Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

sauti

  • Kongamano la mustakbali wa Waislamu linaloshirikisha nchi 25 laendelea Uganda + Sauti

    Kongamano la mustakbali wa Waislamu linaloshirikisha nchi 25 laendelea Uganda + Sauti

    Apr 27, 2019 02:21

    Kongamano kuhusu mustakbali wa vijana wa Kiislamu barani Afrika linaendelea katika mji mkuu wa Uganda Kampala. Viongozi wa Kiislamu kutoka zaidi ya nchi 25 wanashiriki mkutano huo. Mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismail ana maelezo zaidi...

  • Kimbunga cha Kenneth kufika kusini mwa Tanzania usiku wa leo, tahadhari zachukuliwa + Sauti

    Kimbunga cha Kenneth kufika kusini mwa Tanzania usiku wa leo, tahadhari zachukuliwa + Sauti

    Apr 25, 2019 12:12

    Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini Tanzania (TMA) imetangaza kuwa, kimbunga Kenneth kimeongezeka kasi na kinatarajiwa kufika pwani ya kusini ya Tanzania na kaskazini mwa Msumbiji kuanzia usiku wa leo. Hadi sasa wameshapokelewa watu takribani mia sita katika eneo la hifadhi. AMARI DACHI na taarifa zaidi akiripoti kutoka Dar es Salaam

  • Mahakama Kuu Rwanda yatupilia mbali mashtaka kuhusu vibonzo vinavyomuhusu Kagame + Sauti

    Mahakama Kuu Rwanda yatupilia mbali mashtaka kuhusu vibonzo vinavyomuhusu Kagame + Sauti

    Apr 25, 2019 12:08

    Mahakama Kuu nchini Rwanda imetupilia mbali mashtaka yaliyokuwa yametolewa na baadhi ya wanasheria nchini kupinga sheria iliyoanzishwa mwaka jana kuwa ni kosa la jinai kuchora vibonzo vinavyomkejeli Rais wa nchi hiyo. Wakati huo wanasheria hao walianzisha kesi kulipinga hilo huku wakisema hiyo ilikuwa ni kinyume cha katiba ya nchi hiyo. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi

  • Mahojiano na mshindi wa mashindano ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu ya mjini Tehran + Sauti

    Mahojiano na mshindi wa mashindano ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu ya mjini Tehran + Sauti

    Apr 14, 2019 13:46

    Mashindano ya 36 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yamemalizika leo Jumapili, Aprili 14, 2019 hapa mjini Tehran na kushindanisha washiriki kutoka nchi 83 za dunia.

  • Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania alaani kauli ya Profesa Assad + Sauti

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania alaani kauli ya Profesa Assad + Sauti

    Apr 14, 2019 13:41

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amelaani hatua ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Profesa Mussa Asaad ya kukariri kauli yake kuwa bunge hilo ni dhaifu. Ammar Dachi na maelezo zaidi...

  • Hotuba ya Rais Kenyatta wa Kenya Bungeni yashindwa kutimiza matumaini ya wananchi + Sauti

    Hotuba ya Rais Kenyatta wa Kenya Bungeni yashindwa kutimiza matumaini ya wananchi + Sauti

    Apr 05, 2019 01:51

    Hatimaye botuba ya Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na raia wengi wa nchi hiyo imetolewa ingawa haikutimiza matakwa ya wananchi wengi. Sifullah Murtadha na maelezo zaidi

  • Matukio ya ulimwengu wa Kiislamu na Harith Subeit + Sauti

    Matukio ya ulimwengu wa Kiislamu na Harith Subeit + Sauti

    Mar 29, 2019 21:44

    Wiki hii kama ilivyojiri kwa wiki zilizopita, kumekuwa na matukio mengi yanayohusiana na Waislamu wa Afrika Mashariki. Harith Subeit amekusanya baadhi ya matukio hayo na kutuandalia ripoti ifuatayo...

  • BBC yapigwa marufuku nchini Burundi + Sauti

    BBC yapigwa marufuku nchini Burundi + Sauti

    Mar 29, 2019 21:35

    Bodi ya Uandishi wa Habari nchini Burundi imevunja mkataba wake na Shirika la Utanganzaji la Ufalme wa Uingereza BBC, huku shirika la utangazaji la Marekani VOA nalo likiendelea kusimamishwa kwa muda. Burundi inayatuhumu mashirika hayo ya utangazaji kuwa yanakiuka sheria za uandishi nchini humo. Hamida Issa ametuandalia ripoti maalumu kuhusu habari hiyo...

  • Bunge nchini Uganda lapasisha bajeti ya kununua ndege ya taifa + Sauti

    Bunge nchini Uganda lapasisha bajeti ya kununua ndege ya taifa + Sauti

    Mar 29, 2019 21:35

    Bunge nchini Uganda limepasisha bajeti ya nyongeza ya shilingi bilioni 280 za nchi hiyo kwa ajili ya kununua ndege za taifa ili kulifufua shirika la ndege la nchi hiyo. Kwa maelezo zaidi tunajiunga na mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismail.

  • Wafuasi wa Fayulu walioshindwa katika uchaguzi DRC wakutana Ubelgiji na kuunda chama kipya + Sauti

    Wafuasi wa Fayulu walioshindwa katika uchaguzi DRC wakutana Ubelgiji na kuunda chama kipya + Sauti

    Mar 24, 2019 12:15

    Viongozi wa Jukwaa la Lamuka ambao waliungana kumuunga mkono Martin Fayulu kama mgombea kiti cha urais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika uchaguzi uliopita na kisha mgombea huyo kushindwa, sasa wamekutana Ubelgiji na kugeuza jukwaa hilo kuwa chama cha kisiasa kikiongozwa na Fayulu. Mwandishi wetu Mosi Mwasi na maelezo zaidi...

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS