-
Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika aitembelea Somalia
Mar 19, 2017 03:42Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika Moussa Faki Mahamat ameongoza ujumbe wa ngazi za juu wa umoja huo katika ziara ya kuitembelea Somalia.
-
UN, IOM zalaani mauaji ya wakimbizi 42 wa Kisomali, pwani ya Yemen
Mar 18, 2017 03:44Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limekosoa vikali shambulio lililoua makumi ya wakimbizi raia wa Somalia katika pwani ya Yemen usiku wa kuamkia jana.
-
Wanamgambo wa al Shabab wauawa kusini mwa Somalia
Mar 17, 2017 23:21Wanamgambo kadhaa wa kundi la kigaidi la al Shabab wameuawa katika oparesheni iliyofanywa na jeshi la Somalia katika maficho ya kundi hilo kusini mwa nchi hiyo
-
Kiongozi mmoja mwandamizi wa al Shabab auawa Somalia
Mar 16, 2017 23:54Maafisa wa ngazi za juu wa masuala ya ulinzi na usalama wa Somalia wametangaza habari ya kuuawa mmoja wa viongozi waandamizi wa genge la kigaidi la al Shabab katika mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.
-
Watu 8 wauawa, katika mripuko wa bomu Mogadishu, Somalia
Mar 13, 2017 10:56Polisi ya Mogadishu, mji mkuu wa Somalia imetangaza habari ya kuuawa watu wanane katika mripuko wa bomu uliotokea leo mjini humo.
-
Indhari ya Umoja wa Mataifa ya kutokea maafa ya kutisha zaidi ya hali mbaya ya kibinaadamu
Mar 13, 2017 02:35Kutokana na kuenea ukame na njaa katika maeneo tofauti ya dunia Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu hatari ya kutokea maafa makubwa zaidi ya kibinaadamu ambayo hayajawahi kushuhudiwa katika miaka 72 iliyopita
-
Mripuko mwingine waukumba mji mkuu wa Somalia, Mogadishu
Mar 12, 2017 10:21Vyombo mbalimbali vya habari ya ndani na nje ya Somalia vimeripoti habari ya kutokea mripuko wa bomu leo Jumapili katika mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.
-
Somalia yakosoa marufuku ya kuingia Marekani dhidi ya Waislamu
Mar 07, 2017 23:51Rais wa Somalia amekosoa amri mpya iliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani inayowazuia raia kutoka nchi kadhaa za Kiislamu kuingia Marekani.
-
Mamia ya Wasomalia wapoteza maisha kwa maradhi ya kipindupindu
Mar 05, 2017 00:24Waziri Mkuu wa Somalia ametangaza kuwa zaidi ya watu 100 wamefariki dunia nchini humo kutokana na ugonjwa wa kipindupindu.
-
Wafadhili waahidi kuunga mkono Somalia
Mar 03, 2017 10:16Wafadhili wa kimataifa wameahidi kuendelea kuunga mkono Kikosi cha Umoja wa Afrika Somalia, AMISOM, ili kiweze kufikia lengo lake kuu la kurejesha uthabiti Somalia.