-
Bin Salman akoswakoswa kuuawa kwa risasi Saudi Arabia
Jul 11, 2017 11:41Ripoti za kuaminika zinasema kuwa, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia na mwana wa mfalme wa nchi hiyo, Muhammad bin Salman amekoswakoswa kuuawa kwa risasi ndani ya familia ya kifalme ya Saudia.
-
Ahadi ya kuchekesha ya Saudia katika kuishawishi Iraq ijiunge na nchi zilizo dhidi ya Qatar
Jul 10, 2017 22:36Vyanzo vilivyo karibu na Haidar al-Abadi Waziri Mkuu wa Iraq vimesema kuwa Saudi Arabia inaishiinikiza nchi hiyo ili ijiunge na nchi zinazoiwekea vikwazo Qatar
-
Hali yazidi kuwa mbaya Saudia, sasa mahujaji kupandishiwa kodi kwa asilimi 30
Jul 10, 2017 00:07Wizara inayosimamia Ibada ya Hijja na Umra nchini Saudia imeyataka mashirika na taasisi za ndani zinazohusika na ibada ya Hija, sambamba na kuwasilisha dhamana ya benki, kuwatoza mahujai kodi ya asilimia 30.
-
Raia wa kigeni Saudia kutozwa kodi, pesa za ufalme zimeishia vitani Yemen
Jul 09, 2017 23:29Saudi Arabia inapanga kuwatoza kodi raia wa kigeni nchini humo kutokana na nakisi kubwa ya bajeti iliyotokana na kiasi kikubwa cha fedha kutumiwa kuivamia nchi jirani ya Yemen.
-
Saudia inahusika na kueneza virusi vya kipindupindu Yemen
Jul 09, 2017 09:39Rais wa zamani wa Yemen, Ali Abdullah Saleh, amesema Saudi Arabia ndio chimbuko la mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu nchini Yemen ambao Umoja wa Mataifa umeutaja kuwa mbaya zaidi duniani.
-
Marekani inahofia kuongezeka hali ya mvutano kati ya waitifaki wake Mashariki ya Kati
Jul 07, 2017 10:35Serikali ya Marekani imesema ina wasiwasi wa uwezekano wa kuongezeka hali ya mvutano kati ya Qatar na Saudi Arabia.
-
Taarifa ya pamoja ya Saudia na waitifaki wake dhidi ya Qatar
Jul 06, 2017 23:28Saudi Arabia na waitifaki wake zimetoa taarifa ya pamoja na kudai kuwa hatua ya Qatar ya kukataa masharti ya nchi nne za Kiarabu zilizoiwekea vikwazo vya kila namna nchi hiyo inaonesha nia ya Doha ya kuhatarisha usalama na utulivu wa eneo hili.
-
Hofu ya mapinduzi Saudia, watawala wakwepa mkutano wa G20
Jul 05, 2017 10:01Mfalme na mrithi wa kiti cha ufalme Saudi Arabia wanaripotiwa kukwepa kuhudhuria mkutano wa viongozi wa nchi za G20 huko Hamburg, Ujerumani kwa kuhofia mapinduzi nchini kwao.
-
Waislamu Marekani wakumbuka uhalifu wa mawahabi wa kubomoa makaburi ya Maswahaba
Jul 04, 2017 11:12Waislamu katika maeneo mbalimbali wamekusanyika wakikumbuka kitendo kiuvu cha kubomolewa makaburi ya Jannat al-Baqi'i mjini Madina kilichofanywa na mawahabi wa Saudi Arabia miongo kadhaa iliyopita.
-
Uingereza: Tunaiunga mkono Saudi Arabia juu ya Qatar
Jul 04, 2017 03:35Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May amesema kuwa anaiunga mkono Saudia katika mgogoro na Qatar.