Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

silaha

  • Seneti ya Marekani yapinga mauzo ya Trump ya silaha kwa Saudia

    Seneti ya Marekani yapinga mauzo ya Trump ya silaha kwa Saudia

    Jun 21, 2019 11:27

    Bunge la Seneti la Marekani limeunga mkono azimio la kupinga mauzo ya silaha zenye thamani ya dola bilioni 8.1 kwa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu, yaliyoidhinishwa hivi karibuni na utawala wa Rais Donald Trump bila idhini ya Kongresi.

  • Mahakama: Uingereza imekiuka sheria kwa kuiuzia silaha Saudia

    Mahakama: Uingereza imekiuka sheria kwa kuiuzia silaha Saudia

    Jun 21, 2019 04:34

    Mahakama ya Rufaa nchini Uingereza imesema kuwa serikali ya London ilikiuka sheria kwa kuiuzia silaha Saudi Arabia na washirika wake katika vita vya Yemen.

  • Yemen: Tuhuma za kutumwa silaha katika nchi iliyozingirwa, ni uongo mkubwa

    Yemen: Tuhuma za kutumwa silaha katika nchi iliyozingirwa, ni uongo mkubwa

    Jun 13, 2019 11:45

    Mjumbe wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Answarullah nchini Yemen amesema kuwa, tuhuma za kutumwa silaha za kigeni ndani ya nchi hiyo ambayo imekuwa chini ya mzingiro wa kidhalimu na kuifanya ishindwe kudhamini mahitaji ya chakula na madawa, ni suala lisilofikirika na ni uongo wa wazi.

  • Baraza la Usalama laongeza muda wa vikwazo kwa Libya kwa mwaka mmoja mwingine

    Baraza la Usalama laongeza muda wa vikwazo kwa Libya kwa mwaka mmoja mwingine

    Jun 11, 2019 03:19

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena limekipatia mamlaka kikosi cha Umoja wa Ulaya kuendesha mapambano dhidi ya silaha haramu kuelekea Libya na kutekeleza vikwazo vya silaha vilivyowekewa nchi hiyo iliyoathiriwa na machafuko ya kaskazini mwa Afrika.

  • Seneti ya Marekani yaanzisha mchakato wa kuzuia uuzaji wa silaha kwa Saudia

    Seneti ya Marekani yaanzisha mchakato wa kuzuia uuzaji wa silaha kwa Saudia

    Jun 06, 2019 06:41

    Maseneta wa Marekani wamewasilisha katika Kongresi ya nchi hiyo muswada unaotaka kuzuia mauzo ya silaha zenye thamani ya dola bilioni 8.1 kwa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu, yaliyoidhinishwa hivi karibuni na utawala wa Rais Donald Trump bila idhini ya Kongresi.

  • Mauzo ya silaha za Ufaransa kwa Saudia yaongezeka kwa 50%

    Mauzo ya silaha za Ufaransa kwa Saudia yaongezeka kwa 50%

    Jun 05, 2019 03:56

    Ripoti mpya inaonesha kuwa mauzo ya silaha za Ufaransa kwa Saudi Arabia yaliongezeka kwa asilimia 50 mwaka uliopita wa 2018.

  • Amnesty yaikosoa Israel kwa kuziuzia silaha nchi zinazokiuka haki za binadamu

    Amnesty yaikosoa Israel kwa kuziuzia silaha nchi zinazokiuka haki za binadamu

    May 20, 2019 11:03

    Shirika la kutetea Haki za Binadamu la Amnesty International limeukosoa vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuendelea kuziuzia silaha na suhula za kiintelijensia nchi ambazo zinatambulikwa kwa ukiukakaji wa haki za binadamu.

  • Trump kuiondoa Marekani katika Mkataba wa Silaha wa UN

    Trump kuiondoa Marekani katika Mkataba wa Silaha wa UN

    Apr 27, 2019 07:46

    Katika mwendelezo wa sera zake kuu za kujitoa kwenye mikataba na makubaliano ya kimataifa, Rais Donald Trump wa Marekani ametangaza azma ya kuiondoa nchi hiyo katika Mkataba wa Uuzaji Silaha wa Umoja wa Mataifa (ATT).

  • SIPRI: Saudia ndiyo nchi inayoongoza kwa ununuaji silaha duniani

    SIPRI: Saudia ndiyo nchi inayoongoza kwa ununuaji silaha duniani

    Mar 12, 2019 02:47

    Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Amani ya Stockholm (SIPRI) imetangaza kuwa, Saudi Arabia ndiyo nchi inayoongoza kwa ununuaji silaha duniani.

  • Uturuki: Wanachama wa NATO wasiingilie maamuzi yetu juu ya ununuzi wa mfumo wa S 400

    Uturuki: Wanachama wa NATO wasiingilie maamuzi yetu juu ya ununuzi wa mfumo wa S 400

    Mar 07, 2019 04:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amewataka wanachama wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) waache kuingilia kwa namna yoyote ile maamuzi yanayochukuliwa na serikali ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS