Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • UN: Saudia ilikiuka sheria za kimataifa kwa kushambulia waombolezaji Yemen

    UN: Saudia ilikiuka sheria za kimataifa kwa kushambulia waombolezaji Yemen

    Oct 21, 2016 03:59

    Wasimamizi wa vikwazo vya kimataifa wa Umoja wa Mataifa wamesema kuwa jeshi la Saudi Arabia lilikiuka sheria kwa kushambulia kikao cha waombolezaji nchini Yemen.

  • Marekani, Saudia, Israel ni waungaji mkono wa magaidi wa Daesh

    Marekani, Saudia, Israel ni waungaji mkono wa magaidi wa Daesh

    Oct 17, 2016 23:40

    Kamanda wa ngazi za juu wa jeshi nchini Syria amesema, kuna ushahidi wa kutosha kuwa Marekani, Saudi Arabia na Israel ni waungaji mkono wakuu wa magaidi wa ISIS (Daesh) huko Syria na Iraq.

  • Wasiwasi wa taathira hasi za kuasisiwa na Saudi Arabia Chuo Kikuu huko Afghanistan

    Wasiwasi wa taathira hasi za kuasisiwa na Saudi Arabia Chuo Kikuu huko Afghanistan

    Oct 17, 2016 04:30

    Mpango wa serikali ya Saudi Arabia wa kujenga Chuo Kikuu cha Kiislamu katika mkoa wa Nangarhar huko Afghanistan umezua wasiwasi kuhusiana na jambo hilo.

  • Taathira ya udiplomasia hasi wa Saudia kuhusiana na Iraq

    Taathira ya udiplomasia hasi wa Saudia kuhusiana na Iraq

    Oct 17, 2016 00:55

    Kamati ya mahusiano ya bunge nchini Iraq imeitaka Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya nchi hiyo kupinga kuteuliwa na Saudia, Abdulaziz al-Shammari kuwa balozi mdogo mahala pa Thamer al-Sabhan, balozi wa nchi hiyo aliyetimuliwa na Baghdad hivi karibuni.

  • Saudia yakiri kuwa ndiyo iliyofanya mauaji ya umati Sana'a Yemen

    Saudia yakiri kuwa ndiyo iliyofanya mauaji ya umati Sana'a Yemen

    Oct 15, 2016 12:24

    Saudi Arabia imekiri kuwa ndiyo iliyofanya mashambulizi katika ukumbi ambao ulikuwa umekusanyika mamia ya watu kwa ajili ya maziko kusini mwa Sana'a, mji mkuu wa Yemen Jumamosi iliyopita.

  • Mbunge: Uwezekano wa Misri kukata uhusiano na Saudia ni mkubwa

    Mbunge: Uwezekano wa Misri kukata uhusiano na Saudia ni mkubwa

    Oct 15, 2016 04:50

    Mbunge mmoja nchini Misri ameonya kuwa uwezekano wa Cairo kukata uhusiano wake na Saudi Arabia ni mkubwa sana na kusisitiza kuwa iwapo nchi mbili hizo zitakata uhusiano wao, itakuwa ni kwa manufaa na maslahi ya Ulimwengu wa Kiarabu.

  • Iran yaonya juu ya kuendelea kuuziwa silaha Saudia, Israel

    Iran yaonya juu ya kuendelea kuuziwa silaha Saudia, Israel

    Oct 15, 2016 04:43

    Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa ameonya kuhusu kuendelea kuuziwa silaha utawala wa kifalme wa Saudi Arabia na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa hatua hiyo itakuwa na maafa makubwa katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Uhusiano wa Saudia na Iraq washuka hadi kiwango cha balozi mdogo

    Uhusiano wa Saudia na Iraq washuka hadi kiwango cha balozi mdogo

    Oct 15, 2016 00:25

    Baada ya serikali ya Iraq kuishinikiza Saudi Arabia imfukuze balozi wake mjini Baghdad kutokana na kuingilia masuala ya ndani ya Iraq, Riyadh imemrudisha nyumbani balozi wake huyo na kupeleka balozi mdogo kushika nafasi yake mjini Baghdad.

  • Usimamizi mzuri wa Iraq katika kumbukumbu ya Ashura ya Imam Hussein AS

    Usimamizi mzuri wa Iraq katika kumbukumbu ya Ashura ya Imam Hussein AS

    Oct 13, 2016 04:39

    Pamoja na kuwepo makundi hatari ya kigaidi katika maeneo mbali mbali, maombolezo ya kuuawa shahidi Imam Hussein AS na wafuasi wake watiifu, yalifanyika kwa mafanikio na usalama kamili nchini Iraq katika mji wa Karbala na kuhudhuriwa na mamilioni ya wafanya ziara.

  • Al-Houthi: Saudia ni mbeba bendera ya unafiki katika Ulimwengu wa Kiislamu

    Al-Houthi: Saudia ni mbeba bendera ya unafiki katika Ulimwengu wa Kiislamu

    Oct 12, 2016 23:15

    Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema "utawala wa kishetani wa Saudia" ni "mbeba bendera ya unafiki" katika Ulimwengu wa Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS