Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Al Shabab yamuua Mwendesha Mashtaka wa Jeshi, Puntland

    Al Shabab yamuua Mwendesha Mashtaka wa Jeshi, Puntland

    Dec 26, 2016 01:03

    Kundi la kigaidi la al Shabab limempiga risasi na kumuua Mwendesha Mashtaka wa Jeshi katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia.

  • Sisitizo la Umoja wa Afrika la kupambana na kundi la kigaidi la al-Shabab

    Sisitizo la Umoja wa Afrika la kupambana na kundi la kigaidi la al-Shabab

    Dec 21, 2016 23:32

    Kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM kwa mara nyingine tena kimesisitiza juu ya azma yake ya kukabiliana na tishio la kundi la kigaidi la al-Shabab.

  • AMISOM kuchunguza tuhuma za askari wake kuua raia Somalia

    AMISOM kuchunguza tuhuma za askari wake kuua raia Somalia

    Dec 20, 2016 11:26

    Kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) kimesema kimeanza uchunguzi kuhusu vifo vya raia sita vilivyotokea katika matukio tofauti huko Qoryooley mashariki mwa Somalia, mwishoni mwa wiki iliyopita.

  • Milipuko ya kigaidi yaendelea kuitikisa Somalia, wanajeshi watano wauliwa

    Milipuko ya kigaidi yaendelea kuitikisa Somalia, wanajeshi watano wauliwa

    Dec 15, 2016 10:53

    Wanajeshi watano wa Somalia wameuawa katika mlipuko wa bomu la kutegwa garini uliotekelezwa leo karibu na ikulu ya Rais wa Somalia na kujeruhi pia makumi ya watu.

  • Rais wa Somalia atoa radiamali yake kufuatia kushtadi ukosefu wa amani nchini humo

    Rais wa Somalia atoa radiamali yake kufuatia kushtadi ukosefu wa amani nchini humo

    Dec 12, 2016 23:20

    Rais wa Somalia ameeleza kuwa nchi hiyo inapitia kipindi kigumu na ametaka kufanyike juhudi za pande zote kwa ajili ya kupambana na vitisho vya ugaidi. Rais wa Somalia ameyasema hayo baada ya mashambulizi ya kigaidi mtawalia kuikumba nchi hiyo hivi karibuni.

  • Wanne wauawa katika mlipuko wa kigaidi Somalia

    Wanne wauawa katika mlipuko wa kigaidi Somalia

    Dec 12, 2016 10:27

    Mlipuko wa kigaidi uliotokea leo katika mji wa bandari wa Kismayo nchini Somalia umeuawa watu wanne.

  • Kenya yakanusha madai ya kutekwa mji wake mpakani na Somalia

    Kenya yakanusha madai ya kutekwa mji wake mpakani na Somalia

    Dec 12, 2016 03:38

    Vyombo vya usalama nchini Kenya vimekadhibisha habari zilizoenea katika mitandao ya kijamii kuwa mji wa Elwak ulioko katika mpaka wa nchi hiyo na Somalia umetekwa na wanamgambo wa kigaidi wa al-Shabaab.

  • Idadi ya walioaga dunia katika mlipuko Mogasdishu yafikia watu 35

    Idadi ya walioaga dunia katika mlipuko Mogasdishu yafikia watu 35

    Dec 11, 2016 11:07

    Shambulio la bomu lililotekelezwa katika lango la kuingilia katika bandari kubwa zaidi ya Somalia huko Mogadishu, limeua watu 35 hadi sasa. Hayo ni kwa mujibu wa polisi ya Somalia.

  • Kikao cha viongozi wa IGAD cha kujadili amani ya eneo

    Kikao cha viongozi wa IGAD cha kujadili amani ya eneo

    Dec 11, 2016 03:38

    Viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ustawi wa Mashariki mwa Afrika IGAD wamekutana katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa kwa kikao cha 29 cha dharura ambacho kimefanyika kwa uenyekiti wa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Hailemariam Desalegn kujadili amani na uthabiti wa eneo hasa katika nchi za Sudan Kusini na Somalia.

  • Uchaguzi wa Rais Somalia kufanyika Disemba 28

    Uchaguzi wa Rais Somalia kufanyika Disemba 28

    Dec 09, 2016 10:35

    Viongozi wa kisiasa nchini Somalia wametangaza tarehe mpya ya kufanyika uchaguzi wa rais nchini humo baada ya kuuakhirisha mara tatu sasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS