Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

silaha

  • Takwimu: Uingereza imeongeza kuziuzia silaha nchi zinazokiuka haki za binadamu

    Takwimu: Uingereza imeongeza kuziuzia silaha nchi zinazokiuka haki za binadamu

    Jul 18, 2018 22:36

    Takwimu mpya zilizotolewa zinaonyesha kuwa, Uingereza imeongeza biashara yake ya silaha kwa nchi ambazo zimekuwa zikikiuka haki za binadamu.

  • Mashirika ya kutetea haki za binadamu yaitaka Ufaransa iache kuiuzia silaha Misri

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu yaitaka Ufaransa iache kuiuzia silaha Misri

    Jul 02, 2018 03:13

    Mashirika kadhaa ya kutetea haki za binadamu yameitaka serikali ya Ufaransa kusimamisha uuzaji wa silaha kwa Misri, yakisisitiza kuwa silaha hizo zinatumiwa na vyombo vya usalama kuwanyamazisha na kuwawekea mbinyo wapinzani na wakosoaji wa serikali.

  • Kusimamishwa uuzaji silaha za Ubelgiji kwa Saudi Arabia

    Kusimamishwa uuzaji silaha za Ubelgiji kwa Saudi Arabia

    Jul 01, 2018 22:01

    Kufuatia hatua ya Saudi Arabia na washirika wake ya kuendelea kuishambulia kijeshi Yemen, Baraza la Kiserikali la Ubelgiji, limetoa amri ya kusimamishwa uuzaji silaha wa nchi hiyo kwa Riyadh.

  • Ubelgiji yasimamisha uuzaji wa silaha kwa Saudi Arabia

    Ubelgiji yasimamisha uuzaji wa silaha kwa Saudi Arabia

    Jul 01, 2018 03:23

    Mahakama ya Juu ya Ubelgiji imesimamisha mauzo ya silaha kwa Saudi Arabia ikisema kuwa serikali ya nchi hiyo ilishindwa kutathmini rekodi mbaya ya ukiukaji wa haki za binadamu ya utawala huo wa kifalme kabla ya kutoa leseni za kuruhusu mauzo hayo.

  • Silaha za Israel zakutwa katika maeneo yaliyokombolewa huko Daraa, Syria

    Silaha za Israel zakutwa katika maeneo yaliyokombolewa huko Daraa, Syria

    Jun 29, 2018 10:43

    Jeshi la Syria limenasa maghala kadhaa ya silaha na zana za kivita ambazo baadhi yake zimeundwa na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Magendo ya silaha na ukatili vyashamiri Nigeria

    Magendo ya silaha na ukatili vyashamiri Nigeria

    Jun 09, 2018 12:28

    Ongezeko la uuzaji wa silaha kinyume cha sheria nchini Nigeria umezidisha hali mbaya ya kiusalama, ukatili na machafuko katika nchi hiyo yenye idadi kubwa zaidi ya watu barani Afrika.

  • Maelfu ya Wamarekani waandamana kupinga uhuru wa kutembea na bunduki

    Maelfu ya Wamarekani waandamana kupinga uhuru wa kutembea na bunduki

    Jun 03, 2018 23:43

    Maelfu ya Wamarekani wameandamana katika mji wa New York kupinga na kulalamikia uhuru wa raia kutembea na bunduki nchini humo.

  • Marekani kuziuzia Saudia na Imarati 'mabomu-erevu' 120,000

    Marekani kuziuzia Saudia na Imarati 'mabomu-erevu' 120,000

    May 23, 2018 02:56

    Rais Donald Trump ameliomba Bunge la Kongresi la Marekani litathmini mpango wa kuziuzia Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu makumi ya maelfu ya mabomu-erevu ya kuelekezwa, licha ya makelele ya jamii ya kimataifa ya kupinga utumiaji silaha hizo dhidi ya wananchi wa Yemen.

  • Silaha za magaidi zilizoundwa katika nchi wanachama wa Nato zanaswa Syria

    Silaha za magaidi zilizoundwa katika nchi wanachama wa Nato zanaswa Syria

    May 21, 2018 09:52

    Vyombo vya habari vya Russia vimeripoti kuwa shehena ya silaha za magaidi zimenaswa katika mkoa wa Homs nchini Syria; silaha ambazo imebainika kuwa ziliundwa katika nchi wanachama wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (Nato).

  • Serikali ya Sudan: Watakaohalifu mpango wa kukusanya silaha watahukumiwa kifo

    Serikali ya Sudan: Watakaohalifu mpango wa kukusanya silaha watahukumiwa kifo

    May 08, 2018 12:25

    Makamu wa Rais wa Sudan Hassabu Mohamed Abdalrahman ameonya kuwa wapinzani wa mpango wa kukusanya silaha katika maeneo yenye mapigano na wale watakaohalifu kutekeleza mpango huo watashtakiwa na kuhukumiwa kifo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS