Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • 5 wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu Somalia

    5 wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu Somalia

    Apr 30, 2017 23:41

    Kwa akali watu wawili wameuawa na wengine watatu wamejeruhiwa katika mripuko wa bomu la kuendeshwa kutokea mbali katika viunga vya mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Mripuko wajeruhi watu wawili mjini Mogadishu, Somalia

    Mripuko wajeruhi watu wawili mjini Mogadishu, Somalia

    Apr 29, 2017 11:01

    Duru za usalama nchini Somalia zimetangaza habari ya kutokea mripuko wa bomu mjini Mogadishu Somalia na kujeruhi watu wawili.

  • Magaidi wa Al-Shabab wamuua afisa mwandamizi wa usalama wa taifa Somalia

    Magaidi wa Al-Shabab wamuua afisa mwandamizi wa usalama wa taifa Somalia

    Apr 27, 2017 11:30

    Watu wenye silaha wanaoaminika kuwa wanamgambo wa kundi la kigaidi la Al-Shabab wamemuua kwa kumpiga risasi afisa mwandamizi wa usalama wa taifa wa serikali ya Somalia mbele ya nyumba yake katika mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.

  • UNICEF: Watoto elfu 30 wanahitaji chanjo ya haraka nchini Somalia

    UNICEF: Watoto elfu 30 wanahitaji chanjo ya haraka nchini Somalia

    Apr 25, 2017 22:02

    Mjumbe wa Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) nchini Somalia amesisitizia udharura wa kupatiwa chanjo maelfu ya watoto kusini mwa nchi hiyo.

  • Askari 8 wa Somalia wauawa katika shambulizi la bomu, Puntland

    Askari 8 wa Somalia wauawa katika shambulizi la bomu, Puntland

    Apr 23, 2017 09:33

    Wanajeshi wanane wameuawa katika mlipuko wa bomu uliotokea katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia.

  • Save the Children: Utapiamlo mkali unatia wasiwasi nchini Somalia

    Save the Children: Utapiamlo mkali unatia wasiwasi nchini Somalia

    Apr 22, 2017 01:59

    Shirika la kimataifa la Save the Children limetangaza kuwa, kiwango cha utapiamlo mkali kinachoshuhudiwa nchini Somalia kinatia wasiwasi.

  • Indhari ya Unicef kuhusu kusimamia utoaji huduma huko Somalia na Sudan Kusini

    Indhari ya Unicef kuhusu kusimamia utoaji huduma huko Somalia na Sudan Kusini

    Apr 19, 2017 02:58

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetahadharisha kuhusu kukosekana usimamizi wa utoaji huduma za kibinadamu kwa raia wa Sudan Kusini na Somalia.

  • Jeshi la Somalia laua magaidi katika uwanja wa ndege Mogadishu

    Jeshi la Somalia laua magaidi katika uwanja wa ndege Mogadishu

    Apr 16, 2017 11:26

    Jeshi la Somalia limewaua magaidi wawili walioonekana wakivurumisha mizinga kuelekea uwanja wa kimataifa wa ndege wa Mogadishu mapema Jumapili.

  • UN: Kipindupindu kimeua zaidi ya watu 530 Somalia

    UN: Kipindupindu kimeua zaidi ya watu 530 Somalia

    Apr 13, 2017 23:26

    Umoja wa Mataifa na jumuiya za misaada ya kibinadamu zimeonya kwamba kipindupindu kinaenea kwa kasi katika maeneo yaliyoathirika na ukame nchini Somalia wakati nchi hiyo ikiendelea kunyemelewa na hatari kubwa ya baa la njaa.

  • Mkurupuko wa kuendesha waua watu 28 Somaliland

    Mkurupuko wa kuendesha waua watu 28 Somaliland

    Apr 13, 2017 00:12

    Makumi ya watu wamepoteza maisha kutokana na mripuko wa ugonjwa wa kuharisha katika eneo lililojitangazia uhuru la Somaliland huko kaskazini mwa Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS