-
Genge la Daesh (ISIS) linafanya majaribio ya silaha za kemikali kwenye mwili wa mwanadamu
May 23, 2017 03:19Duru za habari zimeripoti jinai mpya za kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) kwamba wanachama wa kundi hilo wanafanya majaribio ya silaha zao za kemikali kwenye miili ya wanadamu.
-
Jeshi la Syria: Magaidi wangali wana silaha za kemikali na wanajiandaa kuzitumia tena
Apr 13, 2017 16:34Kwa mara nyingine kamandi kuu ya Jeshi la Syria imetoa tahadhari ya uwezekano wa kutumiwa silaha za kemikali na makundi ya kigaidi dhidi ya raia wa kawaida nchini humo.
-
Magaidi ndio waliofanya shambulio la kemikali nchini Syria
Apr 06, 2017 03:19Msemaji wa Ikulu ya Russia, Kremlin amesema kuwa, magaidi ndio waliofanya mashambulizi ya silaha za kemikali nchini Syria.
-
Russia yasema itapiga kura ya veto dhidi ya muswada wa Baraza la Usalama kuhusu Syria
Feb 25, 2017 07:17Russia imetangaza kuwa, itatumia kura ya veto kupinga vikwazo vya aina yoyote ile vya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya Syria kwa madai kwamba nchi hiyo imetumia silaha za kemikali.
-
Araqchi: Iran iko mstari wa mbele kupambana na silaha za mauaji ya umati
Feb 13, 2017 17:19Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, historia ya mashambulizi ya kinyama yaliyofanywa na utawala wa Baath wa Saddam, dhidi ya wananchi na raia wasio na ulinzi wa Iran ni jambo lisiloweza kusahaulika.
-
Jeshi la Syria lagundua karakana ya magaidi ya kutengeneza silaha za kemikali, Aleppo
Jan 01, 2017 03:01Jeshi la Syria limetangaza kuwa, limegundua karakana iliyokuwa ikitumiwa na magaidi kutengeneza silaha za kemikali katika mji wa kaskazini mwa nchi hiyo wa Aleppo.
-
Utumiaji wa silaha za kemikali kundi la Daesh na udharura wa Magharibi kujibu suala hilo
Nov 30, 2016 08:18Alireza Jahangiri Mwakilishi wa Iran katika Shirika Linalopiga Marufuku Silaha za Kemikali (OPCW) alisema jana huko The Hague Uholanzi kuwa nchi zinazoyaunga mkono makundi ya kigaidi ya Daesh na Jabhatul Nusra ambazo zinafanikisha upatikanaji wa silaha za kemikali kwa makundi hayo ili yazitumie dhidi ya raia wasio na hatia, ni lazima zitoa majibu kuhusiana na hatua zake hizo.
-
Syria yajibu madai ya nchi za Magharibi kuhusu silaha za kemikali
Nov 30, 2016 04:13Syria imekadhibisha madai yaliyotolewa na nchi za Magharibi zinazodai kuwa, jeshi la nchi hiyo limetumia silaha za kemikali katika mapambano yake dhidi ya makundi ya kigaidi.
-
Udharura wa kutoa jibu waungaji mkono wa magaidi wanaotumia silaha za kemikali
Nov 30, 2016 03:46Mwakilishi wa Iran katika Shirika Linalopiga Marufuku Silaha za Kemikali (OPCW) ameeleza kuwa nchi zinazoyaunga mkono makundi ya kigaidi yanayotumia silaha za kemikali zinapasa kutoa jibu kuhusu suala hilo.
-
HRW: Daesh wanatumia silaha za kemikali wakikimbia Mosul
Nov 12, 2016 07:50Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wanatumia silaha za kemikali kaskazini mwa mji wa Mosul nchini Iraq.