Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Syria yatoa tena onyo kali kwa Saudia

    Syria yatoa tena onyo kali kwa Saudia

    Feb 21, 2016 12:31

    Spika wa Bunge la Syria ametoa onyo kali kwa ukoo wa Aal Saud unaojigamba kuwa utatuma wanajeshi wake nchini Syria.

  • Saudia yasisitiza kuwapatia silaha magaidi nchini Syria

    Saudia yasisitiza kuwapatia silaha magaidi nchini Syria

    Feb 20, 2016 23:17

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia ametaka magaidi walioko nchini Syria waimarishwe kwa silaha.

  • Russia yapinga pendekezo la marufuku ya kupaa ndege Syria

    Russia yapinga pendekezo la marufuku ya kupaa ndege Syria

    Feb 17, 2016 11:40

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesema, inapinga pendekezo la kuTENGWA eneo lisiloruhusiwa kupaa ndege ndani ya Syria na kutaka waratibu wa pendekezo hilo kuishirikisha serikali ya Damascus kabla ya kuchukuliwa uamuzi wowote.

  • Iran: Nchi za Kiislamu zinapaswa kujali zaidi kadhia ya Palestina

    Iran: Nchi za Kiislamu zinapaswa kujali zaidi kadhia ya Palestina

    Feb 15, 2016 11:44

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa ana matumaini kwamba, nchi za Kiislamu zitafikia maelewano kwa ajili ya kulipa umuhimu mkubwa zaidi suala asili la ulimwengu wa Kiislamu yaani kadhia ya kukaliwa kwa mabavu ardhi ya Palestina.

  • Russia: Bashar Assad ni Rais halali wa Syria

    Russia: Bashar Assad ni Rais halali wa Syria

    Feb 14, 2016 23:38

    Waziri Mkuu wa Russia ametahadharisha kuwa Syria itaathiriwa na hali ya machafuko iwapo Rais Bashar Assad wa nchi hiyo atang'olewa madarakani.

  • Russia: Bashar Assad ni Rais halali wa Syria

    Russia: Bashar Assad ni Rais halali wa Syria

    Feb 14, 2016 23:38

    Waziri Mkuu wa Russia ametahadharisha kuwa Syria itaathiriwa na hali ya machafuko iwapo Rais Bashar Assad wa nchi hiyo atang'olewa madarakani.

  • Syria yatuma barua kwa Umoja wa Mataifa ikilaani mashambulizi ya Uturuki

    Syria yatuma barua kwa Umoja wa Mataifa ikilaani mashambulizi ya Uturuki

    Feb 14, 2016 10:29

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetuma barua kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na kulaani mahambulizi ya ndege za kivita za Uturuki katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Zarif: Wasyria wenyewe waamue mustakabali wao

    Zarif: Wasyria wenyewe waamue mustakabali wao

    Feb 13, 2016 22:24

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuwa uamuzi juu ya serikali ijayo ya Syria uko mikononi mwa wananchi wa nchi hiyo.

  • Saudia na Uturuki zajiandaa kutuma vikosi vya nchi kavu Syria?

    Saudia na Uturuki zajiandaa kutuma vikosi vya nchi kavu Syria?

    Feb 13, 2016 11:57

    Saudi Arabia na Uturuki zimesema kuwa huenda karibuni hivi zikaanzisha mashambulizi ya nchi kavu nchini Syria eti kwa lengo la kukabiliana na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh!

  • Rais Bashar al-Assad asisitiza kukombolewa ardhi yote ya Syria kutoka kwenye uvamizi wa magaidi

    Rais Bashar al-Assad asisitiza kukombolewa ardhi yote ya Syria kutoka kwenye uvamizi wa magaidi

    Feb 12, 2016 23:53

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesisitiza kuwa operesheni za jeshi na vikosi vya wananchi zitaendelea hadi kuhakikisha maeneo yote ya ardhi ya Syria yamekombolewa kutoka mikononi mwa magaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS