-
Rais wa Somalia atoa radiamali yake kufuatia kushtadi ukosefu wa amani nchini humo
Dec 12, 2016 23:20Rais wa Somalia ameeleza kuwa nchi hiyo inapitia kipindi kigumu na ametaka kufanyike juhudi za pande zote kwa ajili ya kupambana na vitisho vya ugaidi. Rais wa Somalia ameyasema hayo baada ya mashambulizi ya kigaidi mtawalia kuikumba nchi hiyo hivi karibuni.
-
Wanne wauawa katika mlipuko wa kigaidi Somalia
Dec 12, 2016 10:27Mlipuko wa kigaidi uliotokea leo katika mji wa bandari wa Kismayo nchini Somalia umeuawa watu wanne.
-
Kenya yakanusha madai ya kutekwa mji wake mpakani na Somalia
Dec 12, 2016 03:38Vyombo vya usalama nchini Kenya vimekadhibisha habari zilizoenea katika mitandao ya kijamii kuwa mji wa Elwak ulioko katika mpaka wa nchi hiyo na Somalia umetekwa na wanamgambo wa kigaidi wa al-Shabaab.
-
Idadi ya walioaga dunia katika mlipuko Mogasdishu yafikia watu 35
Dec 11, 2016 11:07Shambulio la bomu lililotekelezwa katika lango la kuingilia katika bandari kubwa zaidi ya Somalia huko Mogadishu, limeua watu 35 hadi sasa. Hayo ni kwa mujibu wa polisi ya Somalia.
-
Kikao cha viongozi wa IGAD cha kujadili amani ya eneo
Dec 11, 2016 03:38Viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ustawi wa Mashariki mwa Afrika IGAD wamekutana katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa kwa kikao cha 29 cha dharura ambacho kimefanyika kwa uenyekiti wa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Hailemariam Desalegn kujadili amani na uthabiti wa eneo hasa katika nchi za Sudan Kusini na Somalia.
-
Uchaguzi wa Rais Somalia kufanyika Disemba 28
Dec 09, 2016 10:35Viongozi wa kisiasa nchini Somalia wametangaza tarehe mpya ya kufanyika uchaguzi wa rais nchini humo baada ya kuuakhirisha mara tatu sasa.
-
Kundi la ash Shabab lashambulia kusini mwa Somalia
Dec 08, 2016 00:38Watu wanne wameuawa baada ya kundi la kigaidi la ash Shabab kushambulia eneo moja la kusini mwa Somalia.
-
Kenya kutekeleza mpango wa upokonyaji silaha katika mipaka yake na Somalia na Ethiopia
Dec 05, 2016 03:28Serikali ya Kenya imetangaza kuwa, inakusudia kutekeleza mpango wa upokonyaji silaha katika maeneo ya nchi hiyo yanayopakana na nchi za Somalia na Ethiopia.
-
Vikosi vya Somalia vyaua magaidi 7 wa ISIS
Dec 03, 2016 23:59Wanajeshi wa Somalia wamefanikiwa kuwaua magaidi saba wanaofungamana na kundi la kigaidi la ISIS au Daesh katika mapigano yaliyojiri kaskazini mwa nchi hiyo siku ya Jumamosi.
-
UN yatoa wito wa kusaidiwa nchi ya Somalia
Dec 03, 2016 01:14Umoja wa Mataifa umetoa wito kwa jumuiya za kitaifa kutoa misaada ya kibinadamu kwa Somalia.