-
Malenga wanne Saudia wafungwa miaka 30 jela kwa kumkosoa Bin Salman
Feb 03, 2018 04:41Mahakama ya Saudia imewahukumu kifungo cha miaka 30 jela wakosoaji wa Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa nchi hiyo.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar: Iran ndio njia pekee ya kupitishia dawa na chakula kwa ajili ya Qatar
Feb 02, 2018 04:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar Mohammed bin Abdulrahman Al Thani amesema, baada ya nchi yake kuwekewa mzingiro na Saudi Arabia na waitifaki wake, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa ndio njia pekee ya kudhaminia dawa na chakula kwa wananchi wa Qatar.
-
Askari kadhaa wa Saudia waangamizwa mkoani Jizan kusini mwa nchi hiyo
Feb 02, 2018 04:32Askari kadhaa wa Saudi Arabia wameangamizwa katika shambulio lililofanywa na mdunguzi mmoja wa Yemen dhidi ya ngome za askari hao huko kusini mwa Saudia.
-
Russia: Ushahidi uliotolewa na Marekani dhidi ya Iran ni butu
Feb 01, 2018 00:09Russia imesema kuwa ushahidi uliotolewa na Marekani ikidai kuwa Tehran imewapa makombora wapiganaji wa harakati ya al Huothi nchini Yemen ni butu na hauna mashiko.
-
Wanasheria wa Uingereza: Iondoeni Saudia kwenye Baraza la Haki za Binadamu la UN
Jan 31, 2018 23:09Mawakili wa Uingereza wametoa wito wa kuondolewa Saudi Arabia kwenye Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa wakieleza kwamba utawala huo wa kifalme unawaweka kizuizini wanaharakati wa kisiasa na wa uhuru wa kutoa maoni bila ya kuwafungulia mashtaka.
-
Mfalme wa Jordan: Kuna pande za Kiarabu zimeniwekea mashinikizo niachane na kadhia ya Quds
Jan 31, 2018 23:08Mfalme Abdullah wa Pili wa Jordan amefichua kuhusu mapendekezo na mashinikizo ya kiuchumi inayopata nchi yake kutoka kwa baadhi ya nchi za Kiarabu, kutokana na msimamo wake kuhusiana na kadhia ya Quds.
-
Mapigano makali yaibuka kati ya wanamgambo wa Saudia na Imarati, Aden nchini Yemen
Jan 29, 2018 01:15Katika mapigano makali yaliyojiri kati ya wanamgambo wanaoungwa mkono na Saudia na Imarati mjini Aden, kusini mwa Yemen kwa akali watu 10 wameuawa na wengine 100 kujeruhiwa.
-
Zarif arudisha mapigo, asema Saudia na Marekani waliisaidia Daesh kwa silaha
Jan 27, 2018 00:46Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Muhammad Javad Zarif amesema Saudi Arabia na Marekani haziwezi kupotosha ukweli wa mambo kuhusu misaada na ufadhili wao kwa kundi la kigaidi la Daesh.
-
Uzushi wa Saudia, Marekani na Israel dhidi ya Iran kwa lengo la kubadili uhalisia wa mambo Mashariki ya Kati
Jan 26, 2018 04:47Adel al Jubeir Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia akiwa anafuata kibubusa sera za chuki dhidi ya Iran za Marekani na Utawala wa Kizayuni wa Israel, alitoa hotuba katika kikao cha Jukwaa la Uchumi Duniani huko Davos Uswisi siku ya Jumatano na kutoa tuhuma zisizo na msingi kuwa eti Iran inaunga mkono migongano ya kimadhehebu na ugaidi.
-
Zarif: Iran iliwaangamiza magaidi wa ISIS ambao walipata silaha kutoka Marekani, Saudia
Jan 26, 2018 00:28Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema Marekani na Saudi Arabia ndio waliowapa magaidi wa ISIS au Daesh silaha.