-
Uchaguzi wa rais Somalia kufanyika leo, wagombea 22 wanachuana
Feb 08, 2017 00:05Uchaguzi wa rais nchini Somalia unafanyika leo ukiwashirikisha wagombea 22 baada ya kuakhirishwa mara kadhaa.
-
Al-Shabaab yawachinja 'majasusi' wa Kenya na US hadharani
Feb 06, 2017 04:17Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab lenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda limewaua kwa kuwakata vichwa watu wanne wanaoshukiwa kuwa majasusi, kusini mwa Somalia.
-
UN: Somalia inakabiliwa baa la njaa, hatua za dharura zichukuliwe
Feb 03, 2017 10:40Msemaji wa Umoja wa Mataifa Stephane Dujarric amesema, hali ya kibinadamu nchini Somalia imekuwa mbaya zaidi na kwamba kuna wasiwasi wa kutokea baa la njaa kwenye nchi hiyo mwaka huu.
-
Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu ukame unaoikabili Somalia
Feb 03, 2017 00:39Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa nchi ya Somalia inakabiliwa na ukame na hivyo kuiongezea matatizo nchi hiyo ya Pembe ya Afrika inayokabiliwa pia na tatizo la njaa na ukosefu wa amani na usalama.
-
Al Shabab washambulia kusini mwa Somalia
Feb 01, 2017 12:12Watu wawili wameripotiwa kuuawa baada ya kundi la kigaidi la al Shabab kufanya shambulio kusini mwa Somalia.
-
Somalia na uchaguzi ulioko mbele yake
Feb 01, 2017 00:50Baada ya tarehe 8 Februari kutangazwa kuwa ndio siku ya kufanyika uchaguzi wa Rais nchini Somalia, Tume ya Uchaguzi ya nchi hiyo imetangaza kuwa, watu 24 watachuana kuwania kiti hicho cha urais.
-
Kiongozi wa kundi la al Shabab auawa Somalia
Jan 30, 2017 11:43Afisa mmoja wa ngazi ya juu wa vyombo vya usalama nchini Somalia ametangaza habari ya kuuliwa mmoja wa viongozi wa kundi la kigaidi la wanamgambo wa al Shabab nchini humo.
-
Mwencha: AU inakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa fedha
Jan 28, 2017 04:11Makamu Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesema umoja huo unakabiliwa na changamoto ya matatizo ya kifedha na taathira zake mbaya katika utekelezaji wa operesheni za kulinda amani.
-
Umoja wa Afrika wataka askari 4,000 zaidi watumwe Somalia
Jan 27, 2017 23:19Umoja wa Afrika AU umetoa wito wa kuongezwa idadi ya askari wanaohudumu chini ya mwavuli wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM.
-
Al-Shabaab yadai kuua askari 66 wa KDF Somalia, Kenya yakanusha
Jan 27, 2017 10:16Jeshi la Kenya limekadhibisha madai yaliyotolewa na kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab kwamba limeua makumi ya wanajeshi wa KDF katika kambi ya jeshi iliyoko katika mji wa Kulbiyow, kusini mwa Somalia.