-
Wanafunzi wa sekondari Senegal wakamatwa kwa 'ugaidi'
Jul 20, 2016 07:39Polisi ya Senegal inawazuilia wanafunzi wanne wa shule moja ya upili kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya kigaidi.
-
Rais Sally: Waislamu ni wahanga wakubwa wa ugaidi
Jul 17, 2016 08:06Rais wa Senegal amesema kuwa Waislamu ni wahanga wakubwa wa ugaidi duniani.
-
Viongozi wa Wakristo Senegal watunukiwa zawadi ya Qur’ani Tukufu
Apr 06, 2016 02:54Mwakilishi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al Mustafa (SAW) nchini Senegal amekutana na viongozi wa Wakristo nchini humo na kuwakabidhi zawadi ya nakala ya Qur’ani iliyotarjumiwa kwa lugha ya Kifaransa.