Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Al Shabab washambulia kusini mwa Somalia

    Al Shabab washambulia kusini mwa Somalia

    Feb 01, 2017 12:12

    Watu wawili wameripotiwa kuuawa baada ya kundi la kigaidi la al Shabab kufanya shambulio kusini mwa Somalia.

  • Somalia na uchaguzi ulioko mbele yake

    Somalia na uchaguzi ulioko mbele yake

    Feb 01, 2017 00:50

    Baada ya tarehe 8 Februari kutangazwa kuwa ndio siku ya kufanyika uchaguzi wa Rais nchini Somalia, Tume ya Uchaguzi ya nchi hiyo imetangaza kuwa, watu 24 watachuana kuwania kiti hicho cha urais.

  • Kiongozi wa kundi la al Shabab auawa Somalia

    Kiongozi wa kundi la al Shabab auawa Somalia

    Jan 30, 2017 11:43

    Afisa mmoja wa ngazi ya juu wa vyombo vya usalama nchini Somalia ametangaza habari ya kuuliwa mmoja wa viongozi wa kundi la kigaidi la wanamgambo wa al Shabab nchini humo.

  • Mwencha: AU inakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa fedha

    Mwencha: AU inakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa fedha

    Jan 28, 2017 04:11

    Makamu Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesema umoja huo unakabiliwa na changamoto ya matatizo ya kifedha na taathira zake mbaya katika utekelezaji wa operesheni za kulinda amani.

  • Umoja wa Afrika wataka askari 4,000 zaidi watumwe Somalia

    Umoja wa Afrika wataka askari 4,000 zaidi watumwe Somalia

    Jan 27, 2017 23:19

    Umoja wa Afrika AU umetoa wito wa kuongezwa idadi ya askari wanaohudumu chini ya mwavuli wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM.

  • Al-Shabaab yadai kuua askari 66 wa KDF Somalia, Kenya yakanusha

    Al-Shabaab yadai kuua askari 66 wa KDF Somalia, Kenya yakanusha

    Jan 27, 2017 10:16

    Jeshi la Kenya limekadhibisha madai yaliyotolewa na kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab kwamba limeua makumi ya wanajeshi wa KDF katika kambi ya jeshi iliyoko katika mji wa Kulbiyow, kusini mwa Somalia.

  • Igad yaalani mashambulizi ya kundi la al Shabab, Somalia

    Igad yaalani mashambulizi ya kundi la al Shabab, Somalia

    Jan 27, 2017 04:40

    Jumuiya ya Kieneo ya Nchi za Afrika Mashariki (IGAD) imelaani mashambulizi ya kundi la wanamgambo wa al Shabab katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Somalia yatangaza tarehe mpya ya uchaguzi wa rais

    Somalia yatangaza tarehe mpya ya uchaguzi wa rais

    Jan 26, 2017 10:14

    Kwa mara nyingine tena Somalia imetangaza tarehe mpya ya kufanyika uchaguzi wa rais licha ya mji mkuu wa nchi hiyo kutikiswa na shambulizi la kigaidi hapo jana.

  • Wahanga wa shambulizi la ash-Shabab Somalia waongezeka na kufikia 83

    Wahanga wa shambulizi la ash-Shabab Somalia waongezeka na kufikia 83

    Jan 26, 2017 04:03

    Watu 83 wameripotiwa kuuawa katika shambulizi la kigaidi lililotekelezwa jana na wanachama wa genge la ash-Shabab lenye mafungamano na kundi la al-Qaidah huko Somalia.

  • Watu 15 wauawa katika mlipuko wa bomu katika hoteli moja mjini Mogadishu Somalia

    Watu 15 wauawa katika mlipuko wa bomu katika hoteli moja mjini Mogadishu Somalia

    Jan 25, 2017 11:32

    Watu wasiopungua 15 wameuawa mjini Mogadishu Somalia na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia mlipuko wa bomu uliotokea katika lango la hoteli moja.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS