Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Al Shabab 11 wauliwa kusini mwa Somalia

    Al Shabab 11 wauliwa kusini mwa Somalia

    Nov 24, 2016 04:31

    Wanamgambo 11 wa kundi la al Shabab lenye makao yake nchini Somalia wameuawa na vikosi vya jeshi la serikali kusini mwa nchi hiyo.

  • Jeshi la Somalia lakomboa eneo la Jauf Judud

    Jeshi la Somalia lakomboa eneo la Jauf Judud

    Nov 20, 2016 02:13

    Jeshi la serikali ya Somalia limefanikiwa kukomboa mji wa Jouf Judud katika mkoa wa Juba ya Kati huko kusini mwa nchi hiyo.

  • Waziri Mkuu wa Somalia atoa hakikisho la kusitishwa mapigano Galkayo

    Waziri Mkuu wa Somalia atoa hakikisho la kusitishwa mapigano Galkayo

    Nov 19, 2016 12:13

    Waziri Mkuu wa Somalia Omar Sharmarke amesema, amepata hakikisho la kutekelezwa na kuheshimiwa usitishaji vita baina pande hasimu za maeneo ya Galmudug na Puntland.

  • Oparesheni ya jeshi la Somalia na kikosi cha AU dhidi ya al Shabab

    Oparesheni ya jeshi la Somalia na kikosi cha AU dhidi ya al Shabab

    Nov 19, 2016 08:29

    Wanamgambo kadhaa wa kundi la al Shabab lenye makao yake huko Somalia wameuawa kusini mwa nchi hiyo kufuatia oparesheni iliyofanywa na wanajeshi wa Somalia na askari wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika katika eneo moja kaskazini mashariki mwa bandari ya Kismayo, kusini mwa nchi hiyo.

  • Kenya yaakhirisha tarehe ya kufunga kambi ya Dadaab

    Kenya yaakhirisha tarehe ya kufunga kambi ya Dadaab

    Nov 16, 2016 10:16

    Kenya imerefusha muda wa kuwarejesha makwao wakimbizi wa Somalia walioko katika kambi ya Dadaab iliyoko kaskazini mashariki mwa nchi, ambayo ilitazamiwa kufungwa kikamilifu kufikia mwishoni mwa mwezi huu.

  • Jeshi la Somalia lakomboa eneo jengine kutoka kwa ash Shabab

    Jeshi la Somalia lakomboa eneo jengine kutoka kwa ash Shabab

    Nov 16, 2016 04:22

    Jeshi la Somalia limefanikiwa kukomboa eneo jengine katikati mwa nchi hiyo kutoka mikononi mwa kundi la wakufurishaji la ash Shabab.

  • Rais wa Somalia: Maeneo mengi ya nchi yanakabiliwa na ukame

    Rais wa Somalia: Maeneo mengi ya nchi yanakabiliwa na ukame

    Nov 14, 2016 00:37

    Rais Hassan Sheikh Mohamoud wa Somalia ameitaka jamii ya kimataifa kutuma misaada ya dharura katika maeneo yanayokabiliwa na ukame na baa la njaa nchini humo.

  • UN: Raia hawana makaazi na mapigano yanaendelea Galkayo, Somalia

    UN: Raia hawana makaazi na mapigano yanaendelea Galkayo, Somalia

    Nov 13, 2016 13:07

    Karibu watu 90,000 katika mji wa Galkayo nchini Somalia wameendelea kubaki bila makaazi kutokana na kuzidi hali ya wasiwasi na mapigano ya mara kwa mara baina ya vikosi vya maeneo yanayojiendeshea masuala yao ya ndani ya Galmudug na Puntland.

  •  AU na EU zatofautiana kuhusiana na ulipaji mishahara ya askari wa AMISOM

    AU na EU zatofautiana kuhusiana na ulipaji mishahara ya askari wa AMISOM

    Nov 13, 2016 04:51

    Umoja wa Afrika umekosoa vikali uamuzi wa Umoja wa Ulaya wa kuwalipa mishahara askari wa Burundi wanaohudumu katika kikosi cha kusimamia amani cha AU nchini Somalia AMISOM.

  • Baraza la Usalama kushirikiana na serikali ya Somalia dhidi ya uharamia

    Baraza la Usalama kushirikiana na serikali ya Somalia dhidi ya uharamia

    Nov 10, 2016 10:16

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limesisitiza kuendeleza ushirikiano na serikali ya Somalia katika kupambana na uharamia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS