-
Mashirika ya kutetea haki za binadamu yaitaka Ufaransa iache kuiuzia silaha Misri
Jul 02, 2018 07:43Mashirika kadhaa ya kutetea haki za binadamu yameitaka serikali ya Ufaransa kusimamisha uuzaji wa silaha kwa Misri, yakisisitiza kuwa silaha hizo zinatumiwa na vyombo vya usalama kuwanyamazisha na kuwawekea mbinyo wapinzani na wakosoaji wa serikali.
-
Kusimamishwa uuzaji silaha za Ubelgiji kwa Saudi Arabia
Jul 02, 2018 02:31Kufuatia hatua ya Saudi Arabia na washirika wake ya kuendelea kuishambulia kijeshi Yemen, Baraza la Kiserikali la Ubelgiji, limetoa amri ya kusimamishwa uuzaji silaha wa nchi hiyo kwa Riyadh.
-
Ubelgiji yasimamisha uuzaji wa silaha kwa Saudi Arabia
Jul 01, 2018 07:53Mahakama ya Juu ya Ubelgiji imesimamisha mauzo ya silaha kwa Saudi Arabia ikisema kuwa serikali ya nchi hiyo ilishindwa kutathmini rekodi mbaya ya ukiukaji wa haki za binadamu ya utawala huo wa kifalme kabla ya kutoa leseni za kuruhusu mauzo hayo.
-
Silaha za Israel zakutwa katika maeneo yaliyokombolewa huko Daraa, Syria
Jun 29, 2018 15:13Jeshi la Syria limenasa maghala kadhaa ya silaha na zana za kivita ambazo baadhi yake zimeundwa na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Magendo ya silaha na ukatili vyashamiri Nigeria
Jun 09, 2018 16:58Ongezeko la uuzaji wa silaha kinyume cha sheria nchini Nigeria umezidisha hali mbaya ya kiusalama, ukatili na machafuko katika nchi hiyo yenye idadi kubwa zaidi ya watu barani Afrika.
-
Maelfu ya Wamarekani waandamana kupinga uhuru wa kutembea na bunduki
Jun 04, 2018 04:13Maelfu ya Wamarekani wameandamana katika mji wa New York kupinga na kulalamikia uhuru wa raia kutembea na bunduki nchini humo.
-
Marekani kuziuzia Saudia na Imarati 'mabomu-erevu' 120,000
May 23, 2018 07:26Rais Donald Trump ameliomba Bunge la Kongresi la Marekani litathmini mpango wa kuziuzia Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu makumi ya maelfu ya mabomu-erevu ya kuelekezwa, licha ya makelele ya jamii ya kimataifa ya kupinga utumiaji silaha hizo dhidi ya wananchi wa Yemen.
-
Silaha za magaidi zilizoundwa katika nchi wanachama wa Nato zanaswa Syria
May 21, 2018 14:22Vyombo vya habari vya Russia vimeripoti kuwa shehena ya silaha za magaidi zimenaswa katika mkoa wa Homs nchini Syria; silaha ambazo imebainika kuwa ziliundwa katika nchi wanachama wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (Nato).
-
Serikali ya Sudan: Watakaohalifu mpango wa kukusanya silaha watahukumiwa kifo
May 08, 2018 16:55Makamu wa Rais wa Sudan Hassabu Mohamed Abdalrahman ameonya kuwa wapinzani wa mpango wa kukusanya silaha katika maeneo yenye mapigano na wale watakaohalifu kutekeleza mpango huo watashtakiwa na kuhukumiwa kifo.
-
Marekani yazidi kuwazatiti kwa silaha waasi nchini Syria
May 05, 2018 07:52Kwa mara nyingine tena, jana Ijumaa Marekani ilimimina shehena za silaha katika mkoa wa al Hasaka, kaskazini mwa Syria kama njia ya kuchochea vita na kuendeleza mapigano ya wenyewe kwa wenyewe kwenye eneo hilo.