Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Kuendelea mgogoro huko Sudan na kufukuzwa Mjumbe wa UN nchini humo

    Kuendelea mgogoro huko Sudan na kufukuzwa Mjumbe wa UN nchini humo

    Jun 11, 2023 08:58

    Mgogoro wa kisiasa na vita vya kuwania madaraka vinaendelea kutokota nchini Sudan licha ya jitihada zote za kimataifa na kikanda zinazofanyika kwa ajili ya kurejesha amani nchini huko. Katika hatua ya karibuni, Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imemfukuza Volker Perthes aliyekuwa Mjumbe wa Umoja wa Mataifa na kumtaja kuwa mtu asiyetakikana nchini humo.

  • Watoto 300 waliokwama waokolewa kutoka katika kituo cha mayatima huko Sudan

    Watoto 300 waliokwama waokolewa kutoka katika kituo cha mayatima huko Sudan

    Jun 09, 2023 03:16

    Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa Unicef limeeleza kuwa, watoto wasiopungua 300 wa rika mbalimbali wakiwemo wachanga wameokolewa kutoka katika kituo cha kulelea mayatima huko Khartoum mji mkuu wa Sudan baada ya kutelekezwa huko huku mapigano yakiendelea nchini humo.

  • DRC: Jeshi la Sudan limeua raia wetu 10 mjini Khartoum

    DRC: Jeshi la Sudan limeua raia wetu 10 mjini Khartoum

    Jun 06, 2023 03:02

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesema raia kumi wa nchi hiyo wameuawa katika mashambulizi ya Jeshi la Sudan ndani ya Chuo Kikuu kimoja mjini Khartoum, huku mapigano yakishtadi nchini Sudan kati ya jeshi na wapiganaji wa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF).

  • Jeshi la Sudan limesema limesitisha mazungumzo na vikosi pinzani

    Jeshi la Sudan limesema limesitisha mazungumzo na vikosi pinzani

    May 31, 2023 22:40

    Msemaji wa jeshi la Sudan jana alieleza kuwa jeshi hilo limesitisha kushiriki katika mazungumzo na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) ambavyo limekuwa likipigana navyo kwa wiki kadhaa sasa kwa ajili ya kuidhibiti Sudan.

  • Umoja wa Afrika: Tunapinga uingiliaji wa kigeni katika masuala ya Sudan

    Umoja wa Afrika: Tunapinga uingiliaji wa kigeni katika masuala ya Sudan

    May 31, 2023 08:02

    Umoja wa Afrika umesisitiza kuwa, unapinga uingiliaji wa kigeni katika masuala ya Sudan na kwamba, hilo ni jambo lisilokubalika.

  • UN: Mamilioni katika hatari ya kufa njaa Sudan, Haiti, Burkina Faso, Mali

    UN: Mamilioni katika hatari ya kufa njaa Sudan, Haiti, Burkina Faso, Mali

    May 29, 2023 07:01

    Mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa yameonya kuwa, mamilioni ya watu wapo katika hatari ya kufa njaa katika nchi za Sudan, Haiti, Burkina Faso, na Mali.

  • AU yasisitiza ulazima wa kusitishwa mapigano haraka huko Sudan

    AU yasisitiza ulazima wa kusitishwa mapigano haraka huko Sudan

    May 28, 2023 07:40

    Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU) amesiistiza ulazima wa kusimamishwa vita haraka iwezekanavyo kati ya pande zinazopigana nchini Sudan.

  • Watoto 30 wameaga dunia hospitalini kutokana na mgogoro wa Sudan

    Watoto 30 wameaga dunia hospitalini kutokana na mgogoro wa Sudan

    May 26, 2023 06:38

    Makumi ya watoto wachanga wa kuzaliwa wameaga dunia wakiwa hospitalini tangu vita vipya viibuke nchini Sudan mwezi uliopita, huku mapigano hayo yakiendelea kwa wiki ya sita sasa licha ya makubaliano ya usitishaji vita.

  • Arab League yazitaka pande zinazopigana Sudan kuheshimu vipengee vya usitishaji vita

    Arab League yazitaka pande zinazopigana Sudan kuheshimu vipengee vya usitishaji vita

    May 21, 2023 09:31

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu Arab League ametaka kutekelezwa makubaliano ya kusitisha vita huko Sudan na pande hasimu kuheshimu vipengee vya makubaliano hayo baadaya pande hizo kusaini makubaliano ya kusitisha vita.

  • Kuendelea mgogoro huko Sudan kwa kuuzuliwa Hamidti katika Baraza la Uongozi wa Mpito

    Kuendelea mgogoro huko Sudan kwa kuuzuliwa Hamidti katika Baraza la Uongozi wa Mpito

    May 20, 2023 08:01

    Mgogoro wa kisiasa na vita vingali vinaendelea huko Sudan licha ya kufanyika mazungumzo na jitihada za upatanishi nchini humo. Katika hatua ya karibuni, Jenerali Abdel Fattah al Burhan, Mkuu wa Baraza la Utawala wa Mpito la Sudan ametoa amri ya kumuuzulu Mohamed Hamdan Dagalo (Hamidti) katika nafasi ya Naibu Mkuu wa baraza hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS