Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika aitembelea Somalia

    Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika aitembelea Somalia

    Mar 19, 2017 03:42

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika Moussa Faki Mahamat ameongoza ujumbe wa ngazi za juu wa umoja huo katika ziara ya kuitembelea Somalia.

  • UN, IOM zalaani mauaji ya wakimbizi 42 wa Kisomali, pwani ya Yemen

    UN, IOM zalaani mauaji ya wakimbizi 42 wa Kisomali, pwani ya Yemen

    Mar 18, 2017 03:44

    Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limekosoa vikali shambulio lililoua makumi ya wakimbizi raia wa Somalia katika pwani ya Yemen usiku wa kuamkia jana.

  • Wanamgambo wa al Shabab wauawa kusini mwa Somalia

    Wanamgambo wa al Shabab wauawa kusini mwa Somalia

    Mar 17, 2017 23:21

    Wanamgambo kadhaa wa kundi la kigaidi la al Shabab wameuawa katika oparesheni iliyofanywa na jeshi la Somalia katika maficho ya kundi hilo kusini mwa nchi hiyo

  • Kiongozi mmoja mwandamizi wa al Shabab auawa Somalia

    Kiongozi mmoja mwandamizi wa al Shabab auawa Somalia

    Mar 16, 2017 23:54

    Maafisa wa ngazi za juu wa masuala ya ulinzi na usalama wa Somalia wametangaza habari ya kuuawa mmoja wa viongozi waandamizi wa genge la kigaidi la al Shabab katika mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.

  • Watu 8 wauawa,  katika mripuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Watu 8 wauawa, katika mripuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Mar 13, 2017 10:56

    Polisi ya Mogadishu, mji mkuu wa Somalia imetangaza habari ya kuuawa watu wanane katika mripuko wa bomu uliotokea leo mjini humo.

  • Indhari ya Umoja wa Mataifa ya kutokea maafa ya kutisha zaidi ya hali mbaya ya kibinaadamu

    Indhari ya Umoja wa Mataifa ya kutokea maafa ya kutisha zaidi ya hali mbaya ya kibinaadamu

    Mar 13, 2017 02:35

    Kutokana na kuenea ukame na njaa katika maeneo tofauti ya dunia Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu hatari ya kutokea maafa makubwa zaidi ya kibinaadamu ambayo hayajawahi kushuhudiwa katika miaka 72 iliyopita

  • Mripuko mwingine waukumba mji mkuu wa Somalia, Mogadishu

    Mripuko mwingine waukumba mji mkuu wa Somalia, Mogadishu

    Mar 12, 2017 10:21

    Vyombo mbalimbali vya habari ya ndani na nje ya Somalia vimeripoti habari ya kutokea mripuko wa bomu leo Jumapili katika mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.

  • Somalia yakosoa marufuku ya kuingia Marekani dhidi ya Waislamu

    Somalia yakosoa marufuku ya kuingia Marekani dhidi ya Waislamu

    Mar 07, 2017 23:51

    Rais wa Somalia amekosoa amri mpya iliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani inayowazuia raia kutoka nchi kadhaa za Kiislamu kuingia Marekani.

  • Mamia ya Wasomalia wapoteza maisha kwa maradhi ya kipindupindu

    Mamia ya Wasomalia wapoteza maisha kwa maradhi ya kipindupindu

    Mar 05, 2017 00:24

    Waziri Mkuu wa Somalia ametangaza kuwa zaidi ya watu 100 wamefariki dunia nchini humo kutokana na ugonjwa wa kipindupindu.

  • Wafadhili waahidi kuunga mkono  Somalia

    Wafadhili waahidi kuunga mkono Somalia

    Mar 03, 2017 10:16

    Wafadhili wa kimataifa wameahidi kuendelea kuunga mkono Kikosi cha Umoja wa Afrika Somalia, AMISOM, ili kiweze kufikia lengo lake kuu la kurejesha uthabiti Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS