-
Mahakama ya Misri yakataa rufaa ya serikali kuhusu makubaliano na Saudia juu ya visiwa
Nov 08, 2016 12:12Mahakama Kuu ya Kiidara ya Misri imekataa rufaa iliyokatwa na serikali ya kupinga hukumu iliyotolewa hapo awali ya kubatilisha makubaliano yaliyofikiwa baina ya serikali hiyo na Saudi Arabia kuhusu umiliki wa visiwa viwili vilivyoko katika Bahari Nyekundu.
-
Saudia yasimamisha makubaliano ya kusafirisha mafuta Misri
Nov 08, 2016 04:05Katika kile kinachoonekana ni kutokota mzozo kati ya Riyadh na Cairo juu ya visiwa vya kiistratajia vya Tiran na Sanafir, Misri imetangaza rasmi kuwa, Saudi Arabia imesimamisha makubaliano ya kusafirisha mafuta katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Saudi Arabia inaunga mkono ugaidi barani Afrika
Nov 08, 2016 03:48Gazeti la Washington Post la Marekani limeandika makala kuhusu kuenea Uwahhabi nchini Nigeria na kuongeza kuwa, utawala wa Saudi Arabia unaaunga mkono viongozi wa Mawahhabi ili waweze kueneza Uwahhabi nchini humo na kote barani Afrika.
-
WHO: Maelfu ya watu wameuawa nchini Yemen
Nov 07, 2016 11:20Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa maelfu ya watu wameuawa nchini Yemen katika mashambulizi ya Saudi Arabia na washirika wake ambayo yanaingia mwezi wa 20 sasa.
-
Mashia Nigeria: Hujuma dhidi yetu ni mwangwi wa Uwahabi nchini
Nov 04, 2016 12:20Waislamu wa madhehebu ya Shia huko Nigeria wamekosoa vikali ukandamizaji unaofanywa dhidi yao na vyombo vya usalama nchini humo na kusisitiza kuwa, dhulma hizo zimetokana na fikra za Kiwahabi.
-
Maulama wa Yemen wakadhibisha madai ya Saudia, miji mitakatifu haishambuliwi
Nov 04, 2016 04:46Maulama wa Kiislamu nchini Yemen wamekadhibisha madai yaliyotolewa na utawala wa kifalme wa Saudi Arabia uliosema jeshi na wapiganaji wa Yemen wameshambulia mji mtakatifu wa Makka.
-
Bennett: Clinton na mumewe wametajirika kwa pesa za Saudia
Nov 03, 2016 00:23Ofisa wa zamani wa jeshi la Marekani na mchambuzi wa siasa amesema mgombea wa urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democrat Hillary Clinton na mumewe wake Bill Clinton wamechuma utajiri wao kutokana na kuiuzia Saudi Arabia ushawishi wa serikali ya Washington.
-
Duff: Kuchaguliwa Aoun kunaonesha Saudia inazidi kupoteza ushawishi
Nov 01, 2016 11:38Gordon Duff, Mhariri Mwandamizi wa jarida la Veterans Today la Marekani na pia mchambuzi wa masuala ya siasa amesema hatua ya Lebanon kupata rais mpya ni dhihirisho kuwa Saudi Arabia inazidi kupoteza ushawishi wake katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Iran: Saudia inazawadiwa uwanachama wa Baraza la Haki za Binadamu kwa jinai inazofanya Yemen
Oct 31, 2016 04:09Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema utawala wa Saudi Arabia unapokea tuzo ya uwanachama wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kutokana na jinai za kutisha unazoendelea kufanya nchini Yemen.
-
Saudia kununua silaha zaidi kutoka Ukraine
Oct 30, 2016 11:55Utawala wa kifalme wa Saudi Arabia umeongeza ushirikiano wake na nchi ya Ulaya Mashariki ya Ukraine na iko mbioni kununua silaha zaidi kutoka nchini humo.