Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Bin Salman akoswakoswa kuuawa kwa risasi Saudi Arabia

    Bin Salman akoswakoswa kuuawa kwa risasi Saudi Arabia

    Jul 11, 2017 11:41

    Ripoti za kuaminika zinasema kuwa, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia na mwana wa mfalme wa nchi hiyo, Muhammad bin Salman amekoswakoswa kuuawa kwa risasi ndani ya familia ya kifalme ya Saudia.

  • Ahadi ya kuchekesha ya Saudia katika kuishawishi Iraq ijiunge na nchi zilizo dhidi ya Qatar

    Ahadi ya kuchekesha ya Saudia katika kuishawishi Iraq ijiunge na nchi zilizo dhidi ya Qatar

    Jul 10, 2017 22:36

    Vyanzo vilivyo karibu na Haidar al-Abadi Waziri Mkuu wa Iraq vimesema kuwa Saudi Arabia inaishiinikiza nchi hiyo ili ijiunge na nchi zinazoiwekea vikwazo Qatar

  • Hali yazidi kuwa mbaya Saudia, sasa mahujaji kupandishiwa kodi kwa asilimi 30

    Hali yazidi kuwa mbaya Saudia, sasa mahujaji kupandishiwa kodi kwa asilimi 30

    Jul 10, 2017 00:07

    Wizara inayosimamia Ibada ya Hijja na Umra nchini Saudia imeyataka mashirika na taasisi za ndani zinazohusika na ibada ya Hija, sambamba na kuwasilisha dhamana ya benki, kuwatoza mahujai kodi ya asilimia 30.

  • Raia wa kigeni Saudia kutozwa kodi, pesa za ufalme zimeishia vitani Yemen

    Raia wa kigeni Saudia kutozwa kodi, pesa za ufalme zimeishia vitani Yemen

    Jul 09, 2017 23:29

    Saudi Arabia inapanga kuwatoza kodi raia wa kigeni nchini humo kutokana na nakisi kubwa ya bajeti iliyotokana na kiasi kikubwa cha fedha kutumiwa kuivamia nchi jirani ya Yemen.

  • Saudia inahusika na kueneza virusi vya kipindupindu Yemen

    Saudia inahusika na kueneza virusi vya kipindupindu Yemen

    Jul 09, 2017 09:39

    Rais wa zamani wa Yemen, Ali Abdullah Saleh, amesema Saudi Arabia ndio chimbuko la mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu nchini Yemen ambao Umoja wa Mataifa umeutaja kuwa mbaya zaidi duniani.

  • Marekani inahofia kuongezeka hali ya mvutano kati ya waitifaki wake Mashariki ya Kati

    Marekani inahofia kuongezeka hali ya mvutano kati ya waitifaki wake Mashariki ya Kati

    Jul 07, 2017 10:35

    Serikali ya Marekani imesema ina wasiwasi wa uwezekano wa kuongezeka hali ya mvutano kati ya Qatar na Saudi Arabia.

  • Taarifa ya pamoja ya Saudia na waitifaki wake dhidi ya Qatar

    Taarifa ya pamoja ya Saudia na waitifaki wake dhidi ya Qatar

    Jul 06, 2017 23:28

    Saudi Arabia na waitifaki wake zimetoa taarifa ya pamoja na kudai kuwa hatua ya Qatar ya kukataa masharti ya nchi nne za Kiarabu zilizoiwekea vikwazo vya kila namna nchi hiyo inaonesha nia ya Doha ya kuhatarisha usalama na utulivu wa eneo hili.

  • Hofu ya mapinduzi Saudia, watawala wakwepa mkutano wa G20

    Hofu ya mapinduzi Saudia, watawala wakwepa mkutano wa G20

    Jul 05, 2017 10:01

    Mfalme na mrithi wa kiti cha ufalme Saudi Arabia wanaripotiwa kukwepa kuhudhuria mkutano wa viongozi wa nchi za G20 huko Hamburg, Ujerumani kwa kuhofia mapinduzi nchini kwao.

  • Waislamu Marekani wakumbuka uhalifu wa mawahabi wa kubomoa makaburi ya Maswahaba

    Waislamu Marekani wakumbuka uhalifu wa mawahabi wa kubomoa makaburi ya Maswahaba

    Jul 04, 2017 11:12

    Waislamu katika maeneo mbalimbali wamekusanyika wakikumbuka kitendo kiuvu cha kubomolewa makaburi ya Jannat al-Baqi'i mjini Madina kilichofanywa na mawahabi wa Saudi Arabia miongo kadhaa iliyopita.

  • Uingereza: Tunaiunga mkono Saudi Arabia juu ya Qatar

    Uingereza: Tunaiunga mkono Saudi Arabia juu ya Qatar

    Jul 04, 2017 03:35

    Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May amesema kuwa anaiunga mkono Saudia katika mgogoro na Qatar.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS