-
HRW: Silaha za Marekani zinatumiwa na Saudia kutenda jinai za kivita Yemen
Dec 03, 2016 00:55Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch kwa mara nyingine limetoa wito kwa Marekani kusitisha uuzaji wake wa silaha kwa Saudi Arabia.
-
Wanaharakati watatu wa Kishia wahukumiwa kunyongwa Saudia
Dec 01, 2016 04:00Mahakama moja ya Saudi Arabia imewahukumu kunyongwa wanaharakati watatu wa Kishia wa nchini humo.
-
Mashambulio ya ndege za kivita za Saudia yaendelea kuua raia wa Yemen
Nov 28, 2016 04:21Watu 19 wameuawa katika mashambulio mapya ya anga yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia dhidi ya maeneo ya makaazi ya raia nchini Yemen.
-
El Sisi: Misri si mtumwa wa Saudi Arabia
Nov 27, 2016 12:30Rais wa Misri amesema, nchi yake kamwe haiwezi kufuata maamrisho ya Saudi Arabia katika mahusiano yake ya kieneo na kimataifa.
-
UN yatoa wito kwa Saudia iwaachie huru wanaharakati watetezi wa haki za binadamu
Nov 22, 2016 12:55Kamati ya Umoja wa Mataifa inayochunguza utiaji nguvuni kiholela unaofanywa duniani imetoa wito tena wa kuachiwa huru wanaharakati watetezi wa haki za binadamu nchini Saudi Arabia.
-
Qassemi: Mpango wa Saudia dhidi ya Iran chimbuko lake ni matatizo ya ndani ya Wasaudia
Nov 21, 2016 10:14Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, pendekezo la kuundwa muungano wa nchi za Ghuba ya Uajemi bila ya ushiriki wa Iran na kuifukuza Jamhuri ya Kiislamu katika Jumuiya ya Ushirikiano ya Nchi za Kiislamu OIC chimbuko lake ni matatizo ya ndani ya Saudia.
-
Udiplomasia wa Saudia; kuharibu uhusiano wa Iran kieneo na kimataifa
Nov 21, 2016 08:29Duru za kisiasa zenye mfungamano na Wasaudia katika siku za hivi karibuni zimezidisha harakati na lobi za kisiasa dhidi ya Iran. Lengo la harakati hizo ni kuiiweka chini ya mashinikizo Iran kieneo na kimataifa.
-
Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen lakubali usimamishaji vita
Nov 20, 2016 23:30Mkuu wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amekaribisha juhudi za kusimamisha vita kwa ajili ya kukomesha uvamizi wa Saudi Arabia nchini humo.
-
Kwa mara nyingine Saudia yatoa tuhuma zisizo na msingi dhidi ya Iran
Nov 20, 2016 12:41Ubalozi wa Saudia nchini Misri umetoa madai yasiyo na msingi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwamba eti inaingilia masuala ya ndani ya nchi za Kiarabu.
-
Trump: Sitonunua mafuta ya Saudia kwani wanaunga mkono ugaidi, Saudia: utayanunua tu!
Nov 18, 2016 13:21Rais mteule wa Marekani Donald Trump amesema kuwa, Marekani ina haja ya kuzuia mafuta ghafi ya Saudia kuingia nchini hiyo na badala yake Washington itajidhaminia kikamilifu nishati hiyo yenyewe.