Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

sauti

  • Ajali ya treni yaua na kujeruhi zaidi ya watu 130 DRC

    Ajali ya treni yaua na kujeruhi zaidi ya watu 130 DRC

    Mar 19, 2019 02:30

    Ajali ya garimoshi la kusafirishia mizigo iliyotokea siku ya Jumapili katika mkoa wa Kasai wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesababisha kupoteza maisha zaidi ya watu 50 na kujeruhiwa wengine wapatao 80.

  • EAC yataka viongozi wa nchi wawafikie wananchi wa mashinani +Sauti

    EAC yataka viongozi wa nchi wawafikie wananchi wa mashinani +Sauti

    Mar 09, 2019 06:57

    Wanasiasa wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wametaka wananchi wa mashinani wa nchi za jumuiya hiyo wafikiwe na maamuzi makuu ili thamani yao iweze kulindwa. Mwandishi wetu wa Kampala, Uganda na taarifa zaidi...

  • Mwenyekiti wa Chadema alipoachiliwa huru kwa dhamana Tanzania + Sauti

    Mwenyekiti wa Chadema alipoachiliwa huru kwa dhamana Tanzania + Sauti

    Mar 07, 2019 15:28

    Nchini Tanzania Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini humo cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Mbowe, pamoja na Mbunge Esta Matiko wameachiwa kwa dhamana baada ya kushinda rufaa ya dhamana katika Mahakama Kuu ya Tanzania Dar es salaam, na kutakiwa kuripoti mahakamani kwa mwezi mara moja. Kwa taarifa zaidi na tumtegee sikio mwandishi wetu wa Dar es Salaam Amar Dachi

  • Burundi yafunga ofisi ya Umoja wa Mataifa nchini humo + Sauti

    Burundi yafunga ofisi ya Umoja wa Mataifa nchini humo + Sauti

    Mar 05, 2019 23:09

    Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imefunga ofisi yake nchini Burundi kufuatia agizo la serikali ya Bujumbura la kufanya hivyo mara moja. Burundi imekuwa ikisuguana na ofisi hiyo ya Umoja wa Mataifa tangu mwaka 2015 baada ya kuripuka mzozo wa kisiasa nchini humo. Maelezo zaidi yamo kwenye ripoti ya mwandishi wetu wa Bujumbura, Hamida Issa...

  • Taasisi ya al Mustafa Khairiya yaozesha vijana 100 Tanga, Tanzania + Sauti

    Taasisi ya al Mustafa Khairiya yaozesha vijana 100 Tanga, Tanzania + Sauti

    Feb 26, 2019 03:09

    Taasisi ya al Mustafa Khairiya ya jijini Tanga Tanzania imefanya hafla ya kuwaozesha vijana 100 wa Kiislamu katika jitihada za kupunguza maovu kwenye jamii. Ammar Dachi na maelezo zaidi kutoka Dar es Salaam...

  • Wanaharakati wataka balozi wa Uganda nchini Burundi ajiuzulu + Sauti

    Wanaharakati wataka balozi wa Uganda nchini Burundi ajiuzulu + Sauti

    Feb 26, 2019 03:05

    Wanaharakati wa haki za binadamu wa nchini Uganda wametaka balozi wa nchi hiyo huko Burundi, Matayo Kyaligonza, ajiuzulu. Maelezo zaidi anayo mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismail…

  • Mgomo wa madaktari Kenya waingia wiki yake ya pili + Sauti

    Mgomo wa madaktari Kenya waingia wiki yake ya pili + Sauti

    Feb 11, 2019 13:50

    Mgomo wa madaktari na wauguzi nchini Kenya umeingia juma la pili hivi leo (siku ya Jumatatu), huku maelfu ya wagonjwa wanao tafuta huduma katika hospitali za umma wakikosa kupata matibabu.

  • Taarifa ya polisi wa uganda kuhusu vita dhidi ya mihadarati na pasi za kughushi + Sauti

    Taarifa ya polisi wa uganda kuhusu vita dhidi ya mihadarati na pasi za kughushi + Sauti

    Feb 11, 2019 13:44

    Polisi ya Uganda imetangaza kuwa imemtia mbaroni mtu mmoja mwenye uwezo wa kughushi pasi za kusafiria na vile vile imeripoti kwamba mwanamke mmoja raia wa nchi hiyo amenaswa na madawa ya kulevya mjini Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu. Kwa maelezo kamili, tumtegee sikio ripota wetu wa mjini Kampala, Kigozi Ismail...

  • Kujiuzulu Benjamin Mkapa katika upatanishi kwapokewa kwa hisia tofauti nchini Burundi + Sauti

    Kujiuzulu Benjamin Mkapa katika upatanishi kwapokewa kwa hisia tofauti nchini Burundi + Sauti

    Feb 11, 2019 13:41

    Wananchi wa Burundi wamekuwa na hisia na maoni tofauti kuhusu msimamo uliotangazwa na msuluhishi wa mzozo wa nchi hiyo rais mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa wa kuamua kujiuzulu wadhifa huo. Kwa maelezo zaidi tuitegee sikio ripoti ya mwandishi wetu wa mjini Bujumbura, Hamida Issa...

  • Balozi Farhang: Miradi ya nyuklia ya Iran ni ya amani kikamilifu + Sauti

    Balozi Farhang: Miradi ya nyuklia ya Iran ni ya amani kikamilifu + Sauti

    Feb 07, 2019 14:26

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania, Bw. Mousah Farhang amesema kuwa miradi ya nyuklia ya Iran ni ya amani kikamilifu, kinyume kabisa na propaganda zinazoenezwa na madola ya kibeberu. Ammari Dachi na taarifa kamili kutoka Dar es Salaam...

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS