Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Marekani yadai kufanya makosa katika kuwaua askari 22 wa Somalia

    Marekani yadai kufanya makosa katika kuwaua askari 22 wa Somalia

    Sep 29, 2016 03:42

    Askari wa Marekani wametuhumiwa kuhusika na mauaji ya askari 22 wa Somalia katika kile kinachodaiwa kuwa ni makosa yaliyofanyika katika urushaji makombora ya ndege kaskazini mwa nchi hiyo ya Kiafrika.

  • Mjumbe wa UN alaani mauaji ya mwandishi habari Somalia

    Mjumbe wa UN alaani mauaji ya mwandishi habari Somalia

    Sep 29, 2016 01:08

    Mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia Michael Keating amelaani vikali mauaji ya mwandishi wa habari wa Radio Shabelle Abdiaziz Mohamed Ali yaliyotekelezwa Jumanne na watu wasiojulikana mjini Mogadishu Somalia.

  • Wanajeshi 17 wa Somalia wauawa katika mapigano baina ya maeneo yanayojitawala

    Wanajeshi 17 wa Somalia wauawa katika mapigano baina ya maeneo yanayojitawala

    Sep 28, 2016 10:16

    Wanajeshi wasiopungua 17 wameuawa usiku wa kuamkia leo katika mapigano baina ya vikosi vya maeneo mawili yenye mamkala ya ndani kaskazini mwa Somalia.

  • Kenya yatangaza azma ya kuangamiza kundi la kigaidi la Al Shabab

    Kenya yatangaza azma ya kuangamiza kundi la kigaidi la Al Shabab

    Sep 27, 2016 11:38

    Afisa wa ngazi za juu katika polisi ya Kenya amesema vikosi vyote vya usalama nchini humo vina azma imara ya kuangamiza kundi la kigaidi la Al Shabab.

  • Uchaguzi mkuu wa Somalia waakhirishwa tena

    Uchaguzi mkuu wa Somalia waakhirishwa tena

    Sep 26, 2016 23:47

    Serikali ya Somalia imetangaza kuwa uchaguzi mkuu wa nchi hiyo uliokuwa umepangwa kuanza kufanyika mwezi ujao wa Oktoba umeakhirishwa na kusogezwa mbele hadi mwezi Novemba kutokana na matatizo ya kiusalama na kiidara.

  • Uchaguzi wa Bunge nchini Somalia waakhirishwa tena

    Uchaguzi wa Bunge nchini Somalia waakhirishwa tena

    Sep 26, 2016 10:43

    Uchaguzi wa Bunge nchini Somalia uliopangwa kufanyika kuanzia tarehe 24 mwezi huu hadi tarehe 10 ya mwezi ujao wa Oktoba umeakhirishwa.

  • UN: Mgogoro wa chakula Somalia umeongezeka sana na kutishia maisha ya raia

    UN: Mgogoro wa chakula Somalia umeongezeka sana na kutishia maisha ya raia

    Sep 21, 2016 04:09

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha juu ya mgogoro wa chakula na njaa kali iliyofikia asilimia 40 nchini Somalia .

  • AMISOM: Lazima tutawafyeka wanachama wa kundi la kigaidi la ash-Shabab Somalia

    AMISOM: Lazima tutawafyeka wanachama wa kundi la kigaidi la ash-Shabab Somalia

    Sep 18, 2016 23:44

    Msemaji wa askari wa kusimamia amani wa Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM amesisitizia udharura wa kulitokomeza kundi la kigaidi na kitakfiri la ash-Shabab nchini humo.

  • Jenerali wa jeshi Somalia auawa katika shambulizi lililolenga msafara wake

    Jenerali wa jeshi Somalia auawa katika shambulizi lililolenga msafara wake

    Sep 18, 2016 09:50

    Polisi ya Somalia imetangaza kutokea mripuko wa bomu lililotegwa garini katika mji mkuu Mogadishu ukimlenga kamanda wa jeshi la nchi hiyo.

  • Somalia na changamoto ya kurejea nyumbani wakimbizi walioke nje ya nchi

    Somalia na changamoto ya kurejea nyumbani wakimbizi walioke nje ya nchi

    Sep 17, 2016 23:35

    Katika hali ambayo vita vya ndani na mizozo ya kikabila inayoendelea sasa katika nchi kadhaa za Kiafrika vimeibua wimbi kubwa la wakimbizi katika nchi jirani za maeneo mbalimbali ya bara hilo, serikali za nchi za bara hilo sasa zinakabiliwa na matatizo mapya ya jinsi ya kurejea wakimbizi hao katika nchi zao baada ya kumalizika vita na machafuko ya ndani katika baadhi ya nchi hizo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS