-
Al Shabab 11 wauliwa kusini mwa Somalia
Nov 24, 2016 04:31Wanamgambo 11 wa kundi la al Shabab lenye makao yake nchini Somalia wameuawa na vikosi vya jeshi la serikali kusini mwa nchi hiyo.
-
Jeshi la Somalia lakomboa eneo la Jauf Judud
Nov 20, 2016 02:13Jeshi la serikali ya Somalia limefanikiwa kukomboa mji wa Jouf Judud katika mkoa wa Juba ya Kati huko kusini mwa nchi hiyo.
-
Waziri Mkuu wa Somalia atoa hakikisho la kusitishwa mapigano Galkayo
Nov 19, 2016 12:13Waziri Mkuu wa Somalia Omar Sharmarke amesema, amepata hakikisho la kutekelezwa na kuheshimiwa usitishaji vita baina pande hasimu za maeneo ya Galmudug na Puntland.
-
Oparesheni ya jeshi la Somalia na kikosi cha AU dhidi ya al Shabab
Nov 19, 2016 08:29Wanamgambo kadhaa wa kundi la al Shabab lenye makao yake huko Somalia wameuawa kusini mwa nchi hiyo kufuatia oparesheni iliyofanywa na wanajeshi wa Somalia na askari wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika katika eneo moja kaskazini mashariki mwa bandari ya Kismayo, kusini mwa nchi hiyo.
-
Kenya yaakhirisha tarehe ya kufunga kambi ya Dadaab
Nov 16, 2016 10:16Kenya imerefusha muda wa kuwarejesha makwao wakimbizi wa Somalia walioko katika kambi ya Dadaab iliyoko kaskazini mashariki mwa nchi, ambayo ilitazamiwa kufungwa kikamilifu kufikia mwishoni mwa mwezi huu.
-
Jeshi la Somalia lakomboa eneo jengine kutoka kwa ash Shabab
Nov 16, 2016 04:22Jeshi la Somalia limefanikiwa kukomboa eneo jengine katikati mwa nchi hiyo kutoka mikononi mwa kundi la wakufurishaji la ash Shabab.
-
Rais wa Somalia: Maeneo mengi ya nchi yanakabiliwa na ukame
Nov 14, 2016 00:37Rais Hassan Sheikh Mohamoud wa Somalia ameitaka jamii ya kimataifa kutuma misaada ya dharura katika maeneo yanayokabiliwa na ukame na baa la njaa nchini humo.
-
UN: Raia hawana makaazi na mapigano yanaendelea Galkayo, Somalia
Nov 13, 2016 13:07Karibu watu 90,000 katika mji wa Galkayo nchini Somalia wameendelea kubaki bila makaazi kutokana na kuzidi hali ya wasiwasi na mapigano ya mara kwa mara baina ya vikosi vya maeneo yanayojiendeshea masuala yao ya ndani ya Galmudug na Puntland.
-
AU na EU zatofautiana kuhusiana na ulipaji mishahara ya askari wa AMISOM
Nov 13, 2016 04:51Umoja wa Afrika umekosoa vikali uamuzi wa Umoja wa Ulaya wa kuwalipa mishahara askari wa Burundi wanaohudumu katika kikosi cha kusimamia amani cha AU nchini Somalia AMISOM.
-
Baraza la Usalama kushirikiana na serikali ya Somalia dhidi ya uharamia
Nov 10, 2016 10:16Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limesisitiza kuendeleza ushirikiano na serikali ya Somalia katika kupambana na uharamia.