Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shirika la UNICEF

  • UNICEF: Machafuko na njaa vinatishia maisha ya maelfu ya watoto wa Sudan

    UNICEF: Machafuko na njaa vinatishia maisha ya maelfu ya watoto wa Sudan

    Mar 29, 2025 03:11

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limetangaza kuwa, ghasia na njaa vinatishia maisha ya watoto wa Sudan hususan katika mzozo wa jimbo la Darfur Kaskazini.

  • UNICEF: Watoto wa Ghaza wako taabani kwa kula nyasi

    UNICEF: Watoto wa Ghaza wako taabani kwa kula nyasi

    Apr 13, 2024 02:15

    Msemaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF amesema, ameshuhudia kwa macho yake mtoto aliye taabani baada ya kula nyasi kutokana na njaa inayokabili mamia ya maelfu ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • UNICEF: Idadi ya watoto Wapalestina waliouliwa na Israel Ukingo wa Magharibi pia haijawahi kushuhudiwa

    UNICEF: Idadi ya watoto Wapalestina waliouliwa na Israel Ukingo wa Magharibi pia haijawahi kushuhudiwa

    Dec 29, 2023 09:27

    Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF kanda ya Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini amesema, idadi ya watoto Wapalestina waliouliwa na askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika mwaka huu huko Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Baitul Muqaddas Mashariki ni kubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa kwa kila mwaka katika eneo hilo.

  • UNICEF: Watoto milioni 3.7 walioathirika na zilzala Syria wana hali mbaya

    UNICEF: Watoto milioni 3.7 walioathirika na zilzala Syria wana hali mbaya

    Mar 03, 2023 07:45

    Mkurugenzi mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF amesema, watoto milioni 3.7 ambao walinusurika na matetemeko ya ardhi ya tarehe 6 Februari mwaka huu katika maeneo yaliyoathirika nchini Syria wanakabiliwa na ongezeko la vitisho kadhaa vya zahma kubwa.

  • UNICEF yaonya kuhusu hali mbaya ya binadamu nchini Afghanistan

    UNICEF yaonya kuhusu hali mbaya ya binadamu nchini Afghanistan

    Feb 09, 2023 02:43

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limetahadharisha kuhusu matokeo mabaya ya kushadidi mgogoro wa binadamu nchini Afghanistan.

  • UNICEF:  Watoto wenye utapiamlo hatarini kufa kwa magonjwa yatokanayo na uhaba wa maji

    UNICEF: Watoto wenye utapiamlo hatarini kufa kwa magonjwa yatokanayo na uhaba wa maji

    Aug 23, 2022 08:06

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF limesema watoto walioko katika Pembe ya Afrika na Ukanda wa Sahel wanaweza kufa kwa idadi kubwa iwapo hawatapata misaada ya kibinadamu kwa haraka kwa kuwa tayari watoto hao wanakabiliwa na utapiamlo mkali na sasa wapo hatarini kupata magonjwa yaenezwayo na maji.

  • UNICEF: Watoto milioni 8 hatarini kufariki dunia kutokana na uzito mdogo

    UNICEF: Watoto milioni 8 hatarini kufariki dunia kutokana na uzito mdogo

    Jun 24, 2022 07:47

    Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF limeonya kuwa, takriban watoto milioni nane walio na umri wa chini ya miaka mitano katika nchi 15 zinazokabiliwa na majanga wako katika hatari ya kifo kutokana na uzito mdogo kupindukia endapo hawatapata haraka matibabu ya lishe na huduma zinazotakiwa.

  • UNICEF yataka shule zilizofungwa kwa corona zifunguliwe kote ulimwenguni

    UNICEF yataka shule zilizofungwa kwa corona zifunguliwe kote ulimwenguni

    Sep 16, 2021 12:17

    Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (Unicef) limezitaka mamlaka zinazohusika na elimu katika kona zote za dunia zihakikishe kuwa zinafungua haraka shule zilizokuwa zimefungwa kutokana na UVIKO-19.

  • UNICEF yatoa ripoti ya kusikitisha kuhusu mateso ya watoto wakimbizi

    UNICEF yatoa ripoti ya kusikitisha kuhusu mateso ya watoto wakimbizi

    May 07, 2020 00:40

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umetoa ripoti ya kusikitisha ya mwaka 2019 kuhusu hali mbaya na mateso ya watoto wasio na makazi kutokana na mapigano katika maeneo tofauti duniani.

  • UNICEF: Watoto 7,300 wameuawa nchini Yemen tokea 2015

    UNICEF: Watoto 7,300 wameuawa nchini Yemen tokea 2015

    May 17, 2019 02:30

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umesema watoto wapatao 7,300 wameuawa nchini Yemen katika vita na mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Saudi Arabia na washirika wake tokea mwaka 2015 hadi sasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS