Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Lavrov aitaka Uturuki kukoma kutuma silaha kwa makundi ya kigaidi Syria

    Lavrov aitaka Uturuki kukoma kutuma silaha kwa makundi ya kigaidi Syria

    Mar 02, 2016 03:21

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametaka kuchukuliwe hatua za kuzuia magendo ya silaha kutoka Uturuki kwenda Syria ambako zinatumiwa na makundi ya kigaidi.

  • Magaidi 450 wa Daesh waangamizwa Aleppo, Syria

    Magaidi 450 wa Daesh waangamizwa Aleppo, Syria

    Mar 01, 2016 23:19

    Mamia kadhaa ya magaidi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wameangamizwa katika operesheni ya mashambulio iliyofanywa na jeshi la Syria katika kiunga cha mji wa Aleppo.

  • Saudia, Uturuki ni waungaji mkono wakuu wa ISIS

    Saudia, Uturuki ni waungaji mkono wakuu wa ISIS

    Feb 26, 2016 23:32

    Mshauri wa Rais wa Syria amesema kuwa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh linaweza kuangamizwa haraka iwapo baadhi ya nchi za eneo hasa Uturuki na Saudi Arabia zitaacha kuliunga mkono kifedha na kisiasa kundi hilo la wakufurishaji.

  • Russia: Wasyria wenyewe watainisha hatima ya nchi yao

    Russia: Wasyria wenyewe watainisha hatima ya nchi yao

    Feb 25, 2016 23:36

    Spika wa Bunge la Duma la Russia amesema kuwa hakuna nchi yenye haki ya kuainisha hatima ya Syria badala ya Wasyria wenyewe.

  • Lavrov amjibu Kerry kuhusu mustakabali wa Syria

    Lavrov amjibu Kerry kuhusu mustakabali wa Syria

    Feb 25, 2016 13:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergei Lavrov amesema nchi yake na Marekani hazitofuatilia chaguo jengine kwa ajili ya Syria.

  • EU yaonya kuhusu hatari ya vita vya Russia, Uturuki

    EU yaonya kuhusu hatari ya vita vya Russia, Uturuki

    Feb 24, 2016 04:12

    Mkuu wa Sera za Kigeni katika Umoja wa Ulaya ameonya kuhusu uwezekano wa kuzuka vita baina ya Russia na Uturuki.

  • Kuafiki Syria mpango wa usitishaji vita

    Kuafiki Syria mpango wa usitishaji vita

    Feb 24, 2016 03:36

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetoa taarifa rasmi na kueleza kwamba serikali ya Damascus inaukubali na itautekeleza mpango wa usitishaji vita uliotangazwa na Marekani na Russia.

  • IOM: Wakimbizi 410 wamefariki dunia wakiingia Ulaya 2016

    IOM: Wakimbizi 410 wamefariki dunia wakiingia Ulaya 2016

    Feb 23, 2016 22:15

    Wakimbizi na wahajiri wapatao 410 wamepoteza maisha mwaka huu wa 2016 wakijaribu kuingia Ulaya kupitia Bahari ya Mediterranea.

  • Rais Assad: Uchaguzi wa bunge Syria kufanyika Aprili

    Rais Assad: Uchaguzi wa bunge Syria kufanyika Aprili

    Feb 23, 2016 04:17

    Rais Bashar al-Assad wa Syria ametangaza tarehe 13 Aprili mwaka huu 2016 kuwa siku ya uchaguzi wa bunge nchini humo.

  • Makumi wauawa katika miripuko ya mabomu Syria

    Makumi wauawa katika miripuko ya mabomu Syria

    Feb 21, 2016 12:43

    Kwa akali watu 30 wamethibitishwa kuuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika wimbi la miripuko ya mabomu lililotikisa viunga vya mji mkuu Damascus na Homs nchini Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS