-
Askari wa Somalia, AMISOM waendelea kuwafurusha magaidi wa Al Shabab
May 28, 2017 09:22Askari wa Jeshi la kitaifa la Somalia (SNA) wakisaidiwa na askari wa Vikosi vya Kulinda Amani vya Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM Jumamosi walikomboa maeneo kadhaa kusini mwa nchi hiyo.
-
Polisi ya Kenya: Tumewatia mbaroni wanachama 33 wa al-Shabab
May 19, 2017 23:35Polisi ya Kenya imetangaza habari ya kuwatia mbaroni wanachama 33 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la ash-Shabab miezi minne iliyopita katika mji ulioko karibu na mpaka wa nchi mbili.
-
Wanajeshi 3 wauawa wakitegua bomu nchini Somalia
May 17, 2017 09:24Kwa akali askari watatu wa jeshi la Somalia wamepoteza maisha baada ya mabomu yaliyokuwa yametegwa ndani ya gari moja lililokamatwa na maafisa usalama kuwalipukia katika mji mkuu Mogadishu.
-
Uganda kuongeza idadi ya askari wake nchini Somalia ili kupambana na ash-Shabab
May 16, 2017 03:45Serikali ya Uganda imetangaza azma yake ya kuongeza idadi ya askari wake nchini Somalia kwa lengo la kupambana na magaidi wa genge la kigaidi na ukufurishaji la ash-Shabab kupitia operesheni ya askari wa kusimamia amani wa Umoja wa Afrika nchini humo.
-
Zaidi ya watu 100 wauawa na kujeruhiwa nchini Somalia
May 14, 2017 11:59Mtandao wa habari wa al Yaum al Saabi' wa nchini Misri umeripoti habari ya kuuawa na kujeruhiwa zaidi ya watu mia moja katika mapigano nchini Somalia.
-
Zaidi ya watu 100 wauawa na kujeruhiwa nchini Somalia
May 14, 2017 08:20Mtandao wa habari wa al Yaum al Saabi' wa nchini Misri umeripoti habari ya kuuawa na kujeruhiwa zaidi ya watu mia moja katika mapigano nchini Somalia.
-
Umoja wa Mataifa wataka wakimbizi wa Somalia wasaidiwe
May 13, 2017 02:46Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetoa wito wa kusaidiwa wakimbizi wa Somalia ambao kwa sasa wanahitajia misaada ya haraka kutokana na hali mbaya wanayokabiliwa nayo.
-
Rais wa Somalia aomba msaada wa kimataifa
May 11, 2017 23:12Rais Mohamed Abdullahi Mohamed wa Somalia ameiuomba jamii ya kimataifa iisaidie nchi yake katika kupambana na ugaidi, ufisadi na umaskini wa kuchupa mipaka; mambo ambayo amesema ndiye adui mkuu wa nchi hiyo.
-
UN: Dola milioni 900 zinahitajika kunusuru maisha ya Wasomali milioni 6
May 11, 2017 10:29Umoja wa Mataifa umesema unahitajia dola milioni 900 za Marekani kufikia mwishoni mwa mwaka huu kwa ajili ya kunusuru maisha ya raia milioni 6 wa Somalia wanaohitajia misaada ya dharura ya kibinadamu.
-
Kenyatta: Jeshi la Kenya kubakia Somalia hadi Kenya iwe salama
May 10, 2017 09:37Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesisitiza kuwa askari wa nchi hiyo wataendelea kubakia Somalia hadi wafikie lengo la kuihakikishia Kenya usalama.