Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sheikh Ibrahim Zakzaky

  • Ripoti: Hali ya kiafya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky yazidi kuwa mbaya

    Ripoti: Hali ya kiafya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky yazidi kuwa mbaya

    Jan 11, 2020 13:41

    Ofisi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imetangaza kuwa, hali ya kiafya ya kiongozi huyo anayeshikiliwa gerezani imezidi kuwa mbaya.

  • Sheikh Zakzaky: Kuuawa shahidi Qassim Soleimani kutaimarisha zaidi ari ya mapambano

    Sheikh Zakzaky: Kuuawa shahidi Qassim Soleimani kutaimarisha zaidi ari ya mapambano

    Jan 04, 2020 13:20

    Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema kuwa, kuuawa shahidi Luteni Jenerali Qassim Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (Sepah) na Naibu Mkuu wa kikosi cha kujitolea cha wananchi wa Iraq, al-Hashdul al-Shaabi, Abu Mahdi al-Muhandes kutapelekea kuimarika zaidi ari na moyo wa mapambano.

  • Maulamaa wa Kiislamu wataka kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Maulamaa wa Kiislamu wataka kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Dec 30, 2019 07:29

    Miito mbalimbali ya kutaka kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imeendelea kutolewa na shakhsia, wanaharakati na Maulamaa wa Kiislamu katika maeneo mbalimbali ya dunia.

  • Ripoti ya X-Ray: Kuna vipande 43 vya mabaki ya risasi kwenye mwili wa Zakzaky

    Ripoti ya X-Ray: Kuna vipande 43 vya mabaki ya risasi kwenye mwili wa Zakzaky

    Dec 28, 2019 12:24

    Huku tahadhari juu ya hali mbaya ya kiafya ya Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky zikiendelea kutolewa; duru za hospitali zimefichua kuwa, vipande vya mabaki ya risasi vimekwama kwenye mwili wa mwahanarakati huyo wa Kiislamu.

  • Tahadhari yatolewa kuhusu hali mbaya ya kiafya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Tahadhari yatolewa kuhusu hali mbaya ya kiafya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Dec 27, 2019 09:17

    Ofisi ya Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) kwa mara nyingine tena imeeleza wasiwasi wake kuhusiana na hali mbaya ya kiafya ya kiongozi wake, Sheikh Ibrahim Zakzaky anayeshikiliwa katia jela ya nchi hiyo.

  • Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt: Sheikh Zakzaky anapigania umoja wa Waislamu duniani

    Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt: Sheikh Zakzaky anapigania umoja wa Waislamu duniani

    Dec 25, 2019 05:30

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt amesema kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) Sheikh Ibrahim Zakzaky ni shakhsia anayepigania umoja katika ulimwengu wa Kiislamu.

  • Jumuiya ya Wahadhiri wa Vyuo Vikuu vya Kidini Qum yataka Sheikh Zakzaky aaichiwe huru

    Jumuiya ya Wahadhiri wa Vyuo Vikuu vya Kidini Qum yataka Sheikh Zakzaky aaichiwe huru

    Dec 22, 2019 11:58

    Jumuiya ya Wahadhariri wa Vyuo Vikuu vya Kidini ktika mji mtakatifu wa Qum nchini Iran imelaani hatua ya serikali ya Nigeria ya kumfunga jela kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) Sheikh Ibrahim Zakzaky na imetoa wito wa kuachiwa huru mwanazuoni huyo na kupewa mauibabu haraka iwezekanavyo.

  • Daktari wa Zakzaky: Kubakia kwake hai ni muujiza mkubwa

    Daktari wa Zakzaky: Kubakia kwake hai ni muujiza mkubwa

    Dec 09, 2019 05:23

    Daktari wa Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria Sheikh Ibrahim Zakzaky amesema kuwa msomi huyo ameathiriwa na sumu na anapaswa kupewa matibabu haraka iwezekanavyo.

  • Iran: Tunatumai mazungumzo na Nigeria yatapelekea kuachiwa Zakzaky

    Iran: Tunatumai mazungumzo na Nigeria yatapelekea kuachiwa Zakzaky

    Dec 08, 2019 12:07

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema ina wingi wa matumaini kuwa mazungumzo kati ya Tehran na Abuja yatakuwa chachu ya kuanza safari ya kuachiwa huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Mkuu wa Harakati ya Kiislamu Nigeria kupelekwa jela kuu ya Kaduna

    Mkuu wa Harakati ya Kiislamu Nigeria kupelekwa jela kuu ya Kaduna

    Dec 06, 2019 07:32

    Mahakama Kuu ya jimbo la Kaduna nchini Nigeria imekubali ombi la gavana wa jimbo hilo la kupelekwa Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky na mkewe katika jela kuu ya jimbo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS