-
Muda wa kuhudumu kikosi cha AU cha kulinda amani Somalia waongezwa
May 16, 2018 09:23Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha kwa kauli moja suala la kurefushwa kazi za kikosi cha Umoja wa Afrika AU cha kulinda amani nchini Somalia kinachojulikana kwa jina la AMISOM.
-
Rais wa Somalia alaani mauaji ya makumi watu katika mapigano kati ya Somaliland na Puntland
May 16, 2018 03:26Rais Mohammed Abdullahi Farmajo wa Somalia ametoa mwito wa kusitishwa mara moja na pasina masharti yoyote mapigano kati ya vikosi vya maeneo yenye mamlaka ya ndani ya nchi hiyo, ya Somaliland na Puntland.
-
Qatar kuendelea kuisaidia Somalia huku mgogoro na Imarati ukitokota
May 15, 2018 09:14Qatar imeahidi kuendelea kuunga mkono jitihada za serikali ya Somalia za kurejesha uthabiti na uhuru wa kujitawala huku mgogoro kati ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika na Umoja wa Falme za Kiarabu ukiendelea kutokota.
-
Watu 21 wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu nchini Somalia
May 10, 2018 02:00Polisi ya Somalia imetangaza kuwa, kwa akali watu 21 wameuawa na kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi lililotokea sokoni nchini humo.
-
Kenya yazionya nchi za Kiarabu ziache kushadidisha mgogoro wa Somalia
May 08, 2018 03:27Serikali ya Kenya imezionya nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi, hasa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuacha kuchochea mgogoro wa Somalia na kuidhoofisha serikali ya nchi hiyo.
-
AMISOM kupeleka maafisa wa polisi katikati mwa Somalia
May 08, 2018 03:23Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM kimetangaza mpango wake wa kutuma maofisa wa polisi kwenye eneo la Hirran, katikati kusini mwa Somalia.
-
Amisom, Jeshi la Somalia waimarisha usalama kuelekea Ramadhani
May 05, 2018 22:50Kikosi cha Kusimamia Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (Amisom) kimetangaza mkakati mpya wa kutibua shambulizi lolote tarajiwa la kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab, ikiwa imesalia chini ya wiki mbili kuanza mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
Watu wenye silaha wavamia ofisi za shirika la Msalaba Mwekundu mjini Mogadishu Somalia
May 03, 2018 23:41Watu wenye silaha jana walizivamia ofisi za Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu za Mogadishu, mji mkuu wa Somalia na kumteka nyara muuguzi mmoja wa kike, raia wa Ujerumaini.
-
Amisom yawanusuru watu elfu 10 kutokana na mafuriko Somalia
May 02, 2018 10:15Askari wa Kikosi cha Kusimamia Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia Amisom wamehamisha na kuwapeleka nyanda za juu, raia elfu kumi wa Somalia, ambao nusra waghariki kutokana na mafuriko katika mji wa Beledweyne, ulioko yapata kilomita 335 kaskazini mwa mji mkuu Mogadishu.
-
Waziri wa zamani wa ulinzi wa Somalia achaguliwa kuwa Spika wa Bunge
Apr 30, 2018 23:45Wabunge wa Somalia jana walimchagua Mohamed Mursal Abdirahman, waziri wa zamani wa ulinzi wa nchi hiyo kuwa Spika mpya wa Bunge.