Feb 13, 2024 07:36
Amnesty International ya Uingereza imefichua ushahidi wa "mashambulizi yasiyokubalika kisheria" ya mauaji yaliyofanywa na wanajeshi wa utawala haramu wa Israel katika mji wa Rafah, Gaza, na kueleza kwamba jeshi la utawala huo limetenda uhalifu wa kivita na ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa za kibinadamu wakati wa mashambulizi ya kikatili katika eneo hilo.