-
Lavrov aitaka Uturuki kukoma kutuma silaha kwa makundi ya kigaidi Syria
Mar 02, 2016 03:21Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametaka kuchukuliwe hatua za kuzuia magendo ya silaha kutoka Uturuki kwenda Syria ambako zinatumiwa na makundi ya kigaidi.
-
Magaidi 450 wa Daesh waangamizwa Aleppo, Syria
Mar 01, 2016 23:19Mamia kadhaa ya magaidi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wameangamizwa katika operesheni ya mashambulio iliyofanywa na jeshi la Syria katika kiunga cha mji wa Aleppo.
-
Saudia, Uturuki ni waungaji mkono wakuu wa ISIS
Feb 26, 2016 23:32Mshauri wa Rais wa Syria amesema kuwa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh linaweza kuangamizwa haraka iwapo baadhi ya nchi za eneo hasa Uturuki na Saudi Arabia zitaacha kuliunga mkono kifedha na kisiasa kundi hilo la wakufurishaji.
-
Russia: Wasyria wenyewe watainisha hatima ya nchi yao
Feb 25, 2016 23:36Spika wa Bunge la Duma la Russia amesema kuwa hakuna nchi yenye haki ya kuainisha hatima ya Syria badala ya Wasyria wenyewe.
-
Lavrov amjibu Kerry kuhusu mustakabali wa Syria
Feb 25, 2016 13:16Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergei Lavrov amesema nchi yake na Marekani hazitofuatilia chaguo jengine kwa ajili ya Syria.
-
EU yaonya kuhusu hatari ya vita vya Russia, Uturuki
Feb 24, 2016 04:12Mkuu wa Sera za Kigeni katika Umoja wa Ulaya ameonya kuhusu uwezekano wa kuzuka vita baina ya Russia na Uturuki.
-
Kuafiki Syria mpango wa usitishaji vita
Feb 24, 2016 03:36Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetoa taarifa rasmi na kueleza kwamba serikali ya Damascus inaukubali na itautekeleza mpango wa usitishaji vita uliotangazwa na Marekani na Russia.
-
IOM: Wakimbizi 410 wamefariki dunia wakiingia Ulaya 2016
Feb 23, 2016 22:15Wakimbizi na wahajiri wapatao 410 wamepoteza maisha mwaka huu wa 2016 wakijaribu kuingia Ulaya kupitia Bahari ya Mediterranea.
-
Rais Assad: Uchaguzi wa bunge Syria kufanyika Aprili
Feb 23, 2016 04:17Rais Bashar al-Assad wa Syria ametangaza tarehe 13 Aprili mwaka huu 2016 kuwa siku ya uchaguzi wa bunge nchini humo.
-
Makumi wauawa katika miripuko ya mabomu Syria
Feb 21, 2016 12:43Kwa akali watu 30 wamethibitishwa kuuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika wimbi la miripuko ya mabomu lililotikisa viunga vya mji mkuu Damascus na Homs nchini Syria.