-
Kundi la ash Shabab lashambulia kusini mwa Somalia
Dec 08, 2016 00:38Watu wanne wameuawa baada ya kundi la kigaidi la ash Shabab kushambulia eneo moja la kusini mwa Somalia.
-
Kenya kutekeleza mpango wa upokonyaji silaha katika mipaka yake na Somalia na Ethiopia
Dec 05, 2016 03:28Serikali ya Kenya imetangaza kuwa, inakusudia kutekeleza mpango wa upokonyaji silaha katika maeneo ya nchi hiyo yanayopakana na nchi za Somalia na Ethiopia.
-
Vikosi vya Somalia vyaua magaidi 7 wa ISIS
Dec 03, 2016 23:59Wanajeshi wa Somalia wamefanikiwa kuwaua magaidi saba wanaofungamana na kundi la kigaidi la ISIS au Daesh katika mapigano yaliyojiri kaskazini mwa nchi hiyo siku ya Jumamosi.
-
UN yatoa wito wa kusaidiwa nchi ya Somalia
Dec 03, 2016 01:14Umoja wa Mataifa umetoa wito kwa jumuiya za kitaifa kutoa misaada ya kibinadamu kwa Somalia.
-
Wanamgambo Somalia wawachinja wazee wa vijiji wa Kisuni
Nov 30, 2016 12:56Wazee wanane wa vijiji vya eneo la Galmudug nchini Somalia wameuawa kwa kukatwa vichwa na kundi moja la wanamgambo eti kwa kukataa kulipa kodi.
-
Kwa mara nyingine uchaguzi wa rais Somalia waahirishwa, tarehe haijulikani
Nov 29, 2016 10:05Uchaguzi wa rais nchini Somalia uliokuwa umepangwa kufanyika tarehe 30 ya mwezi huu, umeahirishwa kwa mara ya tatu.
-
Jumuiya za misaada ya kibinadamu: Somalia inakabiliwa na njaa
Nov 28, 2016 23:31Mamilioni ya raia wa Somalia wanakabiliwa na hatari ya ukosefu wa chakula na baa la njaa.
-
Somalia kabla ya uchaguzi mkuu wa Novemba 30
Nov 28, 2016 10:31Uchaguzi mkuu wa Somalia umepangwa kufanyika tarehe 30 mwezi huu wa Novemba baada ya kuahirishwa mara kadhaa. Wagombea 18 wanatazamiwa kuchuana kwa ajili ya kiti cha rais mpya wa Somalia.
-
Watu 30 wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu, Somalia
Nov 26, 2016 12:23Watu wasiopungua 30 wamepoteza maisha katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu kufuatia hujuma mbaya zaidi dhidi ya raia kuwahi kushuhudiwa mjini humo katika miaka ya hivi karibuni.
-
Afisa wa polisi Somalia auawa katika mripuko wa bomu
Nov 25, 2016 01:20Afisa mmoja wa ngazi ya juu nchini Somalia ameuawa katika hujuma iliyofanywa na magaidi wanaosaidikiwa kuwa ni wanachama wa ash-Shabab.