-
Mripuko mwingine waukumba mji mkuu wa Somalia, Mogadishu
Mar 12, 2017 10:21Vyombo mbalimbali vya habari ya ndani na nje ya Somalia vimeripoti habari ya kutokea mripuko wa bomu leo Jumapili katika mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.
-
Somalia yakosoa marufuku ya kuingia Marekani dhidi ya Waislamu
Mar 07, 2017 23:51Rais wa Somalia amekosoa amri mpya iliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani inayowazuia raia kutoka nchi kadhaa za Kiislamu kuingia Marekani.
-
Mamia ya Wasomalia wapoteza maisha kwa maradhi ya kipindupindu
Mar 05, 2017 00:24Waziri Mkuu wa Somalia ametangaza kuwa zaidi ya watu 100 wamefariki dunia nchini humo kutokana na ugonjwa wa kipindupindu.
-
Wafadhili waahidi kuunga mkono Somalia
Mar 03, 2017 10:16Wafadhili wa kimataifa wameahidi kuendelea kuunga mkono Kikosi cha Umoja wa Afrika Somalia, AMISOM, ili kiweze kufikia lengo lake kuu la kurejesha uthabiti Somalia.
-
Jeshi la Kenya: Tumewaangamiza makumi ya wanachama wa genge la ash-Shabab
Mar 03, 2017 00:38Msemaji wa Jeshi la Kenya amesema kuwa, askari wa nchi hiyo wamewaangamiza wanachama 57 wa genge la kigaidi na ukufurishaji la ash-Shabab, kusini mwa Somalia katika operesheni pana iliyofanywa dhidi ya magaidi wa kundi hilo.
-
Bunge la Somalia lamuidhinisha Waziri Mkuu mpya, aahidi kutokomeza ufisadi
Mar 01, 2017 12:19Bunge la Somalia limemuidhinisha Hassan Ali Khaire kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo katika kikao cha ufunguzi wa Bunge la 10 leo Jumatano, kilichofunguliwa na Rais Mohamed Abdullahi Farmaajo.
-
Rais wa Somalia atangaza janga la njaa kuwa maafa ya taifa
Mar 01, 2017 03:50Rais Mohamed Abdullahi Farmajo wa Somalia ametangaza janga la njaa lililoikumba nchi hiyo ya Pembe ya Afrika kuwa ni maafa ya taifa.
-
WHO: Wasomali zaidi ya milioni moja wanakabiliwa na hatari ya kifo
Mar 01, 2017 00:26Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuhusu uzima na maisha ya zaidi ya Wasomali milioni moja wanaosumbuliwa na baa la njaa.
-
IGAD yaitisha mkutano maalumu kuhusu wakimbizi wa Somalia
Feb 28, 2017 12:52Jumuiya ya Maendeleo ya Kiserikali ya nchi za Mashariki mwa Afrika IGAD imeitisha mkutano maalumu mjini Nairobi Machi 25, ili kujadili suluhisho la kudumu la wakimbizi wa Somalia.
-
Mkuu wa shirika la mafuta ateuliwa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Somalia
Feb 23, 2017 10:11Rais mpya wa Somalia, Mohamed Abdullahi Mohamed Farmaajo aliyeapishwa jana mjini Mogadishu amemteua mkurugenzi wa shirika moja la mafuta kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo.