-
Rais wa Puntland ataka jamii ya kimataifa iisaidie Somalia kupambana na al-Shabab
Jun 11, 2017 09:20Rais wa eneo lililojitangazia uhuru la Puntland la kaskazini mashariki mwa Somalia ameitaka jamii ya kimataifa iisaidie Somalia katika kupambana na kundi la kigaidi la al-Shabab.
-
Watu 14 wauawa Somalia baada ya wanajeshi kupigana wakigombania chakula
Jun 10, 2017 03:15Kwa uchache watu 14 wameuawa kusini magharibi mwa Somalia wengi wao wakiwa ni raia baada ya kuzuka mapigano baina ya wanajeshi wakigombea chakula cha misaada
-
Rais wa Somalia alionya kundi la al-Shabab; aahidi kulipiza kisasi
Jun 09, 2017 10:20Rais wa Somalia amelionya kundi la wanamgambo wa kitakfiri na kigaidi al-Shabab na kusema kuwa, jeshi la nchi hiyo litatoa jibu mwafaka kwa hujuma za kigaidi za wanamgambo hao.
-
Kituo cha polisi chashambuliwa Somalia, 23 wauawa na kujeruhiwa
Jun 05, 2017 09:39Watu watatu wameuawa na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa katika shambulizi la guruneti dhidi ya kituo cha polisi nchini Somalia mapema leo Jumatatu.
-
FAO yachukua hatua kuzuia makali ya kiangazi Somalia
Jun 03, 2017 02:47Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetibu mifugo zaidi ya milioni 12 chini ya miezi mitatu iliyopita, kwa shabaha ya kudhibiti makali ya ukame na baa la njaa nchini Somalia.
-
Kamanda mwandamizi wa al-Shabaab ajisalimisha kwa serikali Somalia
Jun 01, 2017 09:52Kamanda mmoja mwandamizi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab amejisalimisha kwa jeshi la taifa la Somalia.
-
Askari wa Somalia, AMISOM waendelea kuwafurusha magaidi wa Al Shabab
May 28, 2017 09:22Askari wa Jeshi la kitaifa la Somalia (SNA) wakisaidiwa na askari wa Vikosi vya Kulinda Amani vya Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM Jumamosi walikomboa maeneo kadhaa kusini mwa nchi hiyo.
-
Polisi ya Kenya: Tumewatia mbaroni wanachama 33 wa al-Shabab
May 19, 2017 23:35Polisi ya Kenya imetangaza habari ya kuwatia mbaroni wanachama 33 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la ash-Shabab miezi minne iliyopita katika mji ulioko karibu na mpaka wa nchi mbili.
-
Wanajeshi 3 wauawa wakitegua bomu nchini Somalia
May 17, 2017 09:24Kwa akali askari watatu wa jeshi la Somalia wamepoteza maisha baada ya mabomu yaliyokuwa yametegwa ndani ya gari moja lililokamatwa na maafisa usalama kuwalipukia katika mji mkuu Mogadishu.
-
Uganda kuongeza idadi ya askari wake nchini Somalia ili kupambana na ash-Shabab
May 16, 2017 03:45Serikali ya Uganda imetangaza azma yake ya kuongeza idadi ya askari wake nchini Somalia kwa lengo la kupambana na magaidi wa genge la kigaidi na ukufurishaji la ash-Shabab kupitia operesheni ya askari wa kusimamia amani wa Umoja wa Afrika nchini humo.