Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Mripuko mwingine waukumba mji mkuu wa Somalia, Mogadishu

    Mripuko mwingine waukumba mji mkuu wa Somalia, Mogadishu

    Mar 12, 2017 10:21

    Vyombo mbalimbali vya habari ya ndani na nje ya Somalia vimeripoti habari ya kutokea mripuko wa bomu leo Jumapili katika mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.

  • Somalia yakosoa marufuku ya kuingia Marekani dhidi ya Waislamu

    Somalia yakosoa marufuku ya kuingia Marekani dhidi ya Waislamu

    Mar 07, 2017 23:51

    Rais wa Somalia amekosoa amri mpya iliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani inayowazuia raia kutoka nchi kadhaa za Kiislamu kuingia Marekani.

  • Mamia ya Wasomalia wapoteza maisha kwa maradhi ya kipindupindu

    Mamia ya Wasomalia wapoteza maisha kwa maradhi ya kipindupindu

    Mar 05, 2017 00:24

    Waziri Mkuu wa Somalia ametangaza kuwa zaidi ya watu 100 wamefariki dunia nchini humo kutokana na ugonjwa wa kipindupindu.

  • Wafadhili waahidi kuunga mkono  Somalia

    Wafadhili waahidi kuunga mkono Somalia

    Mar 03, 2017 10:16

    Wafadhili wa kimataifa wameahidi kuendelea kuunga mkono Kikosi cha Umoja wa Afrika Somalia, AMISOM, ili kiweze kufikia lengo lake kuu la kurejesha uthabiti Somalia.

  • Jeshi la Kenya: Tumewaangamiza makumi ya wanachama wa genge la ash-Shabab

    Jeshi la Kenya: Tumewaangamiza makumi ya wanachama wa genge la ash-Shabab

    Mar 03, 2017 00:38

    Msemaji wa Jeshi la Kenya amesema kuwa, askari wa nchi hiyo wamewaangamiza wanachama 57 wa genge la kigaidi na ukufurishaji la ash-Shabab, kusini mwa Somalia katika operesheni pana iliyofanywa dhidi ya magaidi wa kundi hilo.

  • Bunge la Somalia lamuidhinisha Waziri Mkuu mpya, aahidi kutokomeza ufisadi

    Bunge la Somalia lamuidhinisha Waziri Mkuu mpya, aahidi kutokomeza ufisadi

    Mar 01, 2017 12:19

    Bunge la Somalia limemuidhinisha Hassan Ali Khaire kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo katika kikao cha ufunguzi wa Bunge la 10 leo Jumatano, kilichofunguliwa na Rais Mohamed Abdullahi Farmaajo.

  • Rais wa Somalia atangaza janga la njaa kuwa maafa ya taifa

    Rais wa Somalia atangaza janga la njaa kuwa maafa ya taifa

    Mar 01, 2017 03:50

    Rais Mohamed Abdullahi Farmajo wa Somalia ametangaza janga la njaa lililoikumba nchi hiyo ya Pembe ya Afrika kuwa ni maafa ya taifa.

  • WHO: Wasomali zaidi ya milioni moja wanakabiliwa na hatari ya kifo

    WHO: Wasomali zaidi ya milioni moja wanakabiliwa na hatari ya kifo

    Mar 01, 2017 00:26

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuhusu uzima na maisha ya zaidi ya Wasomali milioni moja wanaosumbuliwa na baa la njaa.

  • IGAD yaitisha mkutano maalumu kuhusu wakimbizi wa Somalia

    IGAD yaitisha mkutano maalumu kuhusu wakimbizi wa Somalia

    Feb 28, 2017 12:52

    Jumuiya ya Maendeleo ya Kiserikali ya nchi za Mashariki mwa Afrika IGAD imeitisha mkutano maalumu mjini Nairobi Machi 25, ili kujadili suluhisho la kudumu la wakimbizi wa Somalia.

  • Mkuu wa shirika la mafuta ateuliwa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Somalia

    Mkuu wa shirika la mafuta ateuliwa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Somalia

    Feb 23, 2017 10:11

    Rais mpya wa Somalia, Mohamed Abdullahi Mohamed Farmaajo aliyeapishwa jana mjini Mogadishu amemteua mkurugenzi wa shirika moja la mafuta kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS