Balozi Farhang: Miradi ya nyuklia ya Iran ni ya amani kikamilifu + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i51402-balozi_farhang_miradi_ya_nyuklia_ya_iran_ni_ya_amani_kikamilifu_sauti
Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania, Bw. Mousah Farhang amesema kuwa miradi ya nyuklia ya Iran ni ya amani kikamilifu, kinyume kabisa na propaganda zinazoenezwa na madola ya kibeberu. Ammari Dachi na taarifa kamili kutoka Dar es Salaam...
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Feb 07, 2019 14:26 UTC

Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania, Bw. Mousah Farhang amesema kuwa miradi ya nyuklia ya Iran ni ya amani kikamilifu, kinyume kabisa na propaganda zinazoenezwa na madola ya kibeberu. Ammari Dachi na taarifa kamili kutoka Dar es Salaam...