivyo.