Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Kenya yaakhirisha tarehe ya kufunga kambi ya Dadaab

    Kenya yaakhirisha tarehe ya kufunga kambi ya Dadaab

    Nov 16, 2016 10:16

    Kenya imerefusha muda wa kuwarejesha makwao wakimbizi wa Somalia walioko katika kambi ya Dadaab iliyoko kaskazini mashariki mwa nchi, ambayo ilitazamiwa kufungwa kikamilifu kufikia mwishoni mwa mwezi huu.

  • Jeshi la Somalia lakomboa eneo jengine kutoka kwa ash Shabab

    Jeshi la Somalia lakomboa eneo jengine kutoka kwa ash Shabab

    Nov 16, 2016 04:22

    Jeshi la Somalia limefanikiwa kukomboa eneo jengine katikati mwa nchi hiyo kutoka mikononi mwa kundi la wakufurishaji la ash Shabab.

  • Rais wa Somalia: Maeneo mengi ya nchi yanakabiliwa na ukame

    Rais wa Somalia: Maeneo mengi ya nchi yanakabiliwa na ukame

    Nov 14, 2016 00:37

    Rais Hassan Sheikh Mohamoud wa Somalia ameitaka jamii ya kimataifa kutuma misaada ya dharura katika maeneo yanayokabiliwa na ukame na baa la njaa nchini humo.

  • UN: Raia hawana makaazi na mapigano yanaendelea Galkayo, Somalia

    UN: Raia hawana makaazi na mapigano yanaendelea Galkayo, Somalia

    Nov 13, 2016 13:07

    Karibu watu 90,000 katika mji wa Galkayo nchini Somalia wameendelea kubaki bila makaazi kutokana na kuzidi hali ya wasiwasi na mapigano ya mara kwa mara baina ya vikosi vya maeneo yanayojiendeshea masuala yao ya ndani ya Galmudug na Puntland.

  •  AU na EU zatofautiana kuhusiana na ulipaji mishahara ya askari wa AMISOM

    AU na EU zatofautiana kuhusiana na ulipaji mishahara ya askari wa AMISOM

    Nov 13, 2016 04:51

    Umoja wa Afrika umekosoa vikali uamuzi wa Umoja wa Ulaya wa kuwalipa mishahara askari wa Burundi wanaohudumu katika kikosi cha kusimamia amani cha AU nchini Somalia AMISOM.

  • Baraza la Usalama kushirikiana na serikali ya Somalia dhidi ya uharamia

    Baraza la Usalama kushirikiana na serikali ya Somalia dhidi ya uharamia

    Nov 10, 2016 10:16

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limesisitiza kuendeleza ushirikiano na serikali ya Somalia katika kupambana na uharamia.

  • Makumi wauawa katika mapigano mjini Galkayo, Somalia

    Makumi wauawa katika mapigano mjini Galkayo, Somalia

    Nov 08, 2016 03:52

    Watu karibu 30 wameuawa na wengine zaidi ya 50 kujeruhiwa katika mapigano mapya yaliyozuka kati ya vikosi vya majimbo mawili hasimu yenye mamlaka ya ndani nchini Somalia.

  • Al Shabab wadai kuripua bomu karibu na bunge la Somalia

    Al Shabab wadai kuripua bomu karibu na bunge la Somalia

    Nov 06, 2016 12:02

    Kundi la kigaidi la al Shabab limedai kuhusika na hujuma ya bomu la kutegwa garini karibu na bunge la Somalia mjini Mogadishu ambapo wanajeshi wawili wa Kisomali waliuawa na wengine watano kujeruhiwa.

  • UN: Al Shabab ingali tishio kubwa kwa Somalia, Afrika Mashariki

    UN: Al Shabab ingali tishio kubwa kwa Somalia, Afrika Mashariki

    Nov 05, 2016 01:04

    Magaidi wakufurishaji wa kundi la Al Shabab wametajwa kuwa tishio kubwa sana kwa nchi ya Somalia na eneo zima la mashariki mwa Afrika.

  • Somalia na UN zakaribisha usitishaji mapigano baina ya Puntland na GalMudug

    Somalia na UN zakaribisha usitishaji mapigano baina ya Puntland na GalMudug

    Nov 05, 2016 00:05

    Rais wa Somalia na mjumbe wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya nchi hiyo wamekaribisha makubaliano ya usitishaji mapigano yaliyofikiwa baina ya majimbo mawili ya nchi hiyo ya Puntland na GalMudug juu ya eneo la Galkayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS