Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Waziri auawa 'kimakosa' mjini Mogadishu, Somalia

    Waziri auawa 'kimakosa' mjini Mogadishu, Somalia

    May 04, 2017 03:07

    Waziri wa Ujenzi na Ukarabati wa Somalia ameuawa kwa kupigwa risasi kimakosa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.

  • Watoto milioni 1.4 wanakabiliwa na utapiamlo wa kiwango cha juu Somalia

    Watoto milioni 1.4 wanakabiliwa na utapiamlo wa kiwango cha juu Somalia

    May 02, 2017 12:17

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umetahadharisha kuwa huenda watoto milioni 1.4 wa Somalia wakapoteza maisha kutokana na utapiamlo wa kiwango cha juu.

  • 5 wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu Somalia

    5 wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu Somalia

    Apr 30, 2017 23:41

    Kwa akali watu wawili wameuawa na wengine watatu wamejeruhiwa katika mripuko wa bomu la kuendeshwa kutokea mbali katika viunga vya mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Mripuko wajeruhi watu wawili mjini Mogadishu, Somalia

    Mripuko wajeruhi watu wawili mjini Mogadishu, Somalia

    Apr 29, 2017 11:01

    Duru za usalama nchini Somalia zimetangaza habari ya kutokea mripuko wa bomu mjini Mogadishu Somalia na kujeruhi watu wawili.

  • Magaidi wa Al-Shabab wamuua afisa mwandamizi wa usalama wa taifa Somalia

    Magaidi wa Al-Shabab wamuua afisa mwandamizi wa usalama wa taifa Somalia

    Apr 27, 2017 11:30

    Watu wenye silaha wanaoaminika kuwa wanamgambo wa kundi la kigaidi la Al-Shabab wamemuua kwa kumpiga risasi afisa mwandamizi wa usalama wa taifa wa serikali ya Somalia mbele ya nyumba yake katika mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.

  • UNICEF: Watoto elfu 30 wanahitaji chanjo ya haraka nchini Somalia

    UNICEF: Watoto elfu 30 wanahitaji chanjo ya haraka nchini Somalia

    Apr 25, 2017 22:02

    Mjumbe wa Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) nchini Somalia amesisitizia udharura wa kupatiwa chanjo maelfu ya watoto kusini mwa nchi hiyo.

  • Askari 8 wa Somalia wauawa katika shambulizi la bomu, Puntland

    Askari 8 wa Somalia wauawa katika shambulizi la bomu, Puntland

    Apr 23, 2017 09:33

    Wanajeshi wanane wameuawa katika mlipuko wa bomu uliotokea katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia.

  • Save the Children: Utapiamlo mkali unatia wasiwasi nchini Somalia

    Save the Children: Utapiamlo mkali unatia wasiwasi nchini Somalia

    Apr 22, 2017 01:59

    Shirika la kimataifa la Save the Children limetangaza kuwa, kiwango cha utapiamlo mkali kinachoshuhudiwa nchini Somalia kinatia wasiwasi.

  • Indhari ya Unicef kuhusu kusimamia utoaji huduma huko Somalia na Sudan Kusini

    Indhari ya Unicef kuhusu kusimamia utoaji huduma huko Somalia na Sudan Kusini

    Apr 19, 2017 02:58

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetahadharisha kuhusu kukosekana usimamizi wa utoaji huduma za kibinadamu kwa raia wa Sudan Kusini na Somalia.

  • Jeshi la Somalia laua magaidi katika uwanja wa ndege Mogadishu

    Jeshi la Somalia laua magaidi katika uwanja wa ndege Mogadishu

    Apr 16, 2017 11:26

    Jeshi la Somalia limewaua magaidi wawili walioonekana wakivurumisha mizinga kuelekea uwanja wa kimataifa wa ndege wa Mogadishu mapema Jumapili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS