Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shirika la UNICEF

  • UNICEF: Wasichana wanatumia saa milioni 160 zaidi kufanya kazi za nyumbani

    UNICEF: Wasichana wanatumia saa milioni 160 zaidi kufanya kazi za nyumbani

    Oct 08, 2016 08:11

    Wasichana wenye umri wa kati ya miaka 5 na 14 wanatumia asilimia 40 zaidi ya muda au saa milioni 160 kwa siku kufanya kazi za nyumbani zisizo na malipo kote duniani.

  • Wasiwasi wa Unicef kuhusu hali ya watoto katika eneo la Ziwa Chad

    Wasiwasi wa Unicef kuhusu hali ya watoto katika eneo la Ziwa Chad

    Sep 01, 2016 15:48

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umezitolea mwito taasisi za kimataifa kuwasaidia wahanga wa mashambulizi ya kundi la Boko Haram katika eneo la Ziwa Chad.

  • UNICEF: Vita vimesababisha maafa kwa watoto wa Iraq

    UNICEF: Vita vimesababisha maafa kwa watoto wa Iraq

    Jun 30, 2016 14:49

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetahadharisha kuwa watoto milioni tatu na laki sita wa Iraq wanakabiliwa na hatari kubwa ya kifo, kujeruhiwa, ukatili wa kingono, kutekwa nyara na kutumikishwa kama wapiganaji kwenye makundi yanayobeba silaha.

  • UNICEF yatahadharisha kuhusiana na vifo vya watoto nchini Uganda

    UNICEF yatahadharisha kuhusiana na vifo vya watoto nchini Uganda

    Jun 29, 2016 13:16

    Mwakilishi wa Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF ametahadharisha kuhusiana na vifo vya watoto nchini Uganda.

  • UNICEF yatahadharisha kuhusu hatari ya njaa na utapiamlo inayoikabili Zimbabwe

    UNICEF yatahadharisha kuhusu hatari ya njaa na utapiamlo inayoikabili Zimbabwe

    Mar 16, 2016 03:22

    Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kushughulikia Watoto (UNICEF) umetahadharisha juu ya hali mbaya ya njaa nchini Zimbabwe na kutangaza kuwa endapo hatua za lazima hazitochukuliwa juu ya suala hilo baa la njaa na utapiamlo vitavuka kiwango cha kuweza kudhibitika.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS