Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Rais mpya Somalia aapishwa, aahidi kurejesha heshima ya taifa hilo

    Rais mpya Somalia aapishwa, aahidi kurejesha heshima ya taifa hilo

    Feb 22, 2017 12:38

    Rais mpya wa Somalia, Mohamed Abdullahi Mohamed Farmajo ameapishwa leo mjini Mogadishu katika sherehe iliyohudhuriwa na viongozi wa nchi kadhaa za kanda hiyo chini ya hatua kali za ulinzi.

  • Sababu ya kuendelea hujuma za kigaidi Somalia

    Sababu ya kuendelea hujuma za kigaidi Somalia

    Feb 21, 2017 04:21

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa Somalia Michael Keating amelaani hujuma ya kigaidi iliyojiri Jumapili katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu huku wengi wakihoji sababu ya kuendelea hujuma za kigaidi nchini humo.

  • Atakayetoa taarifa za waliohusika na mlipuko wa Mogadishu kupewa zawadi ya laki moja

    Atakayetoa taarifa za waliohusika na mlipuko wa Mogadishu kupewa zawadi ya laki moja

    Feb 20, 2017 12:31

    Rais Mohamed Abdullahi Mohamed ‘Farmajo wa Somalia ametangaza zawadi ya dola laki moja kwa yeyote atakayetoa taarifa zitakazopelekea kutiwa mbaroni watu waliohusika na shambulio la kigaidi la jana mjini Mogadishu.

  • Umoja wa Mataifa walaani shambulizi la kigaidi nchini Somalia

    Umoja wa Mataifa walaani shambulizi la kigaidi nchini Somalia

    Feb 20, 2017 04:34

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Somalia, amelaani shambulizi la kigaidi katika soko moja la Mogadishu, mji mkuu wa nchi hiyo.

  • 39 Wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu

    39 Wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu

    Feb 19, 2017 10:41

    Watu wasiopungua 39 wameuawa leo Jumapili wakati gari lililokuwa limesheheni mabomu liliporipuka katika makutano ya barabara katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Njaa yatishia mamia ya maelfu ya watu nchini Somalia

    Njaa yatishia mamia ya maelfu ya watu nchini Somalia

    Feb 16, 2017 12:24

    Mwakilishi maalumu wa zamani wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia ametahadharisha kuhusu tishio kubwa la njaa katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika na ametoa wito wa kuchukua hatua haraka ili kuzuia maafa ya kibinadamu.

  • Radiamali ya serikali ya Somalia kwa mapatano ya Imarati na  Somaliland

    Radiamali ya serikali ya Somalia kwa mapatano ya Imarati na Somaliland

    Feb 15, 2017 03:59

    Serikali ya Somalia imepinga makubaliano yaliyofikiwa kati ya Jamhuri iliyojitangazia uhuru ya Somaliland na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kwa ajili ya kujenga kambi ya kijeshi ya Abu-Dhabi katika eneo hilo.

  • Umoja wa Mataifa wampongeza Rais mpya wa Somalia

    Umoja wa Mataifa wampongeza Rais mpya wa Somalia

    Feb 10, 2017 04:44

    Antonio Guterres, Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa amempongeza Rais mpya wa Somalia na kumtaka aunde baraza la mawaziri jumuishi.

  • UN na AU zamuunga mkono rais mpya wa Somalia

    UN na AU zamuunga mkono rais mpya wa Somalia

    Feb 10, 2017 00:57

    Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa zimetangaza uungaji mkono wao kwa rais mpya wa Somalia.

  • Ash-Shabab washambulia uwanja wa ndege wa Mogadishu

    Ash-Shabab washambulia uwanja wa ndege wa Mogadishu

    Feb 08, 2017 04:17

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la ash-Shabab nchini Somalia, limeshambulia uwanja wa ndege wa Mogadishu, mji mkuu wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS