Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Kenya yazionya nchi za Kiarabu ziache kushadidisha mgogoro wa Somalia

    Kenya yazionya nchi za Kiarabu ziache kushadidisha mgogoro wa Somalia

    May 08, 2018 03:27

    Serikali ya Kenya imezionya nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi, hasa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuacha kuchochea mgogoro wa Somalia na kuidhoofisha serikali ya nchi hiyo.

  • AMISOM kupeleka maafisa wa polisi katikati mwa Somalia

    AMISOM kupeleka maafisa wa polisi katikati mwa Somalia

    May 08, 2018 03:23

    Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM kimetangaza mpango wake wa kutuma maofisa wa polisi kwenye eneo la Hirran, katikati kusini mwa Somalia.

  • Amisom, Jeshi la Somalia waimarisha usalama kuelekea Ramadhani

    Amisom, Jeshi la Somalia waimarisha usalama kuelekea Ramadhani

    May 05, 2018 22:50

    Kikosi cha Kusimamia Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (Amisom) kimetangaza mkakati mpya wa kutibua shambulizi lolote tarajiwa la kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab, ikiwa imesalia chini ya wiki mbili kuanza mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Watu wenye silaha wavamia ofisi za shirika la Msalaba Mwekundu mjini Mogadishu Somalia

    Watu wenye silaha wavamia ofisi za shirika la Msalaba Mwekundu mjini Mogadishu Somalia

    May 03, 2018 23:41

    Watu wenye silaha jana walizivamia ofisi za Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu za Mogadishu, mji mkuu wa Somalia na kumteka nyara muuguzi mmoja wa kike, raia wa Ujerumaini.

  • Amisom yawanusuru watu elfu 10 kutokana na mafuriko Somalia

    Amisom yawanusuru watu elfu 10 kutokana na mafuriko Somalia

    May 02, 2018 10:15

    Askari wa Kikosi cha Kusimamia Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia Amisom wamehamisha na kuwapeleka nyanda za juu, raia elfu kumi wa Somalia, ambao nusra waghariki kutokana na mafuriko katika mji wa Beledweyne, ulioko yapata kilomita 335 kaskazini mwa mji mkuu Mogadishu.

  • Waziri wa zamani wa ulinzi wa Somalia achaguliwa kuwa Spika wa Bunge

    Waziri wa zamani wa ulinzi wa Somalia achaguliwa kuwa Spika wa Bunge

    Apr 30, 2018 23:45

    Wabunge wa Somalia jana walimchagua Mohamed Mursal Abdirahman, waziri wa zamani wa ulinzi wa nchi hiyo kuwa Spika mpya wa Bunge.

  • Mshambuliaji wa kujitoa mhanga aua maafisa wanne wa jeshi la Somalia

    Mshambuliaji wa kujitoa mhanga aua maafisa wanne wa jeshi la Somalia

    Apr 28, 2018 11:44

    Mshambuliaji wa kujitoa mhanga ameua maafisa wanne wa jeshi la Somalia baada ya kujiripua katika kambi moja ya jeshi iliyoko kwenye mji wa Galkayo. Maafisa wa jeshi wamesema kundi la kigaidi la Ash-Shabaab lenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa Al-Qaeda ndilo lililohusika na shambulio hilo.

  • Answarullah ya Yemen yaiunga mkono Somalia; yaionya Imarati

    Answarullah ya Yemen yaiunga mkono Somalia; yaionya Imarati

    Apr 21, 2018 02:57

    Muhammad Ali al Houthi, mkuu wa Kamati Kuu za Mapinduzi ya Yemen ameiunga mkono Somalia katika mgogoro wake na Imarati ambayo inaingilia waziwazi masuala ya ndani ya Somalia na kuitahadharisha Abu Dhabi kwa kuingilia masuala ya ndani ya Mogadishu.

  • Makumi ya magaidi wa al-Shabaab wauawa eneo la Hiran, Somalia

    Makumi ya magaidi wa al-Shabaab wauawa eneo la Hiran, Somalia

    Apr 18, 2018 03:04

    Kwa akali wanachama 30 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab lenye mfungamano na mtandao wa al-Qaeda wameuawa katika operesheni kali iliyotekelezwa na Jeshi la Taifa la Somalia katika eneo la Hiran jana Jumanne.

  • Mgogoro kati ya Somalia na Imarati washtadi, Abu Dhabi yafunga hospitali yake Mogadishu

    Mgogoro kati ya Somalia na Imarati washtadi, Abu Dhabi yafunga hospitali yake Mogadishu

    Apr 17, 2018 09:40

    Mgogoro kati ya Somalia na Imarati umezidi kushtadi ambapo mara hii serikali ya Abu Dhabi imechukua hatua ya kufunga hospitali yake mjini Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS