Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Safavi: Kuna hatari ya kutokea fitna mpya Ghuba ya Uajemi

    Safavi: Kuna hatari ya kutokea fitna mpya Ghuba ya Uajemi

    Jul 03, 2017 23:12

    Mshauri Mkuu wa Amirijeshi Mkuu wa Vikosi vyote vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, baada ya Marekani, Saudi Arabia na Wazayuni kushindwa vibaya katika nchi za Iraq na Syria, hivi sasa kuna uwezekano kundi hilo likaanzisha fitna mpya katika eneo la Ghuba ya Uajemi.

  • Qatar yatangaza jeshi lake liko tayari kwa ajili vita

    Qatar yatangaza jeshi lake liko tayari kwa ajili vita

    Jul 03, 2017 02:11

    Waziri wa Ulinzi wa Qatar amesema jeshi la nchi hiyo liko tayari kuilinda nchi hiyo endapo itakabiliwa na chokochoko tarajiwa za maadui.

  • Utunishaji misuli dhidi ya Qatar na masharti yasiyotekelezeka ya Saudia

    Utunishaji misuli dhidi ya Qatar na masharti yasiyotekelezeka ya Saudia

    Jul 01, 2017 02:07

    Saudi Arabia na waitifaki wake wamezidi kuitunishia misuli Qatar kwa kuipa masharti 13 magumu ambayo ni muhali kutekelezeka. Viongozi wa nchi mbalimbali, wanasiasa mashuhuri wa kieneo na kimataifa akiwemo pia Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar, wote wamesema kuwa masharti hayo hayatekelezeki.

  • New York Times: Mrithi wa ufalme wa Saudia aliyengólewa, amewekwa kifungo cha nyumbani

    New York Times: Mrithi wa ufalme wa Saudia aliyengólewa, amewekwa kifungo cha nyumbani

    Jun 29, 2017 09:58

    Gazeti la New York Times la nchini Marekani limefichua kuwa, Muhammad bin Nayef bin Abdulaziz Aal Saud mrithi wa kiti cha ufalme aliyepigwa kalamu nyekundu hivi karibuni nchini Saudia, sasa amewekwa katika kifungo cha nyumbani kwenye kasri yake mjini Jeddah na kuzuiliwa kusafiri nje ya nchi hiyo.

  • Libya yaitaka Saudi Arabia ieleze kwa nini imewatia mbaroni raia wake

    Libya yaitaka Saudi Arabia ieleze kwa nini imewatia mbaroni raia wake

    Jun 28, 2017 10:53

    Serikali ya Libya imedhihirisha kukasirishwa kwake na kitendo cha Saudi Arabia cha kuwakamata raia wa nchi hiyo walipokuwa wanajiandaa kurejea nyumbani na kuitaka Riyadh itoe maelezo kuhusiana na sababu za kuwatia mbaroni raia hao wa Libya.

  • Qatar yalaani ukaidi wa Saudia wa kukataa suluhu

    Qatar yalaani ukaidi wa Saudia wa kukataa suluhu

    Jun 28, 2017 10:34

    Serikali ya Qatar imelaani ukaidi wa Saudi Arabia wa kukataa kufanya mazungumzo na Doha kwa ajili ya kutafuta njia za kuondoa vikwazo vya nchi nne za Kiarabu dhidi ya Qatar.

  • Ujerumani: Masharti iliyopewa Qatar ni ya kichochezi sana

    Ujerumani: Masharti iliyopewa Qatar ni ya kichochezi sana

    Jun 27, 2017 03:16

    Ujerumani imeyataja kuwa ya kichochezi sana masharti iliyopewa Qatar kabla ya kutatulwa mgogoro wake na nchi nne za Kiarabu zinazoongozwa na Saudi Arabia.

  • Mohammed bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme anayetumia fedha nyingi katika historia ya ukoo wa Aal Saud

    Mohammed bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme anayetumia fedha nyingi katika historia ya ukoo wa Aal Saud

    Jun 26, 2017 11:53

    Gazeti la al Manar limeripoti kuwa, Mohammed bin Salman Aal Saud ni mmoja wa warithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia ambaye ametumia mabilioni ya dola ili kuonyesha uwezo wake.

  • Udiplomasia wa Marekani na changamoto ya hitilafu baina ya Trump na Tillesron

    Udiplomasia wa Marekani na changamoto ya hitilafu baina ya Trump na Tillesron

    Jun 26, 2017 11:34

    Gazeti la New York Times limefichua hitilafu zilizopo kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa nchi hiyo Rex Tillerson kuhusu mvutano uliopo kati ya Saudi Arabia na Qatar.

  • Wanajeshi wa Saudia wamuua mkuu wa Baraza la Qur'ani huko Qatif

    Wanajeshi wa Saudia wamuua mkuu wa Baraza la Qur'ani huko Qatif

    Jun 25, 2017 10:58

    Wanajeshi wa utawala wa Saudi Arabia wamempiga risasi na kumuua mwenyekiti wa baraza la Qur'ani katika mji Awamiya katika eneo la Qatif mashariki mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS