-
Zaidi ya watu 100 wauawa na kujeruhiwa nchini Somalia
May 14, 2017 11:59Mtandao wa habari wa al Yaum al Saabi' wa nchini Misri umeripoti habari ya kuuawa na kujeruhiwa zaidi ya watu mia moja katika mapigano nchini Somalia.
-
Zaidi ya watu 100 wauawa na kujeruhiwa nchini Somalia
May 14, 2017 08:20Mtandao wa habari wa al Yaum al Saabi' wa nchini Misri umeripoti habari ya kuuawa na kujeruhiwa zaidi ya watu mia moja katika mapigano nchini Somalia.
-
Umoja wa Mataifa wataka wakimbizi wa Somalia wasaidiwe
May 13, 2017 02:46Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetoa wito wa kusaidiwa wakimbizi wa Somalia ambao kwa sasa wanahitajia misaada ya haraka kutokana na hali mbaya wanayokabiliwa nayo.
-
Rais wa Somalia aomba msaada wa kimataifa
May 11, 2017 23:12Rais Mohamed Abdullahi Mohamed wa Somalia ameiuomba jamii ya kimataifa iisaidie nchi yake katika kupambana na ugaidi, ufisadi na umaskini wa kuchupa mipaka; mambo ambayo amesema ndiye adui mkuu wa nchi hiyo.
-
UN: Dola milioni 900 zinahitajika kunusuru maisha ya Wasomali milioni 6
May 11, 2017 10:29Umoja wa Mataifa umesema unahitajia dola milioni 900 za Marekani kufikia mwishoni mwa mwaka huu kwa ajili ya kunusuru maisha ya raia milioni 6 wa Somalia wanaohitajia misaada ya dharura ya kibinadamu.
-
Kenyatta: Jeshi la Kenya kubakia Somalia hadi Kenya iwe salama
May 10, 2017 09:37Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesisitiza kuwa askari wa nchi hiyo wataendelea kubakia Somalia hadi wafikie lengo la kuihakikishia Kenya usalama.
-
UNHCR: Zaidi ya wakimbizi elfu 60 wa Somalia wamerejeshwa makwao kutoka Kenya
May 09, 2017 23:39Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limesema kuwa, hadi sasa zaidi ya wakimbizi elfu 60 wa Somalia wamerejeshwa makwao kutoka nchini Kenya.
-
Mripuko wa bomu waua watu sita na kujeruhi wengine kadhaa mjini Mogadishu, Somalia
May 09, 2017 03:40Watu wasiopungua sita wameuawa baada ya bomu lililotegwa garini kuripuka katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu hapo jana.
-
Somalia: Tumemuua kiongozi wa al-Shabaab, Shabelle ya Chini
May 07, 2017 09:00Siku mbili baada ya wanajeshi watatu wa Marekani kuuawa na kujeruhiwa na genge la al-Shabaab katika eneo la Barii, yapata maili 40 magharibi mwa mji wa Mogadishu, serikali ya Somalia imesema imefanikiwa kumuangamiza kamanda mkuu wa kundi hilo la kigaidi na kitakfiri katika eneo la Shabelle ya Chini.
-
Askari 3 wa Marekani wauawa na kujeruhiwa na al-Shabaab Somalia
May 05, 2017 23:42Askari mmoja wa Marekani ameuawa kwa kufyatuliwa risasi katika operesheni ya pamoja ya US na jeshi la Somalia dhidi ya ngome ya wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab.