-
Watu wanne wauawa katika hujuma pacha mjini Mogadishu
Jan 08, 2017 10:34Watu wasiopungua wanne wameuawa na wengine 17 kujeruhiwa katika mashambulizi pacha ya kigaidi yaliyoulenga mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Nchi za Afrika kuendelea kuwapa hifadhi wakimbizi wa Somalia
Jan 06, 2017 04:23Nchi tano za pembe ya Afrika zinazohifadhi wakimbizi wa Somalia, zimesema zitaendelea kuwapatia hifadhi wakimbizi hao huku jamii ya kimataifa ikiendeleza harakati za kurejesha amani ya kudumu nchini mwao.
-
Al Shabab washambulia ofisi ya Umoja wa Mataifa Mogadishu
Jan 04, 2017 13:00Kundi la kigaidi la al Shabab limeshambulia ofisi ya Umoja wa Mataifa katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
UN ina wasiwasi kuhusu athari za El-Nino kaskazini na mashariki mwa Afrika
Jan 01, 2017 13:06Umoja wa Mataifa umesema kuwa una wasiwasi kuhusu maafa yanayosababishwa na tatizo la mabadiliko ya tabia nchi ya El-Nino katika maeneo ya kaskazini na mashariki mwa Afrika.
-
Burundi yatishia kuishtaki AU na kuondoa askari wake Somalia
Dec 31, 2016 03:36Burundi imetishia kuushataki Umoja wa Afrika AU sambamba na kuwaondoa askari wake nchini Somalia wanaohudumu chini ya mwavuli wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika Amisom.
-
Watu 7 wauawa katika mapigano makali Afgoye, Somalia
Dec 30, 2016 11:57Watu saba wameuawa katika mapigano makali baina ya jeshi la Somalia na magaidi wa kundi la Al-Shabaab baada ya wapiganaji hao kushambulia kituo cha upekuzi cha jeshi mjini Afgoye, kilomita 30 kusini mwa Mogadishu.
-
Watu sita wauawa katika shambulio la kigaidi Somalia
Dec 28, 2016 11:11Watu sita wameuawa katika shambulio lililofanywa leo na wanamgambo wenye mfungamano na kundi la kigaidi la al Shabab.
-
Wabunge wapya wa Bunge la taifa la Somalia waapishwa mjini Mogadishu
Dec 28, 2016 04:39Wabunge wapya wa Bunge la taifa la Somalia wameapishwa katika hafla iliyofanyika mjini Mogadishu chini ya hatua kali za kiusalama.
-
Wakimbizi waliorejeshwa Somalia wataka kurejea Dadaab
Dec 27, 2016 11:22Akthari ya wakimbizi wa Kisomali waliorejeshwa kwa khiari nchini Somalia wamesema ahadi walizopewa kabla ya kurejeshwa nchini humo hazijatekelezwa na sasa baadhi yao wanataka kurejea katika kambi ya Dadaab nchini Kenya.
-
Uchaguzi wa Rais nchini Somalia waakhirishwa kwa mara ya nne
Dec 26, 2016 12:47Uchaguzi wa Rais nchini Somalia uliokuwa umepangwa kufanyika Jumatano ijayo ya tarehe 28 ya mwezi huu wa Desemba umeakhirishwa tena.