Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Sputnik: Kitabu cha mwongozo wa magaidi wa Syria kimechapishwa nchini Uturuki

    Sputnik: Kitabu cha mwongozo wa magaidi wa Syria kimechapishwa nchini Uturuki

    Sep 24, 2016 04:40

    Vikosi vya jeshi la Syria vimenasa nakala ya kitabu kilichochapishwa nchini Uturuki ambacho ndani yake kina maelezo ya utoaji mafunzo kwa magaidi kuhusu jinsi ya kutumia silaha za nyuklia.

  • Rais Assad: Marekani inayatumia makundi ya Daesh na Jab'hatu Nusrah kufikia malengo yake

    Rais Assad: Marekani inayatumia makundi ya Daesh na Jab'hatu Nusrah kufikia malengo yake

    Sep 22, 2016 11:05

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, Marekani inayatumia makundi ya kigaidi ya Daesh (ISIS) na Jab'hatu Nusrah kufikia malengo yake na kwamba Washington haina nia yoyote ya kuyasambaratisha makundi hayo.

  • UN yataka msaada wa Iran kuhusu migogoro ya Syria, Yemen

    UN yataka msaada wa Iran kuhusu migogoro ya Syria, Yemen

    Sep 22, 2016 00:55

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ametaka msaada wa Iran katika kutafutia suluhisho la kudumu migogoro inayotokota Syria na Yemen.

  • Assad akosoa

    Assad akosoa "uchokozi wa kifedhuli wa Marekani" dhidi ya ngome za jeshi la Syria

    Sep 19, 2016 22:16

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema shambulio la ndege za kivita za muungano unaoongozwa na Marekani dhidi ya ngome za jeshi la nchi hiyo ya Kiarabu ni "uchokozi wa kifedhuli".

  • Russia: Shambulio dhidi ya vikosi vya Syria linahatarisha makubaliano ya usitishaji vita

    Russia: Shambulio dhidi ya vikosi vya Syria linahatarisha makubaliano ya usitishaji vita

    Sep 18, 2016 09:54

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imeonya kuwa shambulio la muungano unaoongozwa na Marekani dhidi ya vikosi vya jeshi la Syria linahatarisha makubaliano ya usitishaji vita katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Kuridhishwa De Mistura na usitishaji vita; mustakabali wa Assad uko mikononi mwa wananchi wa Syria

    Kuridhishwa De Mistura na usitishaji vita; mustakabali wa Assad uko mikononi mwa wananchi wa Syria

    Sep 16, 2016 09:39

    Staffan de Mistura, mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria amesema lengo la makubaliano baina ya Marekani na Russia ya kusitishwa vita nchini Syria ni kuwezesha kufikishwa na misaada kwa raia wa nchi hiyo.

  • Russia yatahadharisha kuhusu kuchelewa kuanza tena mazungumzo ya Syria

    Russia yatahadharisha kuhusu kuchelewa kuanza tena mazungumzo ya Syria

    Sep 13, 2016 23:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa kuchelewa kuanza tena mazungumzo ya Syria ni jambo lisilokubalika.

  • Saudia yazuia Wasyria kuhiji kwa mwaka wa tano mfululizo

    Saudia yazuia Wasyria kuhiji kwa mwaka wa tano mfululizo

    Sep 12, 2016 02:12

    Utawala wa ukoo wa Aal Saud kwa mwaka wa tano mfululizo umewazuia Mahujaji kutoka Syria kuingia Saudi Arabia kutekeleza Ibada ya Hija.

  • Iran yalaani miripuko ya kigaidi huko Syria

    Iran yalaani miripuko ya kigaidi huko Syria

    Sep 06, 2016 03:03

    Bahram Qassemi Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa vitendo vya kigaidi vinavyofanywa na magaidi watenda jinai wa kitakfiri na waungaji mkono wao wa Kiwahabi kwa kuwalenga raia wasio na hatia huko Syria, vinaonyesha kutokuwa na uwezo na kushindwa magaidi hao katika mapambano ya kijeshi na jinsi walivyo na ndoto tupu za kisiasa katika eneo hili.

  • Hizbullah ya Lebanon: Hali ilivyo ni kwa manufaa ya serikali na wananchi wa Syria

    Hizbullah ya Lebanon: Hali ilivyo ni kwa manufaa ya serikali na wananchi wa Syria

    Sep 04, 2016 23:53

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema hali ilivyo hivi sasa nchini Syria ni kwa manufaa ya serikali na wananchi wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS