Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Rais wa Puntland ataka jamii ya kimataifa iisaidie Somalia kupambana na al-Shabab

    Rais wa Puntland ataka jamii ya kimataifa iisaidie Somalia kupambana na al-Shabab

    Jun 11, 2017 09:20

    Rais wa eneo lililojitangazia uhuru la Puntland la kaskazini mashariki mwa Somalia ameitaka jamii ya kimataifa iisaidie Somalia katika kupambana na kundi la kigaidi la al-Shabab.

  • Watu 14 wauawa Somalia baada ya wanajeshi kupigana wakigombania chakula

    Watu 14 wauawa Somalia baada ya wanajeshi kupigana wakigombania chakula

    Jun 10, 2017 03:15

    Kwa uchache watu 14 wameuawa kusini magharibi mwa Somalia wengi wao wakiwa ni raia baada ya kuzuka mapigano baina ya wanajeshi wakigombea chakula cha misaada

  • Rais wa Somalia alionya kundi la al-Shabab; aahidi kulipiza kisasi

    Rais wa Somalia alionya kundi la al-Shabab; aahidi kulipiza kisasi

    Jun 09, 2017 10:20

    Rais wa Somalia amelionya kundi la wanamgambo wa kitakfiri na kigaidi al-Shabab na kusema kuwa, jeshi la nchi hiyo litatoa jibu mwafaka kwa hujuma za kigaidi za wanamgambo hao.

  • Kituo cha polisi chashambuliwa Somalia, 23 wauawa na kujeruhiwa

    Kituo cha polisi chashambuliwa Somalia, 23 wauawa na kujeruhiwa

    Jun 05, 2017 09:39

    Watu watatu wameuawa na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa katika shambulizi la guruneti dhidi ya kituo cha polisi nchini Somalia mapema leo Jumatatu.

  • FAO yachukua hatua kuzuia makali ya kiangazi Somalia

    FAO yachukua hatua kuzuia makali ya kiangazi Somalia

    Jun 03, 2017 02:47

    Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetibu mifugo zaidi ya milioni 12 chini ya miezi mitatu iliyopita, kwa shabaha ya kudhibiti makali ya ukame na baa la njaa nchini Somalia.

  • Kamanda mwandamizi wa al-Shabaab ajisalimisha kwa serikali Somalia

    Kamanda mwandamizi wa al-Shabaab ajisalimisha kwa serikali Somalia

    Jun 01, 2017 09:52

    Kamanda mmoja mwandamizi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab amejisalimisha kwa jeshi la taifa la Somalia.

  • Askari wa Somalia, AMISOM waendelea kuwafurusha magaidi wa Al Shabab

    Askari wa Somalia, AMISOM waendelea kuwafurusha magaidi wa Al Shabab

    May 28, 2017 09:22

    Askari wa Jeshi la kitaifa la Somalia (SNA) wakisaidiwa na askari wa Vikosi vya Kulinda Amani vya Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM Jumamosi walikomboa maeneo kadhaa kusini mwa nchi hiyo.

  • Polisi ya Kenya: Tumewatia mbaroni wanachama 33 wa al-Shabab

    Polisi ya Kenya: Tumewatia mbaroni wanachama 33 wa al-Shabab

    May 19, 2017 23:35

    Polisi ya Kenya imetangaza habari ya kuwatia mbaroni wanachama 33 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la ash-Shabab miezi minne iliyopita katika mji ulioko karibu na mpaka wa nchi mbili.

  • Wanajeshi 3 wauawa wakitegua bomu nchini Somalia

    Wanajeshi 3 wauawa wakitegua bomu nchini Somalia

    May 17, 2017 09:24

    Kwa akali askari watatu wa jeshi la Somalia wamepoteza maisha baada ya mabomu yaliyokuwa yametegwa ndani ya gari moja lililokamatwa na maafisa usalama kuwalipukia katika mji mkuu Mogadishu.

  • Uganda kuongeza idadi ya askari wake nchini Somalia ili kupambana na ash-Shabab

    Uganda kuongeza idadi ya askari wake nchini Somalia ili kupambana na ash-Shabab

    May 16, 2017 03:45

    Serikali ya Uganda imetangaza azma yake ya kuongeza idadi ya askari wake nchini Somalia kwa lengo la kupambana na magaidi wa genge la kigaidi na ukufurishaji la ash-Shabab kupitia operesheni ya askari wa kusimamia amani wa Umoja wa Afrika nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS