-
Waziri auawa 'kimakosa' mjini Mogadishu, Somalia
May 04, 2017 03:07Waziri wa Ujenzi na Ukarabati wa Somalia ameuawa kwa kupigwa risasi kimakosa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.
-
Watoto milioni 1.4 wanakabiliwa na utapiamlo wa kiwango cha juu Somalia
May 02, 2017 12:17Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umetahadharisha kuwa huenda watoto milioni 1.4 wa Somalia wakapoteza maisha kutokana na utapiamlo wa kiwango cha juu.
-
5 wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu Somalia
Apr 30, 2017 23:41Kwa akali watu wawili wameuawa na wengine watatu wamejeruhiwa katika mripuko wa bomu la kuendeshwa kutokea mbali katika viunga vya mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Mripuko wajeruhi watu wawili mjini Mogadishu, Somalia
Apr 29, 2017 11:01Duru za usalama nchini Somalia zimetangaza habari ya kutokea mripuko wa bomu mjini Mogadishu Somalia na kujeruhi watu wawili.
-
Magaidi wa Al-Shabab wamuua afisa mwandamizi wa usalama wa taifa Somalia
Apr 27, 2017 11:30Watu wenye silaha wanaoaminika kuwa wanamgambo wa kundi la kigaidi la Al-Shabab wamemuua kwa kumpiga risasi afisa mwandamizi wa usalama wa taifa wa serikali ya Somalia mbele ya nyumba yake katika mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.
-
UNICEF: Watoto elfu 30 wanahitaji chanjo ya haraka nchini Somalia
Apr 25, 2017 22:02Mjumbe wa Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) nchini Somalia amesisitizia udharura wa kupatiwa chanjo maelfu ya watoto kusini mwa nchi hiyo.
-
Askari 8 wa Somalia wauawa katika shambulizi la bomu, Puntland
Apr 23, 2017 09:33Wanajeshi wanane wameuawa katika mlipuko wa bomu uliotokea katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia.
-
Save the Children: Utapiamlo mkali unatia wasiwasi nchini Somalia
Apr 22, 2017 01:59Shirika la kimataifa la Save the Children limetangaza kuwa, kiwango cha utapiamlo mkali kinachoshuhudiwa nchini Somalia kinatia wasiwasi.
-
Indhari ya Unicef kuhusu kusimamia utoaji huduma huko Somalia na Sudan Kusini
Apr 19, 2017 02:58Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetahadharisha kuhusu kukosekana usimamizi wa utoaji huduma za kibinadamu kwa raia wa Sudan Kusini na Somalia.
-
Jeshi la Somalia laua magaidi katika uwanja wa ndege Mogadishu
Apr 16, 2017 11:26Jeshi la Somalia limewaua magaidi wawili walioonekana wakivurumisha mizinga kuelekea uwanja wa kimataifa wa ndege wa Mogadishu mapema Jumapili.