Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Saudia yapunguza tena mishahara ya wafanyakazi wa serikali na wa binafsi

    Saudia yapunguza tena mishahara ya wafanyakazi wa serikali na wa binafsi

    Oct 27, 2016 07:12

    Kwa mara nyingine tena, serikali ya utawala wa kifalme wa Saudi Arabia ambao unakabiliwa na matatizo ya kifedha imepunguza mishahara ya wafanyakazi wa sekta za serikali na za binafsi za nchi hiyo.

  • Mazoezi ya kijeshi ya mara kwa mara ya nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi

    Mazoezi ya kijeshi ya mara kwa mara ya nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi

    Oct 27, 2016 03:53

    Majeshi ya nchi Kiarabu wanachama wa Baraza la Ushirikiano wa Ghuba ya Uajemi tarehe 25 Oktoba yalianza mazoezi ya kijeshi yaliyopewa jina la "Amani ya Ghuba ya Uajemi-1".

  • Seneta wa Marekani afichua uhusiano wa Washington na Daesh

    Seneta wa Marekani afichua uhusiano wa Washington na Daesh

    Oct 26, 2016 11:30

    Seneta mmoja wa chama cha Republican nchini Marekani amesema uhusiano kati ya Washington na kundi la kigaidi la Daesh umechangia kusambaratisha usalama na utulivu katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Wayemen walaani Umoja wa Mataifa kwa kupuuza jinai za Saudia

    Wayemen walaani Umoja wa Mataifa kwa kupuuza jinai za Saudia

    Oct 25, 2016 12:54

    Mamia ya watu wa Yemen wameandamana katika mji mkuu, Sana'a kulaani Umoja wa Mataifa kwa kupuuza jinai za kivita za Saudi Arabia dhidi ya nchi yao.

  • Maafisa wawili wa usalama wa Saudia wauawa mjini Dammam

    Maafisa wawili wa usalama wa Saudia wauawa mjini Dammam

    Oct 25, 2016 12:52

    Watu wasiojulikana wamewapiga risasi na kuwaua maafisa wawili wa usalama katika mji wa Dammam mashariki mwa Saudi Arabia.

  • UN: Saudia ilikiuka sheria za kimataifa kwa kushambulia waombolezaji Yemen

    UN: Saudia ilikiuka sheria za kimataifa kwa kushambulia waombolezaji Yemen

    Oct 21, 2016 03:59

    Wasimamizi wa vikwazo vya kimataifa wa Umoja wa Mataifa wamesema kuwa jeshi la Saudi Arabia lilikiuka sheria kwa kushambulia kikao cha waombolezaji nchini Yemen.

  • Marekani, Saudia, Israel ni waungaji mkono wa magaidi wa Daesh

    Marekani, Saudia, Israel ni waungaji mkono wa magaidi wa Daesh

    Oct 17, 2016 23:40

    Kamanda wa ngazi za juu wa jeshi nchini Syria amesema, kuna ushahidi wa kutosha kuwa Marekani, Saudi Arabia na Israel ni waungaji mkono wakuu wa magaidi wa ISIS (Daesh) huko Syria na Iraq.

  • Wasiwasi wa taathira hasi za kuasisiwa na Saudi Arabia Chuo Kikuu huko Afghanistan

    Wasiwasi wa taathira hasi za kuasisiwa na Saudi Arabia Chuo Kikuu huko Afghanistan

    Oct 17, 2016 04:30

    Mpango wa serikali ya Saudi Arabia wa kujenga Chuo Kikuu cha Kiislamu katika mkoa wa Nangarhar huko Afghanistan umezua wasiwasi kuhusiana na jambo hilo.

  • Taathira ya udiplomasia hasi wa Saudia kuhusiana na Iraq

    Taathira ya udiplomasia hasi wa Saudia kuhusiana na Iraq

    Oct 17, 2016 00:55

    Kamati ya mahusiano ya bunge nchini Iraq imeitaka Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya nchi hiyo kupinga kuteuliwa na Saudia, Abdulaziz al-Shammari kuwa balozi mdogo mahala pa Thamer al-Sabhan, balozi wa nchi hiyo aliyetimuliwa na Baghdad hivi karibuni.

  • Saudia yakiri kuwa ndiyo iliyofanya mauaji ya umati Sana'a Yemen

    Saudia yakiri kuwa ndiyo iliyofanya mauaji ya umati Sana'a Yemen

    Oct 15, 2016 12:24

    Saudi Arabia imekiri kuwa ndiyo iliyofanya mashambulizi katika ukumbi ambao ulikuwa umekusanyika mamia ya watu kwa ajili ya maziko kusini mwa Sana'a, mji mkuu wa Yemen Jumamosi iliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS