Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

silaha

  • Marekani yaendelea kurundika silaha Mashariki ya Kati

    Marekani yaendelea kurundika silaha Mashariki ya Kati

    Feb 20, 2019 02:40

    Afisa mwandamizi wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) amesema asilimia 50 ya silaha zilizouzwa na Marekani mwaka jana 2018, zilinunuliwa katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Israel yaendelea kuiuzia silaha serikali ya Myanmar licha ya mauaji dhidi ya Waislamu

    Israel yaendelea kuiuzia silaha serikali ya Myanmar licha ya mauaji dhidi ya Waislamu

    Feb 09, 2019 03:46

    Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeandika kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unaendelea kuiuzia silaha serikali ya Myanmar.

  • Marekani na waitifaki wake; wabebaji dhima na masuulia ya matatizo ya Mashariki ya Kati

    Marekani na waitifaki wake; wabebaji dhima na masuulia ya matatizo ya Mashariki ya Kati

    Dec 14, 2018 16:47

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Si Iran, bali ni Marekani na waitifaki wake ndio wahusika na wabeba dhima ya masaibu na matatizo yaliyolikumba eneo la Mashariki ya Kati, kuanzia yale yaliyosababishwa na Saddam mpaka yaliyoletwa na kundi la kigaidi la DAESH (ISIS).

  • Seneti ya Marekani yataka kutouziwa silaha Saudi Arabia

    Seneti ya Marekani yataka kutouziwa silaha Saudi Arabia

    Nov 16, 2018 14:46

    Kundi la Maseneta wa Marekani limewasilisha muswada unaotaka kupigwa marufuku uuzaji wa silaha za nchi hiyo kwa Saudi Arabia.

  • Watu 13 wauawa katika shambulizi jingine la ufyatuaji risasi California Marekani

    Watu 13 wauawa katika shambulizi jingine la ufyatuaji risasi California Marekani

    Nov 08, 2018 14:32

    Watu 13 wamethibitishwa kuuawa katika shambulizi jingine la ufyatuaji risasi katika mji wa Thousand Oaks kwenye jimbo la California nchini Marekani.

  • Trump aishinikiza Saudia iendelee kurundika silaha za Marekani

    Trump aishinikiza Saudia iendelee kurundika silaha za Marekani

    Sep 30, 2018 14:21

    Rais Donald Trump wa Marekani ameitaka Saudi Arabia iongeze bajeti yake ya masuala ya kijeshi huku akisisitiza kwamba Washington haipokei kiwango cha fedha ambacho inastahili kupokea kutoka Riyadh.

  • Somalia yaitaka UN iiondolee vikwazo vya silaha

    Somalia yaitaka UN iiondolee vikwazo vya silaha

    Sep 30, 2018 14:05

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Somalia ameutaka Umoja wa Mataifa kuondoa vikwazo vya muda mrefu vya silaha dhidi ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Saudia yanunua mfumo wa makombora kutoka Israel

    Saudia yanunua mfumo wa makombora kutoka Israel

    Sep 13, 2018 13:52

    Saudi Arabia imeripotiwa kununua mfumo wa ngao ya makombora kutoka utawala wa Kizayuni wa Israel, katika hali ambayo ripoti zinasema tawala mbili hizo zipo mbioni kuweka wazi na kuimarisha uhusiano wao.

  • Silaha ya Muqawama; wenzo wa kuwahami wananchi wa Palestina

    Silaha ya Muqawama; wenzo wa kuwahami wananchi wa Palestina

    Aug 13, 2018 07:30

    Khalid al-Batsh, kiongozi mwandamizi wa harakati ya Jihadul Islami ya Palestina amesisitiza kuwa silaha ya Muqawama ndio wenzo wa kulihami taifa na wananchi wa Palestina dhidi ya Wazayuni maghasibu.

  • Takwimu: Uingereza imeongeza kuziuzia silaha nchi zinazokiuka haki za binadamu

    Takwimu: Uingereza imeongeza kuziuzia silaha nchi zinazokiuka haki za binadamu

    Jul 19, 2018 03:06

    Takwimu mpya zilizotolewa zinaonyesha kuwa, Uingereza imeongeza biashara yake ya silaha kwa nchi ambazo zimekuwa zikikiuka haki za binadamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS