-
Magaidi wa al-Shabab washambulia Lower Shebelle, Somalia 5 wauawa
Jan 24, 2017 11:27Wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabab nchini Somalia wamefanya shambulizi eneo la Lower Shebelle na kuua watu watano.
-
Pigo jingine kwa wanamgambo wa al Shabab nchini Somalia
Jan 21, 2017 10:19Jeshi la Somalia limetangaza kuwa, wanamgambo wasiopungua sita wa al Shabab wameuawa katika operesheni ya jeshi hilo kusini mwa nchi hiyo.
-
UN: Somalia inahitaji misaada ya dharura kukabiliana na njaa
Jan 19, 2017 04:09Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu misaada ya kibinadamu, OCHA, imezindua ombi la dola milioni 864 kwa ajili ya kushughulikia mahitaji ya kibinadamu nchini Somalia kwa mwaka huu wa 2017.
-
Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusiana na ukame nchini Somalia
Jan 18, 2017 13:09Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusiana na kuongezeka matatizo ya Somalia kutokana na ukame unaoikabili nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Burundi yaanza kuondoa askari wake wa kulinda amani Somalia
Jan 17, 2017 01:02Serikali ya Burundi imeanza kuwaondoa wanajeshi wake wanaohudumu katika Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia Amisom kutokana na mgogoro wa mshahara.
-
AU, EU na UN zataka kutatuliwa tofauti zilizopo jimbo la Galmudug, Somalia
Jan 14, 2017 23:09Wawakilishi wa Umoja wa Afrika, Umoja wa Ulaya na Umoja wa Mataifa wametaka kutatuliwa haraka tofauti zilizopo katika jimbo la Galmudug nchini Somalia kupitia njia ya mazungumzo.
-
Watu wanne wauawa katika hujuma pacha mjini Mogadishu
Jan 08, 2017 10:34Watu wasiopungua wanne wameuawa na wengine 17 kujeruhiwa katika mashambulizi pacha ya kigaidi yaliyoulenga mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Nchi za Afrika kuendelea kuwapa hifadhi wakimbizi wa Somalia
Jan 06, 2017 04:23Nchi tano za pembe ya Afrika zinazohifadhi wakimbizi wa Somalia, zimesema zitaendelea kuwapatia hifadhi wakimbizi hao huku jamii ya kimataifa ikiendeleza harakati za kurejesha amani ya kudumu nchini mwao.
-
Al Shabab washambulia ofisi ya Umoja wa Mataifa Mogadishu
Jan 04, 2017 13:00Kundi la kigaidi la al Shabab limeshambulia ofisi ya Umoja wa Mataifa katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
UN ina wasiwasi kuhusu athari za El-Nino kaskazini na mashariki mwa Afrika
Jan 01, 2017 13:06Umoja wa Mataifa umesema kuwa una wasiwasi kuhusu maafa yanayosababishwa na tatizo la mabadiliko ya tabia nchi ya El-Nino katika maeneo ya kaskazini na mashariki mwa Afrika.