Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Jeshi la Kenya: Tumewaangamiza makumi ya wanachama wa genge la ash-Shabab

    Jeshi la Kenya: Tumewaangamiza makumi ya wanachama wa genge la ash-Shabab

    Mar 03, 2017 00:38

    Msemaji wa Jeshi la Kenya amesema kuwa, askari wa nchi hiyo wamewaangamiza wanachama 57 wa genge la kigaidi na ukufurishaji la ash-Shabab, kusini mwa Somalia katika operesheni pana iliyofanywa dhidi ya magaidi wa kundi hilo.

  • Bunge la Somalia lamuidhinisha Waziri Mkuu mpya, aahidi kutokomeza ufisadi

    Bunge la Somalia lamuidhinisha Waziri Mkuu mpya, aahidi kutokomeza ufisadi

    Mar 01, 2017 12:19

    Bunge la Somalia limemuidhinisha Hassan Ali Khaire kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo katika kikao cha ufunguzi wa Bunge la 10 leo Jumatano, kilichofunguliwa na Rais Mohamed Abdullahi Farmaajo.

  • Rais wa Somalia atangaza janga la njaa kuwa maafa ya taifa

    Rais wa Somalia atangaza janga la njaa kuwa maafa ya taifa

    Mar 01, 2017 03:50

    Rais Mohamed Abdullahi Farmajo wa Somalia ametangaza janga la njaa lililoikumba nchi hiyo ya Pembe ya Afrika kuwa ni maafa ya taifa.

  • WHO: Wasomali zaidi ya milioni moja wanakabiliwa na hatari ya kifo

    WHO: Wasomali zaidi ya milioni moja wanakabiliwa na hatari ya kifo

    Mar 01, 2017 00:26

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuhusu uzima na maisha ya zaidi ya Wasomali milioni moja wanaosumbuliwa na baa la njaa.

  • IGAD yaitisha mkutano maalumu kuhusu wakimbizi wa Somalia

    IGAD yaitisha mkutano maalumu kuhusu wakimbizi wa Somalia

    Feb 28, 2017 12:52

    Jumuiya ya Maendeleo ya Kiserikali ya nchi za Mashariki mwa Afrika IGAD imeitisha mkutano maalumu mjini Nairobi Machi 25, ili kujadili suluhisho la kudumu la wakimbizi wa Somalia.

  • Mkuu wa shirika la mafuta ateuliwa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Somalia

    Mkuu wa shirika la mafuta ateuliwa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Somalia

    Feb 23, 2017 10:11

    Rais mpya wa Somalia, Mohamed Abdullahi Mohamed Farmaajo aliyeapishwa jana mjini Mogadishu amemteua mkurugenzi wa shirika moja la mafuta kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo.

  • Rais mpya Somalia aapishwa, aahidi kurejesha heshima ya taifa hilo

    Rais mpya Somalia aapishwa, aahidi kurejesha heshima ya taifa hilo

    Feb 22, 2017 12:38

    Rais mpya wa Somalia, Mohamed Abdullahi Mohamed Farmajo ameapishwa leo mjini Mogadishu katika sherehe iliyohudhuriwa na viongozi wa nchi kadhaa za kanda hiyo chini ya hatua kali za ulinzi.

  • Sababu ya kuendelea hujuma za kigaidi Somalia

    Sababu ya kuendelea hujuma za kigaidi Somalia

    Feb 21, 2017 04:21

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa Somalia Michael Keating amelaani hujuma ya kigaidi iliyojiri Jumapili katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu huku wengi wakihoji sababu ya kuendelea hujuma za kigaidi nchini humo.

  • Atakayetoa taarifa za waliohusika na mlipuko wa Mogadishu kupewa zawadi ya laki moja

    Atakayetoa taarifa za waliohusika na mlipuko wa Mogadishu kupewa zawadi ya laki moja

    Feb 20, 2017 12:31

    Rais Mohamed Abdullahi Mohamed ‘Farmajo wa Somalia ametangaza zawadi ya dola laki moja kwa yeyote atakayetoa taarifa zitakazopelekea kutiwa mbaroni watu waliohusika na shambulio la kigaidi la jana mjini Mogadishu.

  • Umoja wa Mataifa walaani shambulizi la kigaidi nchini Somalia

    Umoja wa Mataifa walaani shambulizi la kigaidi nchini Somalia

    Feb 20, 2017 04:34

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Somalia, amelaani shambulizi la kigaidi katika soko moja la Mogadishu, mji mkuu wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS