Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Kundi la ash Shabab lashambulia kusini mwa Somalia

    Kundi la ash Shabab lashambulia kusini mwa Somalia

    Dec 08, 2016 00:38

    Watu wanne wameuawa baada ya kundi la kigaidi la ash Shabab kushambulia eneo moja la kusini mwa Somalia.

  • Kenya kutekeleza mpango wa upokonyaji silaha katika mipaka yake na Somalia na Ethiopia

    Kenya kutekeleza mpango wa upokonyaji silaha katika mipaka yake na Somalia na Ethiopia

    Dec 05, 2016 03:28

    Serikali ya Kenya imetangaza kuwa, inakusudia kutekeleza mpango wa upokonyaji silaha katika maeneo ya nchi hiyo yanayopakana na nchi za Somalia na Ethiopia.

  • Vikosi vya Somalia vyaua magaidi 7 wa ISIS

    Vikosi vya Somalia vyaua magaidi 7 wa ISIS

    Dec 03, 2016 23:59

    Wanajeshi wa Somalia wamefanikiwa kuwaua magaidi saba wanaofungamana na kundi la kigaidi la ISIS au Daesh katika mapigano yaliyojiri kaskazini mwa nchi hiyo siku ya Jumamosi.

  • UN yatoa wito wa kusaidiwa nchi ya Somalia

    UN yatoa wito wa kusaidiwa nchi ya Somalia

    Dec 03, 2016 01:14

    Umoja wa Mataifa umetoa wito kwa jumuiya za kitaifa kutoa misaada ya kibinadamu kwa Somalia.

  • Wanamgambo Somalia wawachinja wazee wa vijiji wa Kisuni

    Wanamgambo Somalia wawachinja wazee wa vijiji wa Kisuni

    Nov 30, 2016 12:56

    Wazee wanane wa vijiji vya eneo la Galmudug nchini Somalia wameuawa kwa kukatwa vichwa na kundi moja la wanamgambo eti kwa kukataa kulipa kodi.

  • Kwa mara nyingine uchaguzi wa rais Somalia waahirishwa, tarehe haijulikani

    Kwa mara nyingine uchaguzi wa rais Somalia waahirishwa, tarehe haijulikani

    Nov 29, 2016 10:05

    Uchaguzi wa rais nchini Somalia uliokuwa umepangwa kufanyika tarehe 30 ya mwezi huu, umeahirishwa kwa mara ya tatu.

  • Jumuiya za misaada ya kibinadamu: Somalia inakabiliwa na njaa

    Jumuiya za misaada ya kibinadamu: Somalia inakabiliwa na njaa

    Nov 28, 2016 23:31

    Mamilioni ya raia wa Somalia wanakabiliwa na hatari ya ukosefu wa chakula na baa la njaa.

  • Somalia kabla ya uchaguzi mkuu wa Novemba 30

    Somalia kabla ya uchaguzi mkuu wa Novemba 30

    Nov 28, 2016 10:31

    Uchaguzi mkuu wa Somalia umepangwa kufanyika tarehe 30 mwezi huu wa Novemba baada ya kuahirishwa mara kadhaa. Wagombea 18 wanatazamiwa kuchuana kwa ajili ya kiti cha rais mpya wa Somalia.

  • Watu 30 wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu, Somalia

    Watu 30 wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu, Somalia

    Nov 26, 2016 12:23

    Watu wasiopungua 30 wamepoteza maisha katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu kufuatia hujuma mbaya zaidi dhidi ya raia kuwahi kushuhudiwa mjini humo katika miaka ya hivi karibuni.

  • Afisa wa polisi Somalia auawa katika mripuko wa bomu

    Afisa wa polisi Somalia auawa katika mripuko wa bomu

    Nov 25, 2016 01:20

    Afisa mmoja wa ngazi ya juu nchini Somalia ameuawa katika hujuma iliyofanywa na magaidi wanaosaidikiwa kuwa ni wanachama wa ash-Shabab.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS