-
Makumi wauawa katika mapigano mjini Galkayo, Somalia
Nov 08, 2016 03:52Watu karibu 30 wameuawa na wengine zaidi ya 50 kujeruhiwa katika mapigano mapya yaliyozuka kati ya vikosi vya majimbo mawili hasimu yenye mamlaka ya ndani nchini Somalia.
-
Al Shabab wadai kuripua bomu karibu na bunge la Somalia
Nov 06, 2016 12:02Kundi la kigaidi la al Shabab limedai kuhusika na hujuma ya bomu la kutegwa garini karibu na bunge la Somalia mjini Mogadishu ambapo wanajeshi wawili wa Kisomali waliuawa na wengine watano kujeruhiwa.
-
UN: Al Shabab ingali tishio kubwa kwa Somalia, Afrika Mashariki
Nov 05, 2016 01:04Magaidi wakufurishaji wa kundi la Al Shabab wametajwa kuwa tishio kubwa sana kwa nchi ya Somalia na eneo zima la mashariki mwa Afrika.
-
Somalia na UN zakaribisha usitishaji mapigano baina ya Puntland na GalMudug
Nov 05, 2016 00:05Rais wa Somalia na mjumbe wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya nchi hiyo wamekaribisha makubaliano ya usitishaji mapigano yaliyofikiwa baina ya majimbo mawili ya nchi hiyo ya Puntland na GalMudug juu ya eneo la Galkayo.
-
Jeshi la Kenya laua magaidi 140 wa Al Shabab nchini Somalia
Oct 31, 2016 23:13Jeshi la Ulinzi la Kenya, KDF, limetangaza kuwaua magaidi 140 wa kundi la kitakfiri la Al Shabab katika jimbo la Lower Jubba, mjini Afamadow nchini Somalia.
-
Wanachama 10 wa genge la kigaidi la ash-Shabab waangamizwa Somalia
Oct 29, 2016 03:44Wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la ash-Shabab nchini Somalia, wameangamizwa na jeshi la serikali kwa kushirikiana na askari wa kusimamia amani wa Umoja wa Afrika AMISOM, kusini mwa nchi hiyo.
-
Maadui wa ash Shabab wateka mji Somalia
Oct 26, 2016 13:01Maafisa wa serikali wa Somalia wamethibitisha habari iliyosema kuwa, kundi moja la wapinzani wa ash Shabab ambalo linaliunga mkono kundi la kigaidi la Daesh, limeteka mji mmoja wa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
UN: Maelfu ya Wasomalia wakimbia mapigano, mvua zinatishia maisha yao
Oct 25, 2016 02:27Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, zaidi ya watu elfu 75 wamekimbia makazi yao na wengine 18 wameuawa katika wiki tatu za mapigano yanayoendelea nchini Somalia.
-
Mripuko wa Bomu wautikisa mji wa Mogadishu
Oct 24, 2016 04:19Mtu moja ameuawa na wengine wawili wamejeruhiwa katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu wakati bomu lilipolipuka jana Jumapili, karibu na kambi ya wakimbizi.
-
AU yafanya uchunguzi kuhusu vitendo vya wanajeshi wake Somalia
Oct 22, 2016 03:44Umoja wa Afrika AU umesema, umeanzisha uchunguzi wa kubaini ni katika mazingira gani, askari wa kikosi cha AMISOM nchini Somalia walifanya mauaji dhidi ya raia.