Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • UN: Kipindupindu kimeua zaidi ya watu 530 Somalia

    UN: Kipindupindu kimeua zaidi ya watu 530 Somalia

    Apr 13, 2017 23:26

    Umoja wa Mataifa na jumuiya za misaada ya kibinadamu zimeonya kwamba kipindupindu kinaenea kwa kasi katika maeneo yaliyoathirika na ukame nchini Somalia wakati nchi hiyo ikiendelea kunyemelewa na hatari kubwa ya baa la njaa.

  • Mkurupuko wa kuendesha waua watu 28 Somaliland

    Mkurupuko wa kuendesha waua watu 28 Somaliland

    Apr 13, 2017 00:12

    Makumi ya watu wamepoteza maisha kutokana na mripuko wa ugonjwa wa kuharisha katika eneo lililojitangazia uhuru la Somaliland huko kaskazini mwa Somalia.

  • Wakimbizi wa njaa kutoka Somalia wamiminika Kenya

    Wakimbizi wa njaa kutoka Somalia wamiminika Kenya

    Apr 11, 2017 02:10

    Ukame ulioathiri sehemu mbalimbali Somalia umesababisha Wasomali wasiopungua 2,000 kuvuka mpaka na kuingia katika kambi ya Dadaab nchini Kenya katika miezi ya hivi karibuni. Hayo ni kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR.

  • Afisa wa serikali Somalia auawa kwenye mlipuko wa bomu Mogadishu

    Afisa wa serikali Somalia auawa kwenye mlipuko wa bomu Mogadishu

    Apr 10, 2017 08:29

    Afisa wa serikali ya Somalia ameuawa katika mlipuko wa bomu la kutegwa garini huko Mogadishu mji mkuu wa Somalia. Mlipuko huo umesababisha kifo cha afisa wa ngazi ya chini wa serikali ya Somalia. Hayo yameelezwa na Abdifatah Omar Halane Msemaji wa Meya wa Mogadishu.

  • Watu 15 wauawa katika mlipuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Watu 15 wauawa katika mlipuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Apr 09, 2017 09:52

    Watu wasiopungua 15 wameuawa baada ya bomu lililotegwa ndani ya gari kuripuka nje ya kambi ya jeshi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Magaidi watano wa Al-Shabab waliohukumiwa kifo Puntland, Somalia wanyongwa

    Magaidi watano wa Al-Shabab waliohukumiwa kifo Puntland, Somalia wanyongwa

    Apr 08, 2017 22:10

    Eneo la Somalia la Puntland lenye mamlaka yake ya ndani limetekeleza adhabu ya kifo kwa watu watano wanaoaminika kuwa wanamgambo wenye misimamo ya kufurutu mpaka waliohusika na mauaji ya maafisa watatu waandamizi wa serikali ya eneo hilo.

  • Watu watatu wa familia moja wapoteza maisha huko Mogadishu

    Watu watatu wa familia moja wapoteza maisha huko Mogadishu

    Apr 07, 2017 09:45

    Watu wasiopungua watatu wa familia moja wameaga dunia na wengine watatu kujeruhiwa kufuatia nyumba yao kupigwa na kombora hii leo huko Mogadishu mji mkuu wa Somalia.

  • UN yatahadharisha kuhusu hatari za maharamia wa Somalia

    UN yatahadharisha kuhusu hatari za maharamia wa Somalia

    Apr 05, 2017 22:48

    Mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kupambana na mihadarati na uhalifu ametahadharisha kuhusu hatari, vitisho na mashambulizi ya maharamia wa baharini nchini Somalia.

  • Watu kadhaa wauawa katika mripuko wa kigaidi Somalia

    Watu kadhaa wauawa katika mripuko wa kigaidi Somalia

    Apr 05, 2017 11:40

    Mripuko wa kigaidi ulioukumba mji mkuu wa Somalia, Mogadishu, umeua watu kadhaa.

  • Mabaharia kadhaa wa India watekwa nyara katika fukwe za Somalia

    Mabaharia kadhaa wa India watekwa nyara katika fukwe za Somalia

    Apr 03, 2017 09:52

    Afisa mmoja anayehusika na vita dhidi ya maharamia wa baharini nchini Somalia ametangaza habari ya kutekwa nyara mabaharia 11 wa India katika fukwe za Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS