-
Al Shabab washambulia kusini mwa Somalia
Feb 01, 2017 12:12Watu wawili wameripotiwa kuuawa baada ya kundi la kigaidi la al Shabab kufanya shambulio kusini mwa Somalia.
-
Somalia na uchaguzi ulioko mbele yake
Feb 01, 2017 00:50Baada ya tarehe 8 Februari kutangazwa kuwa ndio siku ya kufanyika uchaguzi wa Rais nchini Somalia, Tume ya Uchaguzi ya nchi hiyo imetangaza kuwa, watu 24 watachuana kuwania kiti hicho cha urais.
-
Kiongozi wa kundi la al Shabab auawa Somalia
Jan 30, 2017 11:43Afisa mmoja wa ngazi ya juu wa vyombo vya usalama nchini Somalia ametangaza habari ya kuuliwa mmoja wa viongozi wa kundi la kigaidi la wanamgambo wa al Shabab nchini humo.
-
Mwencha: AU inakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa fedha
Jan 28, 2017 04:11Makamu Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesema umoja huo unakabiliwa na changamoto ya matatizo ya kifedha na taathira zake mbaya katika utekelezaji wa operesheni za kulinda amani.
-
Umoja wa Afrika wataka askari 4,000 zaidi watumwe Somalia
Jan 27, 2017 23:19Umoja wa Afrika AU umetoa wito wa kuongezwa idadi ya askari wanaohudumu chini ya mwavuli wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM.
-
Al-Shabaab yadai kuua askari 66 wa KDF Somalia, Kenya yakanusha
Jan 27, 2017 10:16Jeshi la Kenya limekadhibisha madai yaliyotolewa na kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab kwamba limeua makumi ya wanajeshi wa KDF katika kambi ya jeshi iliyoko katika mji wa Kulbiyow, kusini mwa Somalia.
-
Igad yaalani mashambulizi ya kundi la al Shabab, Somalia
Jan 27, 2017 04:40Jumuiya ya Kieneo ya Nchi za Afrika Mashariki (IGAD) imelaani mashambulizi ya kundi la wanamgambo wa al Shabab katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Somalia yatangaza tarehe mpya ya uchaguzi wa rais
Jan 26, 2017 10:14Kwa mara nyingine tena Somalia imetangaza tarehe mpya ya kufanyika uchaguzi wa rais licha ya mji mkuu wa nchi hiyo kutikiswa na shambulizi la kigaidi hapo jana.
-
Wahanga wa shambulizi la ash-Shabab Somalia waongezeka na kufikia 83
Jan 26, 2017 04:03Watu 83 wameripotiwa kuuawa katika shambulizi la kigaidi lililotekelezwa jana na wanachama wa genge la ash-Shabab lenye mafungamano na kundi la al-Qaidah huko Somalia.
-
Watu 15 wauawa katika mlipuko wa bomu katika hoteli moja mjini Mogadishu Somalia
Jan 25, 2017 11:32Watu wasiopungua 15 wameuawa mjini Mogadishu Somalia na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia mlipuko wa bomu uliotokea katika lango la hoteli moja.