Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • HRW: US kushadidisha hujuma zake za anga Somalia kunahatarisha usalama wa raia

    HRW: US kushadidisha hujuma zake za anga Somalia kunahatarisha usalama wa raia

    Apr 02, 2017 03:42

    Hatua ya Marekani ya kuidhinisha kushadidishwa mashambulizi yake ya anga dhidi ya ngome za kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab nchini Somalia imekosolewa vikali na asasi za kutetea za haki za binadamu.

  • UN: Malaki ya raia wa Somalia wamekuwa wakimbizi miezi 4 ya hivi karibuni

    UN: Malaki ya raia wa Somalia wamekuwa wakimbizi miezi 4 ya hivi karibuni

    Mar 31, 2017 22:29

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, malaki ya watu nchini Somalia wamelazimika kuwa wakimbizi katika miezi minne ya hivi karibuni kutokana na ukame na baa la njaa.

  • HRW yakosoa shambulio la Saudia dhidi ya wakimbizi wa Kisomali

    HRW yakosoa shambulio la Saudia dhidi ya wakimbizi wa Kisomali

    Mar 27, 2017 08:10

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) limelitaja shambulio lililofanywa hivi karibuni na utawala wa Saudi Arabia dhidi ya boti iliyokuwa imewabeba wakimbizi wa Kisomali karibu na pwani ya Yemen kuwa ni jinai ya kivita.

  • IGAD yaafiki kusaidia kuwarejesha nyumbani wakimbizi wa Somalia

    IGAD yaafiki kusaidia kuwarejesha nyumbani wakimbizi wa Somalia

    Mar 26, 2017 09:12

    Shirika la Kiserikali la Ustawi wa nchi za Mashariki mwa Afrika IGAD limeafiki kusaidia kuwarejesha kwa hiari katika nchi yao wakimbizi wa Somalia.

  • Maharamia wa Somalia wateka nyara meli ili kuitumia kuendeshea mashambulizi

    Maharamia wa Somalia wateka nyara meli ili kuitumia kuendeshea mashambulizi

    Mar 24, 2017 10:50

    Maharamia wameteka nyara meli moja ya uvuvi ya Somalia ili kuitumia kama kituo cha kuendeshea mashambulizi dhidi ya meli kubwa. Hayo yameelezwa leo na polisi ya Somalia wiki moja baada ya maharamia wa nchi hiyo kuteka nyara meli ya kwanza ya kibiashara tangu mwaka 2012.

  • UN yaitaka jamii ya kimataifa kukabiliana na tatizo la njaa nchini Somalia

    UN yaitaka jamii ya kimataifa kukabiliana na tatizo la njaa nchini Somalia

    Mar 23, 2017 12:18

    Kwa mara nyingine Umoja wa Mataifa umeitaka jamii ya kimataifa kukabiliana na tatizo la njaa lililoikumba Somalia.

  • Msalaba Mwekundu: Dunia ina miezi 3 kunusuru mamilioni wanaokabiliwa na njaa Somalia, Yemen

    Msalaba Mwekundu: Dunia ina miezi 3 kunusuru mamilioni wanaokabiliwa na njaa Somalia, Yemen

    Mar 22, 2017 11:41

    Shirika la Msalaba Mwekundu limeonya kuwa, jamii ya kimataifa ina miezi mitatu hadi minne kuokosoa maisha ya mamilioni ya watu wanaokabiliwa na baa la njaa katika nchi za Somalia na Yemen.

  • Waziri Mkuu Mpya wa Somalia atangaza baraza jipya la mawaziri 26

    Waziri Mkuu Mpya wa Somalia atangaza baraza jipya la mawaziri 26

    Mar 21, 2017 10:48

    Waziri Mkuu Mpya wa Somalia leo ametangaza baraza lake la mawaziri 26 na kumteua waziri wa zamani wa mambo ya nje kuwa Waziri wa Fedha huku akimteuwa pia mwandishi wa habari wa BBC kuwa mwanadiplomasia wa ngazi ya juu wa nchi hiyo.

  • Waziri Mkuu wa Somalia: Saudia, mhusika wa mauaji ya wakimbizi wa Kisomali

    Waziri Mkuu wa Somalia: Saudia, mhusika wa mauaji ya wakimbizi wa Kisomali

    Mar 20, 2017 11:38

    Serikali ya Somalia imesema kuwa utawala wa Saudi Arabia ndio uliohusika na mauaji ya wakimbizi wa nchi hiyo katika maji ya Yemen.

  • Saudia yaitaka UN isimamie bandari ya Yemen baada ya kuua kikatili Wasomali 44

    Saudia yaitaka UN isimamie bandari ya Yemen baada ya kuua kikatili Wasomali 44

    Mar 20, 2017 04:31

    Muungano vamizi wa kijeshi wa Saudi Arabia nchini Yemen umeutaka Umoja wa Mataifa uchukue udhibiti wa bandari ya Hudaydah baada ya helikopta ya Aal-Saud aina ya Apache kufanya shambulio la kikatili dhidi ya boti ya wakimbizi karibu na Lango Bahari la Bab al-Mandab, pwani ya Yemen na kuua makumi ya raia wa Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS