Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • 39 Wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu

    39 Wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu

    Feb 19, 2017 10:41

    Watu wasiopungua 39 wameuawa leo Jumapili wakati gari lililokuwa limesheheni mabomu liliporipuka katika makutano ya barabara katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Njaa yatishia mamia ya maelfu ya watu nchini Somalia

    Njaa yatishia mamia ya maelfu ya watu nchini Somalia

    Feb 16, 2017 12:24

    Mwakilishi maalumu wa zamani wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia ametahadharisha kuhusu tishio kubwa la njaa katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika na ametoa wito wa kuchukua hatua haraka ili kuzuia maafa ya kibinadamu.

  • Radiamali ya serikali ya Somalia kwa mapatano ya Imarati na  Somaliland

    Radiamali ya serikali ya Somalia kwa mapatano ya Imarati na Somaliland

    Feb 15, 2017 03:59

    Serikali ya Somalia imepinga makubaliano yaliyofikiwa kati ya Jamhuri iliyojitangazia uhuru ya Somaliland na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kwa ajili ya kujenga kambi ya kijeshi ya Abu-Dhabi katika eneo hilo.

  • Umoja wa Mataifa wampongeza Rais mpya wa Somalia

    Umoja wa Mataifa wampongeza Rais mpya wa Somalia

    Feb 10, 2017 04:44

    Antonio Guterres, Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa amempongeza Rais mpya wa Somalia na kumtaka aunde baraza la mawaziri jumuishi.

  • UN na AU zamuunga mkono rais mpya wa Somalia

    UN na AU zamuunga mkono rais mpya wa Somalia

    Feb 10, 2017 00:57

    Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa zimetangaza uungaji mkono wao kwa rais mpya wa Somalia.

  • Ash-Shabab washambulia uwanja wa ndege wa Mogadishu

    Ash-Shabab washambulia uwanja wa ndege wa Mogadishu

    Feb 08, 2017 04:17

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la ash-Shabab nchini Somalia, limeshambulia uwanja wa ndege wa Mogadishu, mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Uchaguzi wa rais Somalia kufanyika leo, wagombea 22 wanachuana

    Uchaguzi wa rais Somalia kufanyika leo, wagombea 22 wanachuana

    Feb 08, 2017 00:05

    Uchaguzi wa rais nchini Somalia unafanyika leo ukiwashirikisha wagombea 22 baada ya kuakhirishwa mara kadhaa.

  • Al-Shabaab yawachinja 'majasusi' wa Kenya na US hadharani

    Al-Shabaab yawachinja 'majasusi' wa Kenya na US hadharani

    Feb 06, 2017 04:17

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab lenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda limewaua kwa kuwakata vichwa watu wanne wanaoshukiwa kuwa majasusi, kusini mwa Somalia.

  • UN:  Somalia inakabiliwa baa la njaa, hatua za dharura zichukuliwe

    UN: Somalia inakabiliwa baa la njaa, hatua za dharura zichukuliwe

    Feb 03, 2017 10:40

    Msemaji wa Umoja wa Mataifa Stephane Dujarric amesema, hali ya kibinadamu nchini Somalia imekuwa mbaya zaidi na kwamba kuna wasiwasi wa kutokea baa la njaa kwenye nchi hiyo mwaka huu.

  • Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu ukame unaoikabili Somalia

    Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu ukame unaoikabili Somalia

    Feb 03, 2017 00:39

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa nchi ya Somalia inakabiliwa na ukame na hivyo kuiongezea matatizo nchi hiyo ya Pembe ya Afrika inayokabiliwa pia na tatizo la njaa na ukosefu wa amani na usalama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS