-
Ombi la Misri na Sudan kwa Baraza la Usalama; mgogoro wa Bwawa la An Nahda
Jun 28, 2021 05:56Huku awamu ya pili ya kujazwa maji katika Bwawa la An Nahda (Grand Renaissance Dam-GERD-) la Ethiopia katika Mto Nile ikikaribia, Misri na Sudan, nchi mbili ambazo zinapinga ujenzi wa bwawa hilo, zimetaka ujazwaji maji huo usitishwe kwa muda. Nchi hizo mbili zimetaka Ethiopia izipatie dhamana kuwa haki zao zitalindwa, jambo ambalo limeibua taharuki mpya baina ya nchi hizo tatu.
-
Sudan yakubali kwa masharti makubaliano ya muda ya Bwawa la Renaissance
Jun 28, 2021 04:57Waziri wa Mambo ya nje wa Sudan Mariam Al-Sadiq Al-Mahdi amesema kuwa nchi yake imepokea pendekezo kutoka kwa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo la makubaliano ya muda ya kujazwa maji Bwawa la Renaissance yanayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa na Marekani.
-
NYT: Maiti za vijana waliouawa katika mapinduzi ya Sudan zinakwamisha mchakato wa amani
Jun 27, 2021 22:03Gazeti la New York Times limeandika kuwa taifa la Sudan lilifanikiwa kumuondoa madarakani dikteta wa zamani wa nchi hiyo, Omar al Bashir, lakini baadhi ya Wasudani wana shaka kwamba, nchi hiyo haitapata amani kamili hadi pale uhakika juu ya nani aliua mamia ya wanamapinduzi utakapowekwa wazi.
-
Ethiopia yapinga hatua ya Sudan ya kutaka UN ijadili kadhia ya Bwawa la Renaissance
Jun 25, 2021 22:10Msemaji wa Wizara ya Mambo ya nje ya Ethiopia, Dina Mufti amepinga wito uliotolewa na Sudan wa kufanya kikao cha dharura cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kujadili mgogoro wa Bwawa la Renaissance, akisema ujenzi wa bwawa hilo ni mradi wa maendeleo ambao si katika masuala yanayolihusu baraza hilo lililopewa dhamana ya kudumisha amani na usalama wa kimataifa.
-
Sudan yavunjwa moyo na matokeo ya kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel
Jun 17, 2021 21:56Miezi kadhaa baada ya kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel kama njia ya kujikurubisha kwa Marekani na kupata misaada ya kifedha ya nchi hiyo, serikali ya Sudan imeeleza kuvunjwa moyo na matokeo ya hatua hiyo baada ya kunyimwa misaada hiyo.
-
Jeshi la Yemen latoa picha za askari wa Saudia, mamluki wa Sudan waliokamatwa
Jun 15, 2021 22:04Idara ya Upashaji Habari ya Kamandi Kuu ya Operesheni za Yemen imesambaza picha na mahojiano waliofanyiwa wanajeshi kadhaa wa Saudia, na mamluki wa Sudan waliokamatwa na vikosi vya Yemen katika operesheni ya hivi karibu katika mkoa wa Jizan, huko kusini mwa Saudi Arabia.
-
Bensouda aitaka Sudan iikabidhi ICC watuhumiwa wa jinai za Darfur
Jun 10, 2021 07:58Kwa mara nyingine tena, Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) amewataka maafisa wa serikali ya Sudan kuwakabidhi watuhumiwa wa jinai za kivita katika eneo la Darfur kwa mahakama hiyo, akiwemo rais wa zamani wa nchi hiyo, Omar Hassan al Bashir.
-
Licha ya Sudan kujikomba kwa Marekani na Wazayuni lakini uchumi wake unazidi kusambaratika
Jun 10, 2021 02:22Licha ya viongozi wa Sudan kujikomba kwa Marekani na Wazayuni na licha ya kusaliti kadhia ya Palestina na kushiriki katika mauaji ya Waislamu wa Yemen kwa tamaa ya kutatua matatizo yake ya ndani hasa ya kiuchumi, lakini nchi hiyo bado inateswa na mgogoro mkubwa wa kiuchumi.
-
Wanajeshi wa Ethiopia wamejizatiti katika mipaka ya mashariki mwa Sudan
Jun 09, 2021 22:01Maafisa wa kijeshi wa Sudan wameripoti kuwa, wanajeshi wa Ethiopia wamekusanyika katika mipaka ya nchi hiyo na Sudan.
-
Wasudan waandamana wakitaka haki kwa waliouawa mwaka 2019
Jun 03, 2021 22:16Wananchi wa Sudan jana Alkhamisi walimiminika mabarabarani katika mji mkuu, Khartoum na miji mingine ya nchi hiyo, kushiriki maandamano ya kutaka kutendewa haki wahanga wa ghasia za mwaka 2019.