-
Jumuiya za misaada ya kibinadamu: Somalia inakabiliwa na njaa
Nov 28, 2016 23:31Mamilioni ya raia wa Somalia wanakabiliwa na hatari ya ukosefu wa chakula na baa la njaa.
-
Somalia kabla ya uchaguzi mkuu wa Novemba 30
Nov 28, 2016 10:31Uchaguzi mkuu wa Somalia umepangwa kufanyika tarehe 30 mwezi huu wa Novemba baada ya kuahirishwa mara kadhaa. Wagombea 18 wanatazamiwa kuchuana kwa ajili ya kiti cha rais mpya wa Somalia.
-
Watu 30 wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu, Somalia
Nov 26, 2016 12:23Watu wasiopungua 30 wamepoteza maisha katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu kufuatia hujuma mbaya zaidi dhidi ya raia kuwahi kushuhudiwa mjini humo katika miaka ya hivi karibuni.
-
Afisa wa polisi Somalia auawa katika mripuko wa bomu
Nov 25, 2016 01:20Afisa mmoja wa ngazi ya juu nchini Somalia ameuawa katika hujuma iliyofanywa na magaidi wanaosaidikiwa kuwa ni wanachama wa ash-Shabab.
-
Al Shabab 11 wauliwa kusini mwa Somalia
Nov 24, 2016 04:31Wanamgambo 11 wa kundi la al Shabab lenye makao yake nchini Somalia wameuawa na vikosi vya jeshi la serikali kusini mwa nchi hiyo.
-
Jeshi la Somalia lakomboa eneo la Jauf Judud
Nov 20, 2016 02:13Jeshi la serikali ya Somalia limefanikiwa kukomboa mji wa Jouf Judud katika mkoa wa Juba ya Kati huko kusini mwa nchi hiyo.
-
Waziri Mkuu wa Somalia atoa hakikisho la kusitishwa mapigano Galkayo
Nov 19, 2016 12:13Waziri Mkuu wa Somalia Omar Sharmarke amesema, amepata hakikisho la kutekelezwa na kuheshimiwa usitishaji vita baina pande hasimu za maeneo ya Galmudug na Puntland.
-
Oparesheni ya jeshi la Somalia na kikosi cha AU dhidi ya al Shabab
Nov 19, 2016 08:29Wanamgambo kadhaa wa kundi la al Shabab lenye makao yake huko Somalia wameuawa kusini mwa nchi hiyo kufuatia oparesheni iliyofanywa na wanajeshi wa Somalia na askari wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika katika eneo moja kaskazini mashariki mwa bandari ya Kismayo, kusini mwa nchi hiyo.
-
Kenya yaakhirisha tarehe ya kufunga kambi ya Dadaab
Nov 16, 2016 10:16Kenya imerefusha muda wa kuwarejesha makwao wakimbizi wa Somalia walioko katika kambi ya Dadaab iliyoko kaskazini mashariki mwa nchi, ambayo ilitazamiwa kufungwa kikamilifu kufikia mwishoni mwa mwezi huu.
-
Jeshi la Somalia lakomboa eneo jengine kutoka kwa ash Shabab
Nov 16, 2016 04:22Jeshi la Somalia limefanikiwa kukomboa eneo jengine katikati mwa nchi hiyo kutoka mikononi mwa kundi la wakufurishaji la ash Shabab.