-
Rais mpya Somalia aapishwa, aahidi kurejesha heshima ya taifa hilo
Feb 22, 2017 12:38Rais mpya wa Somalia, Mohamed Abdullahi Mohamed Farmajo ameapishwa leo mjini Mogadishu katika sherehe iliyohudhuriwa na viongozi wa nchi kadhaa za kanda hiyo chini ya hatua kali za ulinzi.
-
Sababu ya kuendelea hujuma za kigaidi Somalia
Feb 21, 2017 04:21Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa Somalia Michael Keating amelaani hujuma ya kigaidi iliyojiri Jumapili katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu huku wengi wakihoji sababu ya kuendelea hujuma za kigaidi nchini humo.
-
Atakayetoa taarifa za waliohusika na mlipuko wa Mogadishu kupewa zawadi ya laki moja
Feb 20, 2017 12:31Rais Mohamed Abdullahi Mohamed ‘Farmajo wa Somalia ametangaza zawadi ya dola laki moja kwa yeyote atakayetoa taarifa zitakazopelekea kutiwa mbaroni watu waliohusika na shambulio la kigaidi la jana mjini Mogadishu.
-
Umoja wa Mataifa walaani shambulizi la kigaidi nchini Somalia
Feb 20, 2017 04:34Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Somalia, amelaani shambulizi la kigaidi katika soko moja la Mogadishu, mji mkuu wa nchi hiyo.
-
39 Wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu
Feb 19, 2017 10:41Watu wasiopungua 39 wameuawa leo Jumapili wakati gari lililokuwa limesheheni mabomu liliporipuka katika makutano ya barabara katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Njaa yatishia mamia ya maelfu ya watu nchini Somalia
Feb 16, 2017 12:24Mwakilishi maalumu wa zamani wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia ametahadharisha kuhusu tishio kubwa la njaa katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika na ametoa wito wa kuchukua hatua haraka ili kuzuia maafa ya kibinadamu.
-
Radiamali ya serikali ya Somalia kwa mapatano ya Imarati na Somaliland
Feb 15, 2017 03:59Serikali ya Somalia imepinga makubaliano yaliyofikiwa kati ya Jamhuri iliyojitangazia uhuru ya Somaliland na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kwa ajili ya kujenga kambi ya kijeshi ya Abu-Dhabi katika eneo hilo.
-
Umoja wa Mataifa wampongeza Rais mpya wa Somalia
Feb 10, 2017 04:44Antonio Guterres, Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa amempongeza Rais mpya wa Somalia na kumtaka aunde baraza la mawaziri jumuishi.
-
UN na AU zamuunga mkono rais mpya wa Somalia
Feb 10, 2017 00:57Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa zimetangaza uungaji mkono wao kwa rais mpya wa Somalia.
-
Ash-Shabab washambulia uwanja wa ndege wa Mogadishu
Feb 08, 2017 04:17Kundi la kigaidi na kitakfiri la ash-Shabab nchini Somalia, limeshambulia uwanja wa ndege wa Mogadishu, mji mkuu wa nchi hiyo.