-
Safavi: Kuna hatari ya kutokea fitna mpya Ghuba ya Uajemi
Jul 03, 2017 23:12Mshauri Mkuu wa Amirijeshi Mkuu wa Vikosi vyote vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, baada ya Marekani, Saudi Arabia na Wazayuni kushindwa vibaya katika nchi za Iraq na Syria, hivi sasa kuna uwezekano kundi hilo likaanzisha fitna mpya katika eneo la Ghuba ya Uajemi.
-
Qatar yatangaza jeshi lake liko tayari kwa ajili vita
Jul 03, 2017 02:11Waziri wa Ulinzi wa Qatar amesema jeshi la nchi hiyo liko tayari kuilinda nchi hiyo endapo itakabiliwa na chokochoko tarajiwa za maadui.
-
Utunishaji misuli dhidi ya Qatar na masharti yasiyotekelezeka ya Saudia
Jul 01, 2017 02:07Saudi Arabia na waitifaki wake wamezidi kuitunishia misuli Qatar kwa kuipa masharti 13 magumu ambayo ni muhali kutekelezeka. Viongozi wa nchi mbalimbali, wanasiasa mashuhuri wa kieneo na kimataifa akiwemo pia Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar, wote wamesema kuwa masharti hayo hayatekelezeki.
-
New York Times: Mrithi wa ufalme wa Saudia aliyengólewa, amewekwa kifungo cha nyumbani
Jun 29, 2017 09:58Gazeti la New York Times la nchini Marekani limefichua kuwa, Muhammad bin Nayef bin Abdulaziz Aal Saud mrithi wa kiti cha ufalme aliyepigwa kalamu nyekundu hivi karibuni nchini Saudia, sasa amewekwa katika kifungo cha nyumbani kwenye kasri yake mjini Jeddah na kuzuiliwa kusafiri nje ya nchi hiyo.
-
Libya yaitaka Saudi Arabia ieleze kwa nini imewatia mbaroni raia wake
Jun 28, 2017 10:53Serikali ya Libya imedhihirisha kukasirishwa kwake na kitendo cha Saudi Arabia cha kuwakamata raia wa nchi hiyo walipokuwa wanajiandaa kurejea nyumbani na kuitaka Riyadh itoe maelezo kuhusiana na sababu za kuwatia mbaroni raia hao wa Libya.
-
Qatar yalaani ukaidi wa Saudia wa kukataa suluhu
Jun 28, 2017 10:34Serikali ya Qatar imelaani ukaidi wa Saudi Arabia wa kukataa kufanya mazungumzo na Doha kwa ajili ya kutafuta njia za kuondoa vikwazo vya nchi nne za Kiarabu dhidi ya Qatar.
-
Ujerumani: Masharti iliyopewa Qatar ni ya kichochezi sana
Jun 27, 2017 03:16Ujerumani imeyataja kuwa ya kichochezi sana masharti iliyopewa Qatar kabla ya kutatulwa mgogoro wake na nchi nne za Kiarabu zinazoongozwa na Saudi Arabia.
-
Mohammed bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme anayetumia fedha nyingi katika historia ya ukoo wa Aal Saud
Jun 26, 2017 11:53Gazeti la al Manar limeripoti kuwa, Mohammed bin Salman Aal Saud ni mmoja wa warithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia ambaye ametumia mabilioni ya dola ili kuonyesha uwezo wake.
-
Udiplomasia wa Marekani na changamoto ya hitilafu baina ya Trump na Tillesron
Jun 26, 2017 11:34Gazeti la New York Times limefichua hitilafu zilizopo kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa nchi hiyo Rex Tillerson kuhusu mvutano uliopo kati ya Saudi Arabia na Qatar.
-
Wanajeshi wa Saudia wamuua mkuu wa Baraza la Qur'ani huko Qatif
Jun 25, 2017 10:58Wanajeshi wa utawala wa Saudi Arabia wamempiga risasi na kumuua mwenyekiti wa baraza la Qur'ani katika mji Awamiya katika eneo la Qatif mashariki mwa nchi hiyo.