Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Watu sita wauawa katika shambulio la kigaidi Somalia

    Watu sita wauawa katika shambulio la kigaidi Somalia

    Dec 28, 2016 11:11

    Watu sita wameuawa katika shambulio lililofanywa leo na wanamgambo wenye mfungamano na kundi la kigaidi la al Shabab.

  • Wabunge wapya wa Bunge la taifa la Somalia waapishwa mjini Mogadishu

    Wabunge wapya wa Bunge la taifa la Somalia waapishwa mjini Mogadishu

    Dec 28, 2016 04:39

    Wabunge wapya wa Bunge la taifa la Somalia wameapishwa katika hafla iliyofanyika mjini Mogadishu chini ya hatua kali za kiusalama.

  • Wakimbizi waliorejeshwa Somalia wataka kurejea Dadaab

    Wakimbizi waliorejeshwa Somalia wataka kurejea Dadaab

    Dec 27, 2016 11:22

    Akthari ya wakimbizi wa Kisomali waliorejeshwa kwa khiari nchini Somalia wamesema ahadi walizopewa kabla ya kurejeshwa nchini humo hazijatekelezwa na sasa baadhi yao wanataka kurejea katika kambi ya Dadaab nchini Kenya.

  • Uchaguzi wa Rais nchini Somalia waakhirishwa kwa mara ya nne

    Uchaguzi wa Rais nchini Somalia waakhirishwa kwa mara ya nne

    Dec 26, 2016 12:47

    Uchaguzi wa Rais nchini Somalia uliokuwa umepangwa kufanyika Jumatano ijayo ya tarehe 28 ya mwezi huu wa Desemba umeakhirishwa tena.

  • Al Shabab yamuua Mwendesha Mashtaka wa Jeshi, Puntland

    Al Shabab yamuua Mwendesha Mashtaka wa Jeshi, Puntland

    Dec 26, 2016 01:03

    Kundi la kigaidi la al Shabab limempiga risasi na kumuua Mwendesha Mashtaka wa Jeshi katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia.

  • Sisitizo la Umoja wa Afrika la kupambana na kundi la kigaidi la al-Shabab

    Sisitizo la Umoja wa Afrika la kupambana na kundi la kigaidi la al-Shabab

    Dec 21, 2016 23:32

    Kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM kwa mara nyingine tena kimesisitiza juu ya azma yake ya kukabiliana na tishio la kundi la kigaidi la al-Shabab.

  • AMISOM kuchunguza tuhuma za askari wake kuua raia Somalia

    AMISOM kuchunguza tuhuma za askari wake kuua raia Somalia

    Dec 20, 2016 11:26

    Kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) kimesema kimeanza uchunguzi kuhusu vifo vya raia sita vilivyotokea katika matukio tofauti huko Qoryooley mashariki mwa Somalia, mwishoni mwa wiki iliyopita.

  • Milipuko ya kigaidi yaendelea kuitikisa Somalia, wanajeshi watano wauliwa

    Milipuko ya kigaidi yaendelea kuitikisa Somalia, wanajeshi watano wauliwa

    Dec 15, 2016 10:53

    Wanajeshi watano wa Somalia wameuawa katika mlipuko wa bomu la kutegwa garini uliotekelezwa leo karibu na ikulu ya Rais wa Somalia na kujeruhi pia makumi ya watu.

  • Rais wa Somalia atoa radiamali yake kufuatia kushtadi ukosefu wa amani nchini humo

    Rais wa Somalia atoa radiamali yake kufuatia kushtadi ukosefu wa amani nchini humo

    Dec 12, 2016 23:20

    Rais wa Somalia ameeleza kuwa nchi hiyo inapitia kipindi kigumu na ametaka kufanyike juhudi za pande zote kwa ajili ya kupambana na vitisho vya ugaidi. Rais wa Somalia ameyasema hayo baada ya mashambulizi ya kigaidi mtawalia kuikumba nchi hiyo hivi karibuni.

  • Wanne wauawa katika mlipuko wa kigaidi Somalia

    Wanne wauawa katika mlipuko wa kigaidi Somalia

    Dec 12, 2016 10:27

    Mlipuko wa kigaidi uliotokea leo katika mji wa bandari wa Kismayo nchini Somalia umeuawa watu wanne.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS