-
Saudia na Israel zafanya mazungumzo kuhusu makubaliano ya kibiashara
Jun 18, 2017 09:06Gazeti la The Times la Uingereza limefichua kuwa Saudi Arabia na utawala wa Kizayuni wa Israel zinafanya mazungumzo juu ya kile kinachotajwa kuwa mabadilishano rasmi ya kihistoria ya kibiashara.
-
Mauzo ya silaha, faida ya Marekani kutokana na mgogoro wa Saudia na Qatar
Jun 16, 2017 08:31Hatua ya Saudi Arabia na kundi lake ya kuanzisha mgogoro na nchi ndogo ya Qatar, imeipa Marekani kisingizio cha kuiuzia Doha ndege 36 za kivita aina ya F 15 zenye thamani ya dola bilioni 12.
-
Wamisri waandamana kupinga kupewa Saudia visiwa viwili vya nchi yao
Jun 14, 2017 03:45Wananchi wa Misri wamefanya maandamano katika mji mkuu Cairo, kulalamikia uamuzi wa Bunge la hiyo nchi hiyo wa kuidhinisha kupewa Saudi Arabia visiwa viwili vya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika vya Tiran na Sanafir.
-
Jeshi la Yemen lalipiza kisasi na kuua wanajeshi wanne Wasaudi
Jun 13, 2017 23:48Wanajeshi wanne wa Saudi Arabia wameuawa katika oparesheni ya pamoja ya kulipiza kisasi ya Jeshi la Yemen na wapiganaji wa Ansarullah katika eneo la Asir ndani ya ardhi ya Saudi Arabia.
-
Wasiwasi wa Amir wa Kuwait kuhusiana na mpasuko katika ulimwengu wa Kiarabu
Jun 13, 2017 23:46Sambamba na kuendelea mgogoro katika ulimwengu wa Kiarabu, Amir wa Kuwait ameelezea wasiwasi mkubwa alionao kutokana na kuendelea mvutano katika uhusiano wa baadhi ya nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi na kutahadharisha kuhusiana na matokeo mabaya ya kuendelea hitilafu kati ya Saudi Arabia na Qatar.
-
Zarif: Wakuu wa Saudia wametangaza wazi wataleta vita ndani ya Iran
Jun 13, 2017 09:11Waziri wa Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, "wakuu wa Saudi Arabia wametangaza wazi kuwa watahamishia vita ndani ya Iran na hili ni tishio la moja kwa moja."
-
Saudia yawapiga marufuku raia wa Qatar kuingia Masjid al-Haram
Jun 11, 2017 22:44Mgogoro wa kidiplomasia ulioibuka kati ya Saudi Arabia ikishirikiana na nchi kadhaa za Kiarabu dhidi ya Qatar unaonekana kuchukua sura mpya baada ya watawala wa Aal Saud kuwazuia raia wa Qatar kuingia katika msikiti wa Makka.
-
Saudia yaendelea kuzusha migogoro eneo la Mashariki ya Kati, yaelekea tena Iraq
Jun 11, 2017 13:56Utawala wa kifalme wa Aal-Saud nchini Saudi Arabia kwa kushirikiana na washirika wake (yaani Jordan na Imarat chini ya uungaji mkono kamili wa Marekani na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel) imempa ahadi kiongozi wa eneo la Kurdistan nchini Iraq ya kumtaka atangaze kujitenga na serikali kuu ya Baghdad.
-
Mauritania nayo yakata uhusiano na Qatar, Gabon yaishutumu Doha
Jun 07, 2017 02:39Katika hatua inayoonekana ni kufuata kibubusa sera za Saudi Arabia, Mauritania imetangaza kukata uhusiano wa kidiplomasia na Qatar, siku chache baada ya nchi kadhaa za Kiarabu kuchukua hatua kama hiyo.
-
Trump aunga mkono Saudia katika mgogoro na Qatar
Jun 06, 2017 23:18Rais Donald Trump wa Marekani ameunga mkono Saudi Arabia katika mgogoro wake na Qatar na kwa njia isiyo ya moja kwa moja akaituhumu Qatari kuwa inaunga mkono ugaidi.