Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Uchaguzi wa rais Somalia kufanyika leo, wagombea 22 wanachuana

    Uchaguzi wa rais Somalia kufanyika leo, wagombea 22 wanachuana

    Feb 08, 2017 00:05

    Uchaguzi wa rais nchini Somalia unafanyika leo ukiwashirikisha wagombea 22 baada ya kuakhirishwa mara kadhaa.

  • Al-Shabaab yawachinja 'majasusi' wa Kenya na US hadharani

    Al-Shabaab yawachinja 'majasusi' wa Kenya na US hadharani

    Feb 06, 2017 04:17

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab lenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda limewaua kwa kuwakata vichwa watu wanne wanaoshukiwa kuwa majasusi, kusini mwa Somalia.

  • UN:  Somalia inakabiliwa baa la njaa, hatua za dharura zichukuliwe

    UN: Somalia inakabiliwa baa la njaa, hatua za dharura zichukuliwe

    Feb 03, 2017 10:40

    Msemaji wa Umoja wa Mataifa Stephane Dujarric amesema, hali ya kibinadamu nchini Somalia imekuwa mbaya zaidi na kwamba kuna wasiwasi wa kutokea baa la njaa kwenye nchi hiyo mwaka huu.

  • Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu ukame unaoikabili Somalia

    Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu ukame unaoikabili Somalia

    Feb 03, 2017 00:39

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa nchi ya Somalia inakabiliwa na ukame na hivyo kuiongezea matatizo nchi hiyo ya Pembe ya Afrika inayokabiliwa pia na tatizo la njaa na ukosefu wa amani na usalama.

  • Al Shabab washambulia kusini mwa Somalia

    Al Shabab washambulia kusini mwa Somalia

    Feb 01, 2017 12:12

    Watu wawili wameripotiwa kuuawa baada ya kundi la kigaidi la al Shabab kufanya shambulio kusini mwa Somalia.

  • Somalia na uchaguzi ulioko mbele yake

    Somalia na uchaguzi ulioko mbele yake

    Feb 01, 2017 00:50

    Baada ya tarehe 8 Februari kutangazwa kuwa ndio siku ya kufanyika uchaguzi wa Rais nchini Somalia, Tume ya Uchaguzi ya nchi hiyo imetangaza kuwa, watu 24 watachuana kuwania kiti hicho cha urais.

  • Kiongozi wa kundi la al Shabab auawa Somalia

    Kiongozi wa kundi la al Shabab auawa Somalia

    Jan 30, 2017 11:43

    Afisa mmoja wa ngazi ya juu wa vyombo vya usalama nchini Somalia ametangaza habari ya kuuliwa mmoja wa viongozi wa kundi la kigaidi la wanamgambo wa al Shabab nchini humo.

  • Mwencha: AU inakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa fedha

    Mwencha: AU inakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa fedha

    Jan 28, 2017 04:11

    Makamu Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesema umoja huo unakabiliwa na changamoto ya matatizo ya kifedha na taathira zake mbaya katika utekelezaji wa operesheni za kulinda amani.

  • Umoja wa Afrika wataka askari 4,000 zaidi watumwe Somalia

    Umoja wa Afrika wataka askari 4,000 zaidi watumwe Somalia

    Jan 27, 2017 23:19

    Umoja wa Afrika AU umetoa wito wa kuongezwa idadi ya askari wanaohudumu chini ya mwavuli wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM.

  • Al-Shabaab yadai kuua askari 66 wa KDF Somalia, Kenya yakanusha

    Al-Shabaab yadai kuua askari 66 wa KDF Somalia, Kenya yakanusha

    Jan 27, 2017 10:16

    Jeshi la Kenya limekadhibisha madai yaliyotolewa na kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab kwamba limeua makumi ya wanajeshi wa KDF katika kambi ya jeshi iliyoko katika mji wa Kulbiyow, kusini mwa Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS