Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Qatar yaafiki upatanishi wa Kuwait katika mgogoro na Saudia

    Qatar yaafiki upatanishi wa Kuwait katika mgogoro na Saudia

    Jun 06, 2017 09:10

    Qatar imesema iko tayari kuipa Kuwait fursa kuwa mpatanishi katika mgogoro ulioibuka baada ya Saudi Arabia kuzichochea nchi kadhaa za Kiarabu kukata uhusiano na nchi hiyo.

  • Qatar: Madai dhidi yetu si ya kweli na hayana msingi

    Qatar: Madai dhidi yetu si ya kweli na hayana msingi

    Jun 05, 2017 03:15

    Baada ya Saudi Arabia, Misri, Imarati na Bahrain kukata uhusiano na Qatar mapema leo Jumatatu, wizara ya mambo ya nje wa Qatar imesema, imesikitishwa na hatua hiyo.

  • Kiongozi wa upinzani Uingereza aituhumu Saudia kwa kuunga mkono ugaidi

    Kiongozi wa upinzani Uingereza aituhumu Saudia kwa kuunga mkono ugaidi

    Jun 05, 2017 02:20

    Kiongozi wa upinzani nchini Uingereza, Jeremy Corbyn amesema, wakati sasa umewadia kwa nchi yake kufanya 'mazungumzo magumu' na Saudia Arabia na madola mengine ya Kiarabu ambayo yanaunga mkono magaidi.

  • Wapiganaji wa Ansarullah wamuangamiza afisa wa jeshi la Saudia

    Wapiganaji wa Ansarullah wamuangamiza afisa wa jeshi la Saudia

    Jun 03, 2017 10:39

    Wapiganaji wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen wamepambana vikali na wanajeshi vamizi wa Saudi Arabia katika maeneo ya mipakani na kumuangamiza afisa wa jeshi la Saudia mwenye cheo cha kapteni.

  • Saudia yatabiri kutokea mapinduzi ya kijeshi nchini Qatar

    Saudia yatabiri kutokea mapinduzi ya kijeshi nchini Qatar

    Jun 02, 2017 21:59

    Katika hali inayoonekana ni ya kuzidi kuvurugika uhusiano wa Saudi Arabia na Qatar, gazeti moja la Saudia linalochapishwa mjini Riyadh limetabiri kuwa, kuna uwezekano wa kutokea mapinduzi ya sita ya kijeshi nchini Qatar hasa kwa kuzingatia katika nchi hiyo ndogo ya Kiarabu kumetokea mapinduzi matano ya kijeshi katika kipindi cha baina ya mwaka 1971 na 2013.

  • Utawala wa Aal-Saud watumia ndege zisizo na rubani kushambulia raia eneo la Qatif

    Utawala wa Aal-Saud watumia ndege zisizo na rubani kushambulia raia eneo la Qatif

    Jun 01, 2017 23:50

    Vyombo vya habari nchini Saudi Arabia vimetangaza kuwa, utawala wa Aal-Saud umetumia ndege zisizo na rubani katika mashambulizi dhidi ya raia katika eneo la Qatif, mashariki mwa nchi hiyo.

  • Wasomi 1500 wa Misri wapinga kupewa Saudia visiwa vya nchi yao

    Wasomi 1500 wa Misri wapinga kupewa Saudia visiwa vya nchi yao

    Jun 01, 2017 09:51

    Shakhsia na wasomi 1500 wa Misri wametangaza rasmi upinzani wao kwa uamuzi wa serikali ya nchi hiyo wa kutaka kuipa Saudi Arabia visiwa viwili vya Misri vya Tiran na Sanafir.

  • Abdul-Malik al-Houthi: Fikra za Uwahabi za Saudia ndizo zinazoeneza ugaidi duniani

    Abdul-Malik al-Houthi: Fikra za Uwahabi za Saudia ndizo zinazoeneza ugaidi duniani

    Jun 01, 2017 02:58

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amekosoa vikali misimamo ya Saudi Arabia na mkatakati wake wa kueneza fikra za Uwahabi na kubainisha kwamba, matukio ya kigaidi yanayoshuhudiwa katika maeneo mbalimbali duniani chimbuko lake ni fikra za Kiuwahabi za Saudia.

  • Mamluki 46 wa Saudia wauawa na kujeruhiwa Yemen

    Mamluki 46 wa Saudia wauawa na kujeruhiwa Yemen

    May 31, 2017 10:06

    Duru za kuaminika za Yemen zimetangaza habari ya kuuawa na kujeruhiwa karibu mamluki 46 wa Saudi Arabia katika mapigano na jeshi la Yemen.

  • Israel yafaidika na mkataba wa silaha wa Saudia, Marekani

    Israel yafaidika na mkataba wa silaha wa Saudia, Marekani

    May 29, 2017 03:16

    Gazeti moja la Kizayuni, limefichua kuwa, katika mkataba wa mabilioni ya dola wa ununuzi silaha baina ya Marekani na Saudia, mashirika ya Israel yatapata faida kubwa sana.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS