-
Saudia yapunguza tena mishahara ya wafanyakazi wa serikali na wa binafsi
Oct 27, 2016 07:12Kwa mara nyingine tena, serikali ya utawala wa kifalme wa Saudi Arabia ambao unakabiliwa na matatizo ya kifedha imepunguza mishahara ya wafanyakazi wa sekta za serikali na za binafsi za nchi hiyo.
-
Mazoezi ya kijeshi ya mara kwa mara ya nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi
Oct 27, 2016 03:53Majeshi ya nchi Kiarabu wanachama wa Baraza la Ushirikiano wa Ghuba ya Uajemi tarehe 25 Oktoba yalianza mazoezi ya kijeshi yaliyopewa jina la "Amani ya Ghuba ya Uajemi-1".
-
Seneta wa Marekani afichua uhusiano wa Washington na Daesh
Oct 26, 2016 11:30Seneta mmoja wa chama cha Republican nchini Marekani amesema uhusiano kati ya Washington na kundi la kigaidi la Daesh umechangia kusambaratisha usalama na utulivu katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Wayemen walaani Umoja wa Mataifa kwa kupuuza jinai za Saudia
Oct 25, 2016 12:54Mamia ya watu wa Yemen wameandamana katika mji mkuu, Sana'a kulaani Umoja wa Mataifa kwa kupuuza jinai za kivita za Saudi Arabia dhidi ya nchi yao.
-
Maafisa wawili wa usalama wa Saudia wauawa mjini Dammam
Oct 25, 2016 12:52Watu wasiojulikana wamewapiga risasi na kuwaua maafisa wawili wa usalama katika mji wa Dammam mashariki mwa Saudi Arabia.
-
UN: Saudia ilikiuka sheria za kimataifa kwa kushambulia waombolezaji Yemen
Oct 21, 2016 03:59Wasimamizi wa vikwazo vya kimataifa wa Umoja wa Mataifa wamesema kuwa jeshi la Saudi Arabia lilikiuka sheria kwa kushambulia kikao cha waombolezaji nchini Yemen.
-
Marekani, Saudia, Israel ni waungaji mkono wa magaidi wa Daesh
Oct 17, 2016 23:40Kamanda wa ngazi za juu wa jeshi nchini Syria amesema, kuna ushahidi wa kutosha kuwa Marekani, Saudi Arabia na Israel ni waungaji mkono wakuu wa magaidi wa ISIS (Daesh) huko Syria na Iraq.
-
Wasiwasi wa taathira hasi za kuasisiwa na Saudi Arabia Chuo Kikuu huko Afghanistan
Oct 17, 2016 04:30Mpango wa serikali ya Saudi Arabia wa kujenga Chuo Kikuu cha Kiislamu katika mkoa wa Nangarhar huko Afghanistan umezua wasiwasi kuhusiana na jambo hilo.
-
Taathira ya udiplomasia hasi wa Saudia kuhusiana na Iraq
Oct 17, 2016 00:55Kamati ya mahusiano ya bunge nchini Iraq imeitaka Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya nchi hiyo kupinga kuteuliwa na Saudia, Abdulaziz al-Shammari kuwa balozi mdogo mahala pa Thamer al-Sabhan, balozi wa nchi hiyo aliyetimuliwa na Baghdad hivi karibuni.
-
Saudia yakiri kuwa ndiyo iliyofanya mauaji ya umati Sana'a Yemen
Oct 15, 2016 12:24Saudi Arabia imekiri kuwa ndiyo iliyofanya mashambulizi katika ukumbi ambao ulikuwa umekusanyika mamia ya watu kwa ajili ya maziko kusini mwa Sana'a, mji mkuu wa Yemen Jumamosi iliyopita.