Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Rais Assad alipongeza jeshi la Syria kwa kuukomboa mji wa Palmyra

    Rais Assad alipongeza jeshi la Syria kwa kuukomboa mji wa Palmyra

    Mar 27, 2016 10:04

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amelipongeza jeshi la nchi hiyo kwa kuukomboa mji wa kihistoria wa Palmyra kutoka mikononi mwa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.

  • Russia yatuma vikosi vya nchi kavu huko Syria

    Russia yatuma vikosi vya nchi kavu huko Syria

    Mar 24, 2016 10:37

    Kamanda mmoja wa ngazi ya juu wa jeshi la Russia amesema kuwa nchi hiyo imetuma huko Syria kikosi maalumu kwa ajili ya kufanya oparesheni ya upelelezi na kazi nyingine maalumu nchini humo.

  • Kugubikwa na wingu zito la hitilafu mazungumzo ya Syria Geneva

    Kugubikwa na wingu zito la hitilafu mazungumzo ya Syria Geneva

    Mar 22, 2016 02:24

    Huku wiki moja ikiwa imepita katika muda uliowekwa wa siku 10 kwa ajili ya mazungumzo ya amani ya Syria yanayofanyika mjini Geneva, hadi sasa hakuna chochote kilichoibuka kutoka ndani ya mazungumzo hayo, bali kwa mara nyengine tena wingu la hitilafu limetanda kwenye anga ya mazungumzo baina ya pande mbili husika.

  • Mawaziri wa kigeni wa Iran na Russia wajadili kadhia ya Syria

    Mawaziri wa kigeni wa Iran na Russia wajadili kadhia ya Syria

    Mar 18, 2016 23:09

    Mawaziri wa mambo ya nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia wamefanya mazumgumzo ya simu kuhusu usitishwaji vita nchini Russia.

  • Amri ya Rais Putin ya kuondoka vikosi vya jeshi la Russia nchini Syria

    Amri ya Rais Putin ya kuondoka vikosi vya jeshi la Russia nchini Syria

    Mar 15, 2016 12:16

    Rais Vladimir Putin wa Russia jana alitoa amri ya kuanza kuondoka vikosi vya jeshi la nchi hiyo vilivyoko nchini Syria.

  • Zarif: Russia kuanza kuondoa vikosi vyake Syria, ishara nzuri

    Zarif: Russia kuanza kuondoa vikosi vyake Syria, ishara nzuri

    Mar 15, 2016 11:27

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran ametaja hatua ya Russia kuanza kuondoa vikosi vyake Syria kuwa ni ishara nzuri.

  • Assad na Putin wakubaliana kupunguzwa vituo vya anga vya Russia nchini Syria

    Assad na Putin wakubaliana kupunguzwa vituo vya anga vya Russia nchini Syria

    Mar 15, 2016 03:37

    Ofisi ya Rais wa Syria imetangaza kuwa marais wa Russia na Syria wamekubaliana kupunguzwa idadi ya vituo vya anga vya vya jeshi la Russia nchini humo.

  • Magaidi wakamatwa na silaha za Israel nchini Syria

    Magaidi wakamatwa na silaha za Israel nchini Syria

    Mar 11, 2016 23:03

    Vyombo vya usalama vya nchini Syria vimetangaza kuwa vimekamata magaidi kadhaa waliokuwa na silaha za utawala wa Kizayuni wa Israel nchini humo.

  • Mwangwi wa ushindi wa jeshi la Syria dhidi ya makundi ya kigaidi

    Mwangwi wa ushindi wa jeshi la Syria dhidi ya makundi ya kigaidi

    Mar 09, 2016 13:10

    Waziri wa Habari wa Syria amesema kuwa njama za baadhi ya nchi za Magharibi na za Kiarabu za kuigawa Syria zimegonga mwamba.

  • Mpwa wa Kennedy: Sababu ya Marekani ya kutaka kumpindua Rais wa Syria ni bomba la gesi la Qatar

    Mpwa wa Kennedy: Sababu ya Marekani ya kutaka kumpindua Rais wa Syria ni bomba la gesi la Qatar

    Mar 03, 2016 23:19

    Mpwa wa Rais wa zamani wa Marekani, John F. Kennedy ambaye ni mwanasheria amesema kuwa, sababu iliyoifanya Marekani ishiriki katika kampeni za kumpindua Rais halali wa Syria aliyechaguliwa kidemokrasia, ni mradi wa gesi wa Qatar.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS