Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Kujiondoa kwa Baraza la Kijeshi la Sudan katika mchakato wa mazungumzo na makundi ya kisiasa

    Kujiondoa kwa Baraza la Kijeshi la Sudan katika mchakato wa mazungumzo na makundi ya kisiasa

    Jul 05, 2022 21:56

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Sudan ametangaza kujiondoa kwa Baraza la Kijeshi la nchi hii katika mazungumzo ya moja kwa moja na makundi ya kisiasa.

  • Tisa wauawa Sudan katika maandamano ya kupinga utawala wa kijeshi

    Tisa wauawa Sudan katika maandamano ya kupinga utawala wa kijeshi

    Jul 01, 2022 05:56

    Takriban waandamanaji tisa waliuawa kwa kupigwa risasi nchini Sudan siku ya Alhamisi, matabibu wamesema, huku umati mkubwa wa watu ukiingia mitaani licha ya ulinzi mkali na kukatika kwa mawasiliano kuandamana dhidi ya utawala wa kijeshi ulionyakua mamlaka miezi minane iliyopita.

  • AU yataka Sudan, Ethiopia ziache makabiliano ya kijeshi mpakani

    AU yataka Sudan, Ethiopia ziache makabiliano ya kijeshi mpakani

    Jun 30, 2022 03:42

    Kamisheni ya Umoja wa Afrika imetoa mwito kwa nchi za Sudan na Ethiopia kujizuia na kutochukua hatua yoyote inayoweza kushadidisha mivutano ya kijeshi katika eneo la al-Fashaqa, lililoko katika mpaka wa pamoja wa nchi mbili hizo jirani.

  • Khartoum yaituhumu Addis Ababa kuwanyonga wafungwa wa Sudan na kuonyesha miili yao

    Khartoum yaituhumu Addis Ababa kuwanyonga wafungwa wa Sudan na kuonyesha miili yao

    Jun 27, 2022 22:21

    Jeshi la Sudan limelitumu jeshi la Ethiopia kuwa limewanyonga wanajeshi 7 na raia mmoja wa Sudan waliokuwa wafungwa nchini humo, jambo ambalo limekanushwa na maafisa rasmi wa Ethiopia, wakieleza kuwa Addis Ababa itatoa tamko rasmi la kujibu madai hayo ya Sudan.

  • Mvutano baina ya Ethiopia na Sudan: Jeshi la Ethiopia latuhumiwa kuwaua Wasudan wanane

    Mvutano baina ya Ethiopia na Sudan: Jeshi la Ethiopia latuhumiwa kuwaua Wasudan wanane

    Jun 27, 2022 03:26

    Sudan imesema, jeshi la Ethiopia limeua raia wanane wa nchi hiyo.

  • UN: Thuluthi moja ya Wasudan wanakabiliwa na njaa

    UN: Thuluthi moja ya Wasudan wanakabiliwa na njaa

    Jun 17, 2022 06:52

    Mashirika ya Umoja wa Mataifa yamesema zaidi ya asilimia 30 ya wananchi wa Sudan wanasumbuliwa na mgogoro mkubwa wa chakula uliosababishwa na mabadiliko ya tabianchi, mzozo wa kisiasa na kupanda bei za chakula katika soko la dunia.

  • UN: Mauaji mapya ya kikabila nchini Sudan yameua watu 145

    UN: Mauaji mapya ya kikabila nchini Sudan yameua watu 145

    Jun 15, 2022 07:19

    Umoja wa Mataifa umesema idadi ya watu waliouawa katika wimbi jipya la mapigano ya kikabila huko Sudan imeongezeka na kufikia 145.

  • Idadi ya watu waliouawa katika mapigano ya kikabila Sudan yafikia 100

    Idadi ya watu waliouawa katika mapigano ya kikabila Sudan yafikia 100

    Jun 13, 2022 03:28

    Imeelezwa kuwa, idadi ya watu waliouawa katika mapigano ya kikabila ya hivi karibuni huko Darfur magharibi Sudan imeongezeka na kufikia wahanga 100.

  • Watu wasiopungua 27 wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan

    Watu wasiopungua 27 wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan

    Jun 07, 2022 23:09

    Watu wasiopungua 27 wameuawa na makumi ya wengine wamejeruhiwa katika mapigano yaliyotokea kwenye maeneo ya magharibi na kusini ya Sudan.

  • Mtaalamu wa UN ataka kuharakishwa uchunguzi wa mauaji ya baada ya mapinduzi ya kijeshi Sudan

    Mtaalamu wa UN ataka kuharakishwa uchunguzi wa mauaji ya baada ya mapinduzi ya kijeshi Sudan

    Jun 05, 2022 03:36

    Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa wa haki za binadamu nchini Sudan ametaka kuharakishwa uchunguzi kuhusu mauaji ya waandamanaji pamoja na jinai zingine zilizofanywa katika nchi hiyo, huku idadi ya vifo vilivyotokea tangu yalipofanyika mapinduzi ya kijeshi mwaka uliopita ikikaribia watu 100.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS