-
Ash-Shabab wafanya shambulio karibu na mji mkuu wa Somalia na kuua watu 10
Oct 19, 2016 04:33Kundi la kigaidi na kitakfiri la ash-Shabab nchini Somalia limefanya shambulizi katika mji wa kistratijia ulio karibu na mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.
-
Umoja wa Afrika (AU) watilia mkazo kurejeshwa amani ya kudumu Somalia
Oct 16, 2016 04:21Kikosi cha kudumisha amani cha Umoja wa Afrika huko Somalia (AMISOM) kimesisitiza kuhusu sualal la kurejesha amani ya kudumu katika maeneo yote ya nchi hiyo.
-
UN: Wakimbizi 70,000 wa Dadaab wanataka kurudu Somalia
Oct 04, 2016 04:32Umoja wa Mataifa umesema robo ya wakimbizi wa Kisomali wanaoishi katika kambi ya Dadaab nchini Kenya wametangaza utayarifu wao wa kurejea nchini kwao Somalia karibuni hivi.
-
UNHCR imewarejesha wakimbizi zaidi ya 30,000 wa Somalia kutoka Kenya
Sep 30, 2016 04:26Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR limesema kuanzia mwezi Desemba mwaka 2014 wakimbizi zaidi ya elfu 30 wa Somalia wamerejeshwa kwa hiari katika nchi yao kutoka kambi ya wakimbizi ya Dadaab iliyoko kaskazini mashariki mwa Kenya.
-
Marekani yadai kufanya makosa katika kuwaua askari 22 wa Somalia
Sep 29, 2016 03:42Askari wa Marekani wametuhumiwa kuhusika na mauaji ya askari 22 wa Somalia katika kile kinachodaiwa kuwa ni makosa yaliyofanyika katika urushaji makombora ya ndege kaskazini mwa nchi hiyo ya Kiafrika.
-
Mjumbe wa UN alaani mauaji ya mwandishi habari Somalia
Sep 29, 2016 01:08Mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia Michael Keating amelaani vikali mauaji ya mwandishi wa habari wa Radio Shabelle Abdiaziz Mohamed Ali yaliyotekelezwa Jumanne na watu wasiojulikana mjini Mogadishu Somalia.
-
Wanajeshi 17 wa Somalia wauawa katika mapigano baina ya maeneo yanayojitawala
Sep 28, 2016 10:16Wanajeshi wasiopungua 17 wameuawa usiku wa kuamkia leo katika mapigano baina ya vikosi vya maeneo mawili yenye mamkala ya ndani kaskazini mwa Somalia.
-
Kenya yatangaza azma ya kuangamiza kundi la kigaidi la Al Shabab
Sep 27, 2016 11:38Afisa wa ngazi za juu katika polisi ya Kenya amesema vikosi vyote vya usalama nchini humo vina azma imara ya kuangamiza kundi la kigaidi la Al Shabab.
-
Uchaguzi mkuu wa Somalia waakhirishwa tena
Sep 26, 2016 23:47Serikali ya Somalia imetangaza kuwa uchaguzi mkuu wa nchi hiyo uliokuwa umepangwa kuanza kufanyika mwezi ujao wa Oktoba umeakhirishwa na kusogezwa mbele hadi mwezi Novemba kutokana na matatizo ya kiusalama na kiidara.
-
Uchaguzi wa Bunge nchini Somalia waakhirishwa tena
Sep 26, 2016 10:43Uchaguzi wa Bunge nchini Somalia uliopangwa kufanyika kuanzia tarehe 24 mwezi huu hadi tarehe 10 ya mwezi ujao wa Oktoba umeakhirishwa.