-
39 Wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu
Feb 19, 2017 10:41Watu wasiopungua 39 wameuawa leo Jumapili wakati gari lililokuwa limesheheni mabomu liliporipuka katika makutano ya barabara katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Njaa yatishia mamia ya maelfu ya watu nchini Somalia
Feb 16, 2017 12:24Mwakilishi maalumu wa zamani wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia ametahadharisha kuhusu tishio kubwa la njaa katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika na ametoa wito wa kuchukua hatua haraka ili kuzuia maafa ya kibinadamu.
-
Radiamali ya serikali ya Somalia kwa mapatano ya Imarati na Somaliland
Feb 15, 2017 03:59Serikali ya Somalia imepinga makubaliano yaliyofikiwa kati ya Jamhuri iliyojitangazia uhuru ya Somaliland na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kwa ajili ya kujenga kambi ya kijeshi ya Abu-Dhabi katika eneo hilo.
-
Umoja wa Mataifa wampongeza Rais mpya wa Somalia
Feb 10, 2017 04:44Antonio Guterres, Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa amempongeza Rais mpya wa Somalia na kumtaka aunde baraza la mawaziri jumuishi.
-
UN na AU zamuunga mkono rais mpya wa Somalia
Feb 10, 2017 00:57Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa zimetangaza uungaji mkono wao kwa rais mpya wa Somalia.
-
Ash-Shabab washambulia uwanja wa ndege wa Mogadishu
Feb 08, 2017 04:17Kundi la kigaidi na kitakfiri la ash-Shabab nchini Somalia, limeshambulia uwanja wa ndege wa Mogadishu, mji mkuu wa nchi hiyo.
-
Uchaguzi wa rais Somalia kufanyika leo, wagombea 22 wanachuana
Feb 08, 2017 00:05Uchaguzi wa rais nchini Somalia unafanyika leo ukiwashirikisha wagombea 22 baada ya kuakhirishwa mara kadhaa.
-
Al-Shabaab yawachinja 'majasusi' wa Kenya na US hadharani
Feb 06, 2017 04:17Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab lenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda limewaua kwa kuwakata vichwa watu wanne wanaoshukiwa kuwa majasusi, kusini mwa Somalia.
-
UN: Somalia inakabiliwa baa la njaa, hatua za dharura zichukuliwe
Feb 03, 2017 10:40Msemaji wa Umoja wa Mataifa Stephane Dujarric amesema, hali ya kibinadamu nchini Somalia imekuwa mbaya zaidi na kwamba kuna wasiwasi wa kutokea baa la njaa kwenye nchi hiyo mwaka huu.
-
Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu ukame unaoikabili Somalia
Feb 03, 2017 00:39Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa nchi ya Somalia inakabiliwa na ukame na hivyo kuiongezea matatizo nchi hiyo ya Pembe ya Afrika inayokabiliwa pia na tatizo la njaa na ukosefu wa amani na usalama.