Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Ombi la Misri na Sudan kwa Baraza la Usalama; mgogoro wa Bwawa la An Nahda

    Ombi la Misri na Sudan kwa Baraza la Usalama; mgogoro wa Bwawa la An Nahda

    Jun 28, 2021 05:56

    Huku awamu ya pili ya kujazwa maji katika Bwawa la An Nahda (Grand Renaissance Dam-GERD-) la Ethiopia katika Mto Nile ikikaribia, Misri na Sudan, nchi mbili ambazo zinapinga ujenzi wa bwawa hilo, zimetaka ujazwaji maji huo usitishwe kwa muda. Nchi hizo mbili zimetaka Ethiopia izipatie dhamana kuwa haki zao zitalindwa, jambo ambalo limeibua taharuki mpya baina ya nchi hizo tatu.

  • Sudan yakubali kwa masharti makubaliano ya muda ya Bwawa la Renaissance

    Sudan yakubali kwa masharti makubaliano ya muda ya Bwawa la Renaissance

    Jun 28, 2021 04:57

    Waziri wa Mambo ya nje wa Sudan Mariam Al-Sadiq Al-Mahdi amesema kuwa nchi yake imepokea pendekezo kutoka kwa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo la makubaliano ya muda ya kujazwa maji Bwawa la Renaissance yanayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa na Marekani.

  • NYT: Maiti za vijana waliouawa katika mapinduzi ya Sudan zinakwamisha mchakato wa amani

    NYT: Maiti za vijana waliouawa katika mapinduzi ya Sudan zinakwamisha mchakato wa amani

    Jun 27, 2021 22:03

    Gazeti la New York Times limeandika kuwa taifa la Sudan lilifanikiwa kumuondoa madarakani dikteta wa zamani wa nchi hiyo, Omar al Bashir, lakini baadhi ya Wasudani wana shaka kwamba, nchi hiyo haitapata amani kamili hadi pale uhakika juu ya nani aliua mamia ya wanamapinduzi utakapowekwa wazi.

  • Ethiopia yapinga hatua ya Sudan ya kutaka UN ijadili kadhia ya Bwawa la Renaissance

    Ethiopia yapinga hatua ya Sudan ya kutaka UN ijadili kadhia ya Bwawa la Renaissance

    Jun 25, 2021 22:10

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya nje ya Ethiopia, Dina Mufti amepinga wito uliotolewa na Sudan wa kufanya kikao cha dharura cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kujadili mgogoro wa Bwawa la Renaissance, akisema ujenzi wa bwawa hilo ni mradi wa maendeleo ambao si katika masuala yanayolihusu baraza hilo lililopewa dhamana ya kudumisha amani na usalama wa kimataifa.

  • Sudan yavunjwa moyo na matokeo ya kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel

    Sudan yavunjwa moyo na matokeo ya kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel

    Jun 17, 2021 21:56

    Miezi kadhaa baada ya kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel kama njia ya kujikurubisha kwa Marekani na kupata misaada ya kifedha ya nchi hiyo, serikali ya Sudan imeeleza kuvunjwa moyo na matokeo ya hatua hiyo baada ya kunyimwa misaada hiyo.

  • Jeshi la Yemen latoa picha za askari wa Saudia, mamluki wa Sudan waliokamatwa

    Jeshi la Yemen latoa picha za askari wa Saudia, mamluki wa Sudan waliokamatwa

    Jun 15, 2021 22:04

    Idara ya Upashaji Habari ya Kamandi Kuu ya Operesheni za Yemen imesambaza picha na mahojiano waliofanyiwa wanajeshi kadhaa wa Saudia, na mamluki wa Sudan waliokamatwa na vikosi vya Yemen katika operesheni ya hivi karibu katika mkoa wa Jizan, huko kusini mwa Saudi Arabia.

  • Bensouda aitaka Sudan iikabidhi ICC watuhumiwa wa jinai za Darfur

    Bensouda aitaka Sudan iikabidhi ICC watuhumiwa wa jinai za Darfur

    Jun 10, 2021 07:58

    Kwa mara nyingine tena, Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) amewataka maafisa wa serikali ya Sudan kuwakabidhi watuhumiwa wa jinai za kivita katika eneo la Darfur kwa mahakama hiyo, akiwemo rais wa zamani wa nchi hiyo, Omar Hassan al Bashir.

  • Licha ya Sudan kujikomba kwa Marekani na Wazayuni lakini uchumi wake unazidi kusambaratika

    Licha ya Sudan kujikomba kwa Marekani na Wazayuni lakini uchumi wake unazidi kusambaratika

    Jun 10, 2021 02:22

    Licha ya viongozi wa Sudan kujikomba kwa Marekani na Wazayuni na licha ya kusaliti kadhia ya Palestina na kushiriki katika mauaji ya Waislamu wa Yemen kwa tamaa ya kutatua matatizo yake ya ndani hasa ya kiuchumi, lakini nchi hiyo bado inateswa na mgogoro mkubwa wa kiuchumi.

  • Wanajeshi wa Ethiopia wamejizatiti katika mipaka ya mashariki mwa Sudan

    Wanajeshi wa Ethiopia wamejizatiti katika mipaka ya mashariki mwa Sudan

    Jun 09, 2021 22:01

    Maafisa wa kijeshi wa Sudan wameripoti kuwa, wanajeshi wa Ethiopia wamekusanyika katika mipaka ya nchi hiyo na Sudan.

  • Wasudan waandamana wakitaka haki kwa waliouawa mwaka 2019

    Wasudan waandamana wakitaka haki kwa waliouawa mwaka 2019

    Jun 03, 2021 22:16

    Wananchi wa Sudan jana Alkhamisi walimiminika mabarabarani katika mji mkuu, Khartoum na miji mingine ya nchi hiyo, kushiriki maandamano ya kutaka kutendewa haki wahanga wa ghasia za mwaka 2019.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS