Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Igad yaalani mashambulizi ya kundi la al Shabab, Somalia

    Igad yaalani mashambulizi ya kundi la al Shabab, Somalia

    Jan 27, 2017 04:40

    Jumuiya ya Kieneo ya Nchi za Afrika Mashariki (IGAD) imelaani mashambulizi ya kundi la wanamgambo wa al Shabab katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Somalia yatangaza tarehe mpya ya uchaguzi wa rais

    Somalia yatangaza tarehe mpya ya uchaguzi wa rais

    Jan 26, 2017 10:14

    Kwa mara nyingine tena Somalia imetangaza tarehe mpya ya kufanyika uchaguzi wa rais licha ya mji mkuu wa nchi hiyo kutikiswa na shambulizi la kigaidi hapo jana.

  • Wahanga wa shambulizi la ash-Shabab Somalia waongezeka na kufikia 83

    Wahanga wa shambulizi la ash-Shabab Somalia waongezeka na kufikia 83

    Jan 26, 2017 04:03

    Watu 83 wameripotiwa kuuawa katika shambulizi la kigaidi lililotekelezwa jana na wanachama wa genge la ash-Shabab lenye mafungamano na kundi la al-Qaidah huko Somalia.

  • Watu 15 wauawa katika mlipuko wa bomu katika hoteli moja mjini Mogadishu Somalia

    Watu 15 wauawa katika mlipuko wa bomu katika hoteli moja mjini Mogadishu Somalia

    Jan 25, 2017 11:32

    Watu wasiopungua 15 wameuawa mjini Mogadishu Somalia na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia mlipuko wa bomu uliotokea katika lango la hoteli moja.

  • Magaidi wa al-Shabab washambulia Lower Shebelle, Somalia 5 wauawa

    Magaidi wa al-Shabab washambulia Lower Shebelle, Somalia 5 wauawa

    Jan 24, 2017 11:27

    Wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabab nchini Somalia wamefanya shambulizi eneo la Lower Shebelle na kuua watu watano.

  • Pigo jingine kwa wanamgambo wa al Shabab nchini Somalia

    Pigo jingine kwa wanamgambo wa al Shabab nchini Somalia

    Jan 21, 2017 10:19

    Jeshi la Somalia limetangaza kuwa, wanamgambo wasiopungua sita wa al Shabab wameuawa katika operesheni ya jeshi hilo kusini mwa nchi hiyo.

  • UN: Somalia inahitaji misaada ya dharura kukabiliana na njaa

    UN: Somalia inahitaji misaada ya dharura kukabiliana na njaa

    Jan 19, 2017 04:09

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu misaada ya kibinadamu, OCHA, imezindua ombi la dola milioni 864 kwa ajili ya kushughulikia mahitaji ya kibinadamu nchini Somalia kwa mwaka huu wa 2017.

  • Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusiana na ukame nchini Somalia

    Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusiana na ukame nchini Somalia

    Jan 18, 2017 13:09

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusiana na kuongezeka matatizo ya Somalia kutokana na ukame unaoikabili nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Burundi yaanza kuondoa askari wake wa kulinda amani Somalia

    Burundi yaanza kuondoa askari wake wa kulinda amani Somalia

    Jan 17, 2017 01:02

    Serikali ya Burundi imeanza kuwaondoa wanajeshi wake wanaohudumu katika Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia Amisom kutokana na mgogoro wa mshahara.

  • AU, EU na UN zataka kutatuliwa tofauti zilizopo jimbo la Galmudug, Somalia

    AU, EU na UN zataka kutatuliwa tofauti zilizopo jimbo la Galmudug, Somalia

    Jan 14, 2017 23:09

    Wawakilishi wa Umoja wa Afrika, Umoja wa Ulaya na Umoja wa Mataifa wametaka kutatuliwa haraka tofauti zilizopo katika jimbo la Galmudug nchini Somalia kupitia njia ya mazungumzo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS