Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shirika la UNICEF

  • Indhari ya Unicef kuhusu hali mbaya ya watoto wa Afghanistan

    Indhari ya Unicef kuhusu hali mbaya ya watoto wa Afghanistan

    Nov 28, 2018 07:39

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa Unicef umeonya kuhusu kuendelea kuwa mbaya hali ya watoto wa Afghanistan, ambao wanakodolewa macho na ghasia na umwagaji damu kila uchao.

  • UN: Mapigano Libya yawaweka watoto laki 5 katika hatari kubwa

    UN: Mapigano Libya yawaweka watoto laki 5 katika hatari kubwa

    Sep 25, 2018 07:58

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa Unicef umetadharisha kuwa, watoto laki tano wapo katika hatari kubwa ya kupoteza maisha kutokana na mapigano yaliyoshtadi katika mji mkuu wa Libya, Tripoli.

  • Unicef: Katika kila dakika 3, binti mmoja anaambukizwa virusi vya HIV

    Unicef: Katika kila dakika 3, binti mmoja anaambukizwa virusi vya HIV

    Jul 26, 2018 07:41

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa Unicef umesema mabinti na wanawake wenye umri kati ya miaka 15 na 19 wanajenga thuluthi mbili ya watu walioambukizwa virusi hatari vya HIV mwaka jana 2017.

  • Unicef: Watoto zaidi ya elfu 5 wameuawa, kujeruhiwa katika hujuma za Saudia, Yemen

    Unicef: Watoto zaidi ya elfu 5 wameuawa, kujeruhiwa katika hujuma za Saudia, Yemen

    Jul 04, 2018 03:50

    Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) ametahadharisha kuhusu hali ya kutisha inayowakabili watoto wa Yemen kutokana na mashambulizi ya muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo maskini jirani yake.

  • UNICEF: Nchi za Afrika zinaongoza kwa ndoa za utotoni

    UNICEF: Nchi za Afrika zinaongoza kwa ndoa za utotoni

    Mar 06, 2018 08:07

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa Unicef umesema ingawaje tabia ya kuozwa kwa lazima mabinti wadogo imepungua duniani, lakini nchi za chini ya Jangwa la Sahara barani Afrika kwa sasa zinaongoza kwa uozo huo.

  • UNICEF yataka watoto wanaotumia intaneti walindwe

    UNICEF yataka watoto wanaotumia intaneti walindwe

    Dec 13, 2017 03:55

    Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF linasema wakati fursa ya matumizi ya mtandao wa intaneti ikiongezeka ni lazima dunia hii ya kidijitali iyafanye matumizi hayo kuwa salama kwa watoto ili yaweze kunufaisha hasa wale walio katika hatari zaidi.

  • UNICEF: Watoto 18 wanaambukizwa HIV/Ukimwi kwa kila saa moja

    UNICEF: Watoto 18 wanaambukizwa HIV/Ukimwi kwa kila saa moja

    Dec 01, 2017 07:52

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umesema watoto 18 huambukizwa virusi vya HIV katika kila saa moja kote duniani, ishara kwamba jitihada za makusudi zingali zinahitajika kuzuia maambukizi ya virusi hivyo vinavyosababisha ugonjwa hatari wa Ukimwi miongoni mwa vijana na watoto wadogo.

  • UNICEF: Mashambulio ya Boko Haram kwa kutumia watoto wanaojiripua yameongezeka mara nne

    UNICEF: Mashambulio ya Boko Haram kwa kutumia watoto wanaojiripua yameongezeka mara nne

    Aug 23, 2017 03:47

    Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa kuhudumia watoto UNICEF umetangaza kuwa idadi ya watoto wanaotumiwa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram nchini Nigeria kufanya mashambulio ya kujitoa mhanga imeongezeka mara nne mwaka huu kulinganisha na mwaka uliopita wa 2016.

  • Watoto laki 4 katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na njaa Nigeria

    Watoto laki 4 katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na njaa Nigeria

    Dec 14, 2016 14:17

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umetahadharisha kuwa mamia ya maelfu ya watoto nchini Nigeria wako katika hatari ya kuaga dunia kutokana na vita, njaa na lishe duni.

  • UNICEF: Maisha ya watoto milioni 300 yako hatarini kutokana  na kuzidi kuchafuka hali ya hewa duniani

    UNICEF: Maisha ya watoto milioni 300 yako hatarini kutokana na kuzidi kuchafuka hali ya hewa duniani

    Oct 31, 2016 07:36

    Moja ya saba ya watoto duniani wanakabiliwa na hatari ya kifo kutokana na hali chafu mno ya hewa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS