-
Watu watatu wa familia moja wapoteza maisha huko Mogadishu
Apr 07, 2017 09:45Watu wasiopungua watatu wa familia moja wameaga dunia na wengine watatu kujeruhiwa kufuatia nyumba yao kupigwa na kombora hii leo huko Mogadishu mji mkuu wa Somalia.
-
UN yatahadharisha kuhusu hatari za maharamia wa Somalia
Apr 05, 2017 22:48Mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kupambana na mihadarati na uhalifu ametahadharisha kuhusu hatari, vitisho na mashambulizi ya maharamia wa baharini nchini Somalia.
-
Watu kadhaa wauawa katika mripuko wa kigaidi Somalia
Apr 05, 2017 11:40Mripuko wa kigaidi ulioukumba mji mkuu wa Somalia, Mogadishu, umeua watu kadhaa.
-
Mabaharia kadhaa wa India watekwa nyara katika fukwe za Somalia
Apr 03, 2017 09:52Afisa mmoja anayehusika na vita dhidi ya maharamia wa baharini nchini Somalia ametangaza habari ya kutekwa nyara mabaharia 11 wa India katika fukwe za Somalia.
-
HRW: US kushadidisha hujuma zake za anga Somalia kunahatarisha usalama wa raia
Apr 02, 2017 03:42Hatua ya Marekani ya kuidhinisha kushadidishwa mashambulizi yake ya anga dhidi ya ngome za kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab nchini Somalia imekosolewa vikali na asasi za kutetea za haki za binadamu.
-
UN: Malaki ya raia wa Somalia wamekuwa wakimbizi miezi 4 ya hivi karibuni
Mar 31, 2017 22:29Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, malaki ya watu nchini Somalia wamelazimika kuwa wakimbizi katika miezi minne ya hivi karibuni kutokana na ukame na baa la njaa.
-
HRW yakosoa shambulio la Saudia dhidi ya wakimbizi wa Kisomali
Mar 27, 2017 08:10Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) limelitaja shambulio lililofanywa hivi karibuni na utawala wa Saudi Arabia dhidi ya boti iliyokuwa imewabeba wakimbizi wa Kisomali karibu na pwani ya Yemen kuwa ni jinai ya kivita.
-
IGAD yaafiki kusaidia kuwarejesha nyumbani wakimbizi wa Somalia
Mar 26, 2017 09:12Shirika la Kiserikali la Ustawi wa nchi za Mashariki mwa Afrika IGAD limeafiki kusaidia kuwarejesha kwa hiari katika nchi yao wakimbizi wa Somalia.
-
Maharamia wa Somalia wateka nyara meli ili kuitumia kuendeshea mashambulizi
Mar 24, 2017 10:50Maharamia wameteka nyara meli moja ya uvuvi ya Somalia ili kuitumia kama kituo cha kuendeshea mashambulizi dhidi ya meli kubwa. Hayo yameelezwa leo na polisi ya Somalia wiki moja baada ya maharamia wa nchi hiyo kuteka nyara meli ya kwanza ya kibiashara tangu mwaka 2012.
-
UN yaitaka jamii ya kimataifa kukabiliana na tatizo la njaa nchini Somalia
Mar 23, 2017 12:18Kwa mara nyingine Umoja wa Mataifa umeitaka jamii ya kimataifa kukabiliana na tatizo la njaa lililoikumba Somalia.