Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Watu wanne wauawa katika hujuma pacha mjini Mogadishu

    Watu wanne wauawa katika hujuma pacha mjini Mogadishu

    Jan 08, 2017 10:34

    Watu wasiopungua wanne wameuawa na wengine 17 kujeruhiwa katika mashambulizi pacha ya kigaidi yaliyoulenga mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Nchi za Afrika kuendelea kuwapa hifadhi wakimbizi wa Somalia

    Nchi za Afrika kuendelea kuwapa hifadhi wakimbizi wa Somalia

    Jan 06, 2017 04:23

    Nchi tano za pembe ya Afrika zinazohifadhi wakimbizi wa Somalia, zimesema zitaendelea kuwapatia hifadhi wakimbizi hao huku jamii ya kimataifa ikiendeleza harakati za kurejesha amani ya kudumu nchini mwao.

  • Al Shabab washambulia ofisi ya Umoja wa Mataifa Mogadishu

    Al Shabab washambulia ofisi ya Umoja wa Mataifa Mogadishu

    Jan 04, 2017 13:00

    Kundi la kigaidi la al Shabab limeshambulia ofisi ya Umoja wa Mataifa katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • UN ina wasiwasi kuhusu athari za El-Nino kaskazini na mashariki mwa Afrika

    UN ina wasiwasi kuhusu athari za El-Nino kaskazini na mashariki mwa Afrika

    Jan 01, 2017 13:06

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa una wasiwasi kuhusu maafa yanayosababishwa na tatizo la mabadiliko ya tabia nchi ya El-Nino katika maeneo ya kaskazini na mashariki mwa Afrika.

  • Burundi yatishia kuishtaki AU na kuondoa askari wake Somalia

    Burundi yatishia kuishtaki AU na kuondoa askari wake Somalia

    Dec 31, 2016 03:36

    Burundi imetishia kuushataki Umoja wa Afrika AU sambamba na kuwaondoa askari wake nchini Somalia wanaohudumu chini ya mwavuli wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika Amisom.

  • Watu 7 wauawa katika mapigano makali Afgoye, Somalia

    Watu 7 wauawa katika mapigano makali Afgoye, Somalia

    Dec 30, 2016 11:57

    Watu saba wameuawa katika mapigano makali baina ya jeshi la Somalia na magaidi wa kundi la Al-Shabaab baada ya wapiganaji hao kushambulia kituo cha upekuzi cha jeshi mjini Afgoye, kilomita 30 kusini mwa Mogadishu.

  • Watu sita wauawa katika shambulio la kigaidi Somalia

    Watu sita wauawa katika shambulio la kigaidi Somalia

    Dec 28, 2016 11:11

    Watu sita wameuawa katika shambulio lililofanywa leo na wanamgambo wenye mfungamano na kundi la kigaidi la al Shabab.

  • Wabunge wapya wa Bunge la taifa la Somalia waapishwa mjini Mogadishu

    Wabunge wapya wa Bunge la taifa la Somalia waapishwa mjini Mogadishu

    Dec 28, 2016 04:39

    Wabunge wapya wa Bunge la taifa la Somalia wameapishwa katika hafla iliyofanyika mjini Mogadishu chini ya hatua kali za kiusalama.

  • Wakimbizi waliorejeshwa Somalia wataka kurejea Dadaab

    Wakimbizi waliorejeshwa Somalia wataka kurejea Dadaab

    Dec 27, 2016 11:22

    Akthari ya wakimbizi wa Kisomali waliorejeshwa kwa khiari nchini Somalia wamesema ahadi walizopewa kabla ya kurejeshwa nchini humo hazijatekelezwa na sasa baadhi yao wanataka kurejea katika kambi ya Dadaab nchini Kenya.

  • Uchaguzi wa Rais nchini Somalia waakhirishwa kwa mara ya nne

    Uchaguzi wa Rais nchini Somalia waakhirishwa kwa mara ya nne

    Dec 26, 2016 12:47

    Uchaguzi wa Rais nchini Somalia uliokuwa umepangwa kufanyika Jumatano ijayo ya tarehe 28 ya mwezi huu wa Desemba umeakhirishwa tena.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS